Asante umeniita nigawe dozi.
Hawa watu (hususani wa mitandaoni) ni WAPUMBAVU, kwanza hawastahili kufaidi maarifa yangu, lakini PILI hawajakidhi viwango vya kuelewa ninachokisema.
Unaona huyu KINYANGARIKA anazungumza kuhusu ugonjwa kwa madaha sana, ni kama vile anaona ujiko kuwa na HBP.
Anajivunia kabisa, na ukimsoma kwa jicho la tatu utabaini anaupenda huo ugonjwa kwa sababu unampa "hadhi" ya kumiliki "gonjwa la kifahari".
It appears to me that these ZOMBIES are programmed to feel good about being sick and to be proud of their diseases. FOR THE BETTERMENT OF PHARMACEUTICAL COMPANIES and their ALLIES.
Ati ooh mimi nina presha ya kupanda, nimepima natumia dozii, mara jamani sijui nini! HOW FOOLISH IS THAT?
Kwanza huo sio ugonjwa, ni UJINGA unaotokana na kubugia mavyakula hovyo na kunywa matakataka. Vinyesi na cocacolas. NA MACHANJO.
Cc: Wakili msomi
Nyani Ngabu DR Mambo Jambo