Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Nlikua nasikiaga tu Kwa watu aiseeeMadeni ni hatari sana usiombe ikukute
USSR
Hatari sana unaweza ukakimbia nchi kama lemaNlikua nasikiaga tu Kwa watu aiseee
Ahsante mkuuKama kesho ni siku ya rejesho na huna kitu ile Hofu ni hatari sana...
Unakuta siku ya rejesho saa2 tu simu ya Afisa inaita, Wewe hatari !
Pole sana , Nimepitia hii situation ..
Yuko mbaliGeuka umkumbatie babe wako ulale mkuu, madeni ni sehemu ya maisha, usipate stress.
Umecheza vicoba gani? Kaushal damu? (Kidding)Wakuu,
Kwa mara YA Kwanza ndo naexperience Ile Hali YA kukosa usingizi sababu ya madeni Namambo kuwa mengi....nlikua naskiaga tu Kwa watu wakisema madeni yanakosesha usingizi usiku unakua mrefu ...nna marejesho ,bado bills za kulipa bado michango Yan usiku silali usingizi ninao Sana Ila kila nkikumbuka rejesho aiseee usingizi unakataaaa......ama kweli utuuzima dawa
Sikatai mkuu nitalipaDawa ya deni ni kulipa
Hebu njoo inbox nikupe mbinuYuko mbali
Umecheza vicoba gani? Kaushal damu? (Kidding)
Pole sana all will be well
[/QUOTE
Kikoba tu chakawaida