Sikuhi kuwaza kubwa Elick Kabendela ni mjinga kiasi hiki

Sikuhi kuwaza kubwa Elick Kabendela ni mjinga kiasi hiki

Unyama aliotendewa Kabendera na ile serikali ya kinyama kama ungetendewa wewe ungeishakufa
unaujuwa ujinga aliokuwa anaufanya mpaka akafanyiwa hayo aliyofanyiwa ungekuwa ni wewe umefanyiwa ujinga huo ungekubali? achen ujinga wa kudandia vitu
 
Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.

Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai

Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi

USSR View attachment 2578937

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiswahili ndo shida kubwa hapa.
 
Magufuli alikuwa muuaji kwene hisia za watu walioaminishwa na mafisadi ambao hawakupumua kwenye utawala madhubuti
Ukiona mtu anamsifia Magufuli kuwa alikuwa kiongozi madhubuti ujue huyo jangili.
 
Back
Top Bottom