Mfahamishe na Vipimo anavyotumia! Asipende kutumia Vipimo vya kidigitali. Atumie mashine za kupampu1. Kuwa makini Sana kutumia Dawa za pressure zitakupa Magonjwa mengine... Unatakiwa... Uptime around 14 days asubuhi na jioni ili kupata average ya pressure yako.
2. Kifupi BP inatibika kwa kubadili life style yako.
3. Hizi reading it's more about business za Dawa kuliko Tiba.... Dawa iwe options ya mwisho
Kahawa ukizidisha lazima ikuzingue. Inashauri kutotumia vikombe zaidi ya vitatu na uweke kijiko kimoja. Mimi nilikua natumia zaidi ya hvyo.Unaona huyu amekiri mwenyewe kutumia KAHAWA! safuher
Kawaha ina CAFFEINE kama vile COCACOLA pamoja na VITA MALT.
Ukinywa haya mauchafu lazima moyo ubasti na ubongo utafumuka tu kwa vyovyote vile.
Baadaye unaanguka barabarani kama gunia la chumvi!! Unakufa kama kuku tu kiulaini sana.
Chanzo: COCACOLA na ENERGY DRINK.
Kuumwa kichwa,kizunguzungu,mwili kuishiwa nguvu kuhisi uzito kifuani na kukosa usingizi usikuUmewezaje kurealize kwamba ni worst ? Nini kilitokea mwilini mwako ukaona kuwa ni worst hiyo hypert..?
Kwako ili ikae sawa hiyo presha unatamani kuona kitu gani kikifanyika kwenye mwili wako mkuu ndio utaridhika kwamba presha yako iko sawa ?
Kama ilishawahi kukupata once ikikupata Kwa mara nyingine utajua dalili zake Hua obviouslyHivi unajuaje kama una presha mkuu ?
Achilia mbali kutumia stethoscope kupima presha na kuona yale manambanamba je mbsli na hiko kipimo na hayo manamba ungrjijuaje kama una presha ?
Hua inakua kwenye 120 nlivopima Na kulingana Na age yangu dokta akaniambia IPO juu Na nlikua najskia vibaya SanaNani aliyekuongopea (140/89)mmhg pressure yako ipo juu?
Nna 89 kgsHiyo ni Sugar moja ya hatari
Vipi weight yako?
Usinywe chochote aisee regardless of anything,maji tu,kinyume na maji usiguse.
Sijui majuice,even hard liquor,hata kama ni acid,anything in a bottle kwenye fridge dont touch it.
Matunda nayo sometimes ni useless
Nsitumie ivyo vitu Kwa Muda ganiHiyo ni Sugar moja ya hatari
Vipi weight yako?
Usinywe chochote aisee regardless of anything,maji tu,kinyume na maji usiguse.
Sijui majuice,even hard liquor,hata kama ni acid,anything in a bottle kwenye fridge dont touch it.
Matunda nayo sometimes ni useless
Mkuu mimi siwezi kupima presha bila stetho maana ndiyo inanisaidia kujua systolic ni ipi na diastolic ni ipi katika manual ila kwa mashine ni another case.Stethoscope haipimi blood pressure bali inafanya auscultation (inasikiliza mapigo ya moyo).
Blood pressure inapimwa na sphygmanometer.
AhsantePole, utakuwa sawa usiogope.
Ahahhaha mkuu nimefurahi kwa wewe kuja hapa kutoa neno lolote katika hii mada.Asante umeniita nigawe dozi.
Hawa watu (hususani wa mitandaoni) ni WAPUMBAVU, kwanza hawastahili kufaidi maarifa yangu, lakini PILI hawajakidhi viwango vya kuelewa ninachokisema.
Unaona huyu KINYANGARIKA anazungumza kuhusu ugonjwa kwa madaha sana, ni kama vile anaona ujiko kuwa na HBP.
Anajivunia kabisa, na ukimsoma kwa jicho la tatu utabaini anaupenda huo ugonjwa kwa sababu unampa "hadhi" ya kumiliki "gonjwa la kifahari".
It appears to me that these ZOMBIES are programmed to feel good about being sick and to be proud of their diseases. FOR THE BETTERMENT OF PHARMACEUTICAL COMPANIES and their ALLIES.
Ati ooh mimi nina presha ya kupanda, nimepima natumia dozii, mara jamani sijui nini! HOW FOOLISH IS THAT?
Kwanza huo sio ugonjwa, ni UJINGA unaotokana na kubugia mavyakula hovyo na kunywa matakataka. Vinyesi na cocacolas. NA MACHANJO.
