Tatizo kubwa ni Kwamba Mama Samia Kawanyima nafasi ya kiu yenu ya kunywa juice ya Damu za Watanzania na kuwaweka kwenye viroba. Pumbavu kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kubwa ni Kwamba Mama Samia Kawanyima nafasi ya kiu yenu ya kunywa juice ya Damu za Watanzania na kuwaweka kwenye viroba. Pumbavu kabisa
Sukuma Gang ni Wasengerema tuKwa sababu ameandika usichokipenda au? [emoji1787][emoji1787] Sukuma gang mnazingua sana.
Legacy imeguswa naona mapovu kama yote [emoji16][emoji16]
Ngusa Samike ni RAS wa mkoa gani?Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
mnauanza ukabila baadae mkianza kuuana msingizie marekanSukuma Gang ni Wasengerema tu
Hakustaafu tarehe 16/3?? Ngusa sio RAS nisahishwe kama nimekoseaNgusa Samike ni RAS wa mkoa gani?
Kwa ukatiri aliofanyiwa na bwana yule.Kabendera ni wa kuonewa huruma tu!
Hawa Sukuma Gang hawawezi kutofautisha l na r ndiyo uthibitisho kuwa hawa ni wahamiaji haramuSawa, lakini sio ELICK.
Wewe ni wa kupuuzwa tuKabendera ni wa kuonewa huruma tu!
Mtu mbaya alikufa tushukuru Mungu kwa kumuondoaActually JPM alikuwa na huruma sana, kuna watu walifanya dhambi ya usaliti dhidi ya nchi yao akaishia kuwasamehe tu.
Yaani miaka nenda rudi tunapiga kelele kuwa tunaibiwa rasilimali za nchi yetu kama vile madini na gesi, anakuja rais ambaye anaamua kulivalia njuga hilo suala ili kutetea maslahi ya nchi alafu wanajitokeza wapuuzi wachache miongoni mwa wale waliokuwa wanalalamika kuwa tunaibiwa wanaanza kuizunguka nchi na kupanga mipango ovu dhidi ya nchi!
Wanajijua, na dhambi zao zinafahamika. Wasahau kuja kuwa viongozi katika serikali ya jamuhuri ya nchi hii.
Mjinga ni wewe na MWENDA ZAKE...Tatizo kubwa ni Kwamba Mama Samia Kawanyima nafasi ya kiu yenu ya kunywa juice ya Damu za Watanzania na kuwaweka kwenye viroba. Pumbavu kabisa
Unajua na yeye Kabendera aliwatenda wangapi??! Unyama kwa unyama TuUnyama aliotendewa Kabendera na ile serikali ya kinyama kama ungetendewa wewe ungeishakufa
Alianza yeye au serikali? Alihangaika mno kuitafuta serikali. Serikali ilipokutana nae akaanza kulia yeye.Unyama aliotendewa Kabendera na ile serikali ya kinyama kama ungetendewa wewe ungeishakufa
nimevutiwa na harakati zako mkuu za kuisemea chadema vizuri humu.Unyama aliotendewa Kabendera na ile serikali ya kinyama kama ungetendewa wewe ungeishakufa
Actually JPM alikuwa na huruma sana, kuna watu walifanya dhambi ya usaliti dhidi ya nchi yao akaishia kuwasamehe tu.
Yaani miaka nenda rudi tunapiga kelele kuwa tunaibiwa rasilimali za nchi yetu kama vile madini na gesi, anakuja rais ambaye anaamua kulivalia njuga hilo suala ili kutetea maslahi ya nchi alafu wanajitokeza wapuuzi wachache miongoni mwa wale waliokuwa wanalalamika kuwa tunaibiwa wanaanza kuizunguka nchi na kupanga mipango ovu dhidi ya nchi!
Wanajijua, na dhambi zao zinafahamika. Wasahau kuja kuwa viongozi katika serikali ya jamuhuri ya nchi hii.
Alianza yeye au serikali? Alihangaika mno kuitafuta serikali. Serikali ilipokutana nae akaanza kulia yeye.
Ni kama Lissu alivyokuwa anamuimba Magufuli kila siku. Ooh dikteta uchwara, ooh proffeserial rubish, ooh utanyolewa bila mate.
Haya sasa.
mnauanza ukabila baadae mkianza kuuana msingizie marekan
Mbona ume-panic kama mkojo wa asubuhi?😃😃😃Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua na yeye Kabendera aliwatenda wangapi??! Unyama kwa unyama Tu
Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app