Kibendela Eric unayemsema ni juha wa mwisho. Hajitambui. Imagine mtu anaikashifu serikali kwa faida ya watu ambao mirija yao ilikatwa. Baada ya waliokatiwa mirija kugundua wana mtetezi wanaanza kumtumia pesa ili awalipe watu wa kuikashifu serikali kupitia social media bahati mbaya ikiwepo JF. Aliposhtukiwa kwa money laundering wote waliokuwa kwenye payroll yake wakapotea kwa vile there was no payment. Huyu ni wa kuonea huruma
Kabendera ni wa kuonewa huruma tu!
Huyo ni mpumbavu
Ni RAS wa mkoa wa lindiHakustaafu tarehe 16/3?? Ngusa sio RAS nisahishwe kama nimekosea
SahihiAlianza yeye au serikali? Alihangaika mno kuitafuta serikali. Serikali ilipokutana nae akaanza kulia yeye.
Ni kama Lissu alivyokuwa anamuimba Magufuli kila siku. Ooh dikteta uchwara, ooh proffeserial rubish, ooh utanyolewa bila mate.
Haya sasa.
Huyu ni wale jamaa wa upinde wa mvua LGBTnimevutiwa na harakati zako mkuu za kuisemea chadema vizuri humu.
nataka kuwa mwanachedema mkuu.ilanaomba kujua wewe nijinsia gani?
English kwako ni shida patheticAngalia wewe ndio usiwe juha. Kabendera alikashifu serikali lini?. Kuongea ukweli ndio kukadhfu?. Bora Mungu aliamua ugomvi mapema, maana hata kucheka ingekuwa kosa.
Mwisho wa siku Magufuli analiwa na funza, Kabebera bado ni mwandishi, Tundu Lissu bado yupo kwenye harakati zake.. Nani mshindi?😂😂😂Alianza yeye au serikali? Alihangaika mno kuitafuta serikali. Serikali ilipokutana nae akaanza kulia yeye.
Ni kama Lissu alivyokuwa anamuimba Magufuli kila siku. Ooh dikteta uchwara, ooh proffeserial rubish, ooh utanyolewa bila mate.
Haya sasa.
Kwaiyo sasa hivi tupo na "KWERE GANG"Kwani siyo kweli kwamba Samike ni Sukuma gang?
Siyo kweli kwamba Samike ametumbuliwa?
Siyo kweli kwamba Samike alikuwa mfuasi mtiifu wa jiwe?
Kosa la Kabendera liko wapi hapo?
Unyama aliotendewa Kabendera na ile serikali ya kinyama kama ungetendewa wewe ungeishakufa
Pigo kubwa kwa walinda legacy!! Ngoja waje 🤣🤣🤣!!Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora vijana akina, sabaya, mnyet,i makonda na mzee wa kuwashughulikia wastaafu, au nasema uongo 🤣🤣🤣🤣Huyu kijana huwaga mpuuz achaneni nae
Na pia sio KabendelaSawa, lakini sio ELICK.
Ondoa hasira, tulia soma ulichokiandika kisha sahihisha ili ueleweke.Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app
Isije ukawa na wewe ni mmoja wa wale waliokosa mgawo wa money laundering. Pole sana na usimsingizie Mungu kwa ushetani mliofanya au uliofanyika.Angalia wewe ndio usiwe juha. Kabendera alikashifu serikali lini?. Kuongea ukweli ndio kukadhfu?. Bora Mungu aliamua ugomvi mapema, maana hata kucheka ingekuwa kosa.
Yaani imerudi mnoHiyo mirija imerudi tena kwa kasi ya kutisha.
Ngusa samike ni RAS leo na kwa vyovyote hasingeweza kufanya kazi ikulu kama msaidizi wa rais Samia kama ilivyo kwa walinzi wa Magufuli.
Haikuwa kufuta legacy au royalists kama mwandishi kilaza Kabendela alivyodai
Kumbe pasco mayalla alikuwa sahihi sana kuhusu huyu jamaa mzushi na mwongo mwongo hivi
USSR View attachment 2578937
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kwa sasa Ngusa siyo RAS tena. Ameondolewa kwenye u RAS