Cc: Wakili msomi Nyani Ngabu DR Mambo Jambo
Ni heri usinge comment kama unaona umekwazika Na hii thread hakuna enjoyment au happiness yoyote kwenye kuumwaAsante umeniita nigawe dozi.
Hawa watu (hususani wa mitandaoni) ni WAPUMBAVU, kwanza hawastahili kufaidi maarifa yangu, lakini PILI hawajakidhi viwango vya kuelewa ninachokisema.
Unaona huyu KINYANGARIKA anazungumza kuhusu ugonjwa kwa madaha sana, ni kama vile anaona ujiko kuwa na HBP.
Anajivunia kabisa, na ukimsoma kwa jicho la tatu utabaini anaupenda huo ugonjwa kwa sababu unampa "hadhi" ya kumiliki "gonjwa la kifahari".
It appears to me that these ZOMBIES are programmed to feel good about being sick and to be proud of their diseases. FOR THE BETTERMENT OF PHARMACEUTICAL COMPANIES and their ALLIES.
Ati ooh mimi nina presha ya kupanda, nimepima natumia dozii, mara jamani sijui nini! HOW FOOLISH IS THAT?
Kwanza huo sio ugonjwa, ni UJINGA unaotokana na kubugia mavyakula hovyo na kunywa matakataka. Vinyesi na cocacolas. NA MACHANJO.
Cc: Wakili msomi Nyani Ngabu DR Mambo Jambo
Mbona waZee wengi wanatumia sana na haiwaletei shida mmoja wapo ni mzee wangu ?Kahawa ukizidisha lazima ikuzingue. Inashauri kutotumia vikombe zaidi ya vitatu na uweke kijiko kimoja. Mimi nilikua natumia zaidi ya hvyo.
Nikaacha baada ya mwezi nilikua sawa. Kwa sasa napiga kikombe kimoja asubuhi natulia.
Hamna kitu hakina madhara ukizidisha mkuu.
Wéwe. My friend una shida gani ?Nsitumie ivyo vitu Kwa Muda gani
As if una evidence Mkuuu.... try to be wiseUkichunguza vizuri huyu lazima anabugia mauchafu fulani.
Hakuna cha presha wala nini ni mauchafu tu na machanjo. Na masindano ya uzazi.
A human body is PERFECTLY BUILT to be EVER HEALTHY unless it is DEFECTIVE by virtue of some natural causes or unless it is CORRUPTED BY POISONS AND TOXINS.
Kisukari sijui presha na matakataka mengine ni kwa sababu mwili umekuwa CORRUPTED na MACHANJO na MACOCACOLA. Of course na MACHIPS MAYAI YA KISASA.
The problem is your thinkingAhahhaha mkuu nimefurahi kwa wewe kuja hapa kutoa neno lolote katika hii mada.
By the way tunahitaji hizi mentality za watu kufeel proud(unconsciously) kuhusu magonjwa zipungue.
Ni kweli nami nakiri mtoa mada anafeel proud kuwa na hii ugonjwa bila kujijua kwamba anafeel proud.th
Miye juzi nimepima ilikuwa 185/117Mmnh...chai
Unatumia zote mbili stetho na Sphygmanometer .Mkuu mimi siwezi kupima presha bila stetho maana ndiyo inanisaidia kujua systolic ni ipi na diastolic ni ipi katika manual ila kwa mashine ni another case.
Ndio maana nikasema stetho inapima presha kwa maana ni msaidizi wa kujua presha ya mtu though unaweza pima manual kwa kutumia sphyg..
Asante
Pole sana mkuuShukran sana kiongozi, tatizo ni msiri sana kuna vitu huwa mgumu kuvisema hata kama vinamuumiza deep inside.
Mpaka hali iwe mbaya sana ndio utakuta anakueleza hilo jambo mkuu. Binafsi huwa anasema yeye yupo sawa tu ila akienda kupimwa unakuta hayupo sawa kabisa, siku akisema hayupo vizuri basi anakuwa kwenye hali mbaya na huwa anamaanisha kabisa.
Hiyo mbona ya kawaida sanaHabari za Leo wakuu
Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine nilivotumia hoi Dawa nlizidi kujiskia Vibaya nikaamua kuiacha nkawa natumia vitunguu swaum lakini naona bado sijatengamaa..........kipindi presha ilivokua ikishuka nlikua nakoroga mchanganyiko wa chumvi Na sukari within minutes nakaa Sawa lakini Hii ya kupanda naona kushuka Ni mbinde