Hakuna uchunguzi wowote utakaobaini anachoongea huyu Juha KabenferaTofauti ya wewe na kabendera ni moja, wewe unaongea unacho kihisi kichwani mwako, kabendera ameandika alicho kichunguza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna uchunguzi wowote utakaobaini anachoongea huyu Juha KabenferaTofauti ya wewe na kabendera ni moja, wewe unaongea unacho kihisi kichwani mwako, kabendera ameandika alicho kichunguza
Magufuli alikuwa muuaji kwene hisia za watu walioaminishwa na mafisadi ambao hawakupumua kwenye utawala madhubutiNyie ni wauaji mkishirikiana Magufuli
unaujuwa ujinga aliokuwa anaufanya mpaka akafanyiwa hayo aliyofanyiwa ungekuwa ni wewe umefanyiwa ujinga huo ungekubali? achen ujinga wa kudandia vituUnyama aliotendewa Kabendera na ile serikali ya kinyama kama ungetendewa wewe ungeishakufa
Kiswahili ndo shida kubwa hapa.Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu anamsifia Magufuli kuwa alikuwa kiongozi madhubuti ujue huyo jangili.Magufuli alikuwa muuaji kwene hisia za watu walioaminishwa na mafisadi ambao hawakupumua kwenye utawala madhubuti