Sikuhi kuwaza kubwa Elick Kabendela ni mjinga kiasi hiki

Sikuhi kuwaza kubwa Elick Kabendela ni mjinga kiasi hiki

Kibendela Eric unayemsema ni juha wa mwisho. Hajitambui. Imagine mtu anaikashifu serikali kwa faida ya watu ambao mirija yao ilikatwa. Baada ya waliokatiwa mirija kugundua wana mtetezi wanaanza kumtumia pesa ili awalipe watu wa kuikashifu serikali kupitia social media bahati mbaya ikiwepo JF. Aliposhtukiwa kwa money laundering wote waliokuwa kwenye payroll yake wakapotea kwa vile there was no payment. Huyu ni wa kuonea huruma

Angalia wewe ndio usiwe juha. Kabendera alikashifu serikali lini?. Kuongea ukweli ndio kukadhfu?. Bora Mungu aliamua ugomvi mapema, maana hata kucheka ingekuwa kosa.
 
nimevutiwa na harakati zako mkuu za kuisemea chadema vizuri humu.

nataka kuwa mwanachedema mkuu.ilanaomba kujua wewe nijinsia gani?
Huyu ni wale jamaa wa upinde wa mvua LGBT

USSR
Screenshot_20230328-232220.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alianza yeye au serikali? Alihangaika mno kuitafuta serikali. Serikali ilipokutana nae akaanza kulia yeye.

Ni kama Lissu alivyokuwa anamuimba Magufuli kila siku. Ooh dikteta uchwara, ooh proffeserial rubish, ooh utanyolewa bila mate.

Haya sasa.
Mwisho wa siku Magufuli analiwa na funza, Kabebera bado ni mwandishi, Tundu Lissu bado yupo kwenye harakati zake.. Nani mshindi?😂😂😂
 
Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.

Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai

Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi

USSR View attachment 2578937

Sent using Jamii Forums mobile app
Pigo kubwa kwa walinda legacy!! Ngoja waje 🤣🤣🤣!!
 
Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.

Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai

Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi

USSR View attachment 2578937

Sent using Jamii Forums mobile app
Ondoa hasira, tulia soma ulichokiandika kisha sahihisha ili ueleweke.
 
Angalia wewe ndio usiwe juha. Kabendera alikashifu serikali lini?. Kuongea ukweli ndio kukadhfu?. Bora Mungu aliamua ugomvi mapema, maana hata kucheka ingekuwa kosa.
Isije ukawa na wewe ni mmoja wa wale waliokosa mgawo wa money laundering. Pole sana na usimsingizie Mungu kwa ushetani mliofanya au uliofanyika.
 
Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.

Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai

Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi

USSR View attachment 2578937

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona kama wewe ndo pumbavu?
 
Back
Top Bottom