Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Mkuu screenshot ulete hapa, usikanushe jambo alafu utoe assignment ya watu kwenda kugoogleNenda kazisome TGS tena kisha rudi hapa tena hio laki 3 na 200 ipo juu kuna laki 2 na 100
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu screenshot ulete hapa, usikanushe jambo alafu utoe assignment ya watu kwenda kugoogleNenda kazisome TGS tena kisha rudi hapa tena hio laki 3 na 200 ipo juu kuna laki 2 na 100
pamoja sanaUkifika Bukoba mjini pale round about utatembea dk 15 au 10
Wewe ulitoka kwanini usiwe mfanoMkiitwa kwenye maandamano ya kuipinga serikali kandamizi ya mafisadi, kwanini huwa hamtoki barabarani ?
Unaishi mjini kati kabisa mzee .
Daktari yapo mengi ya kuzungumza na wewe hasa rwamishenye ,kwa akina sued kagasheki .Mzee Umenikumbusha BK nilisoma kwenye Ile shule kongwe.
Hali ya hewa ya ubaridi nilitesekaga Sanaa.
Kule nilishuhudia radi zinapiga huku jua linawaka..
Kule ndio nilijifunza kula senene na parachichi...
Ooga wa kusafiri na vyombo vya maji ndipo ulinitokaga..kashai,nshambia,rwamishenye, kyaka irabo.
Karibu RwamiYes mkuu ndo mitaa yetu hiyo mkuu
Mzee Umenikumbusha BK nilisoma kwenye Ile shule kongwe.
Hali ya hewa ya ubaridi nilitesekaga Sanaa.
Kule nilishuhudia radi zinapiga huku jua linawaka..
Kule ndio nilijifunza kula senene na parachichi...
Ooga wa kusafiri na vyombo vya maji ndipo ulinitokaga..kashai,nshambia,rwamishenye, kyaka irabo.
Karibu Rwami
Wewe mtoto wa mjini kabisa bila Shaka tunafahamiana daktariYes mkuu ndo mitaa yetu hiyo mkuu
Afadhali ww umejikita kwenye madakumbuka hiyo ni sehemu ya interview pia, ukishindwa kwenda unawapa nafasi zaidi watakaokwenda
Da
Daktari yapo mengi ya kuzungumza na wewe hasa rwamishenye ,kwa akina sued kagasheki .
Vipi habari ya uswahilini na hamgembe kwa akina hashimu yahya
Kitambo aisee,Da
Daktari yapo mengi ya kuzungumza na wewe hasa rwamishenye ,kwa akina sued kagasheki .
Vipi habari ya uswahilini na hamgembe kwa akina hashimu yahya
Sata tena sana wametandaza lami mpaka vichochoroni🤗🤗 Asante Sana Rwamishenye pamechangamka Sana -nilikuwa naenda kwa bro hiyo mitaa
IHUNGO 😊Dr utakuwa umesoma science pale aliposoma Mbowe IYUNGO
Ni kweli Wana hela wale jamaa ,bado ni diwani na pia mwenyekiti wa mtaa wa rwamishenye ijapokuwa wananifurahisha Sana khamisi akiwa Kagera eti sued ndiye dereva wake na bodyguard wake .Mkuu ahaaa umenikumbusha Sued kagasheki huyu ni ndugu na Balozi kagasheki nilimuacha akiwa diwani
Ile familia yao Ina pesa Sana na kismati.
Sata tena sana wametandaza lami mpaka vichochoroni
[/QUONakuja siku si nyingi hapo nakuja kumuona mchepuko wangu hapo msikitini rwamishenye nitakuwepo kwa wiki Kaka .
Hivi kill time bado ipo ? Nitaomba uje tufurahie pamoja mlangira
Hebu msaidie tu na Mungu atakuzidishaHela ndogo hivyo inakutoa jasho, kazi ya kuwaondoa watz ujinga utaiweza kweli ?