Sikujua kwamba wanawake ni pasua kichwa kiasi hiki

Sikujua kwamba wanawake ni pasua kichwa kiasi hiki

Hapa nipo na msongo wa mawazo, bora nilivokuwa single nilikuwa nina furaha.

Bora hata angenisaliti ningejua cha kufanya(ningeachana nae), ila makosa anayofanya ni madogomadogo ila ni mengi na yanakera sana.

Hivi mtu anategemeaje ufanye kitu ambacho hujamwambia??
Kwanza, kama unasoma Biblia, kasome andiko la 1 Petro 3:7-9 7 Kadhalika ninyi waume, ishini na wake zenu kwa akili, mkitambua ya kuwa wao ni dhaifu na hivyo muwape heshima, kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima. Fanyeni hivyo ili sala zenu zisizuiliwe.

Kisha jipe muda wa jaribu kumsoma huwa anataka nini, kwa sababu hivyo vitu unavyosema anatarajia uvifanye bila yeye kukuambia vitakuwa vinajirudia.

Kwa mfano, unataka hadi akuambie muda wa kununua LUKU umefika nunua? Watumie wazazi wako hela za matumizi? Lipia kifurushi cha Azam mwisho wa mwezi umefika? Gari imechafuka hakikisha unaiosha leo ukitoka kazini? Ndio maana unapata maswali kama umenunua umeme? Umeosha gari? Umeleta soda za wageni? Umelipia Azam TV? Ni mambo ambayo hupaswi kuambiwa uyafanye, bali utaulizwa kama umeyafanya. Akitoka aende mahali na gari, akakuta gari chafu na ulikuwa nayo wewe, of course atasema kwa nini hujaosha gari. Sasa wewe unataka ujibu hukuniambia nilioshe?

Pia kumbuka inawezekana mwenye tatizo ni wewe, hufanyi kitu kwa kujituma mwenyewe mpaka uambiwe au ukumbushwe au usimamiwe, ambayo ni tabia ya Watanzania wengi hata kazini. Na huenda na yeye anachukia hiyo tabia yako ya kutokuwa pro-active!
 
Kweli inahitaji uvumilivu, ila sio akili, ukitumia akili utampa talaka haraka sana, alaf mi Siwez piga mwanamke na sijawahi
Unapingana na maandiko matakatifu, ndio maana mambo yanakuharibikia. Unatumia theory za washikaji wako wa kijiweni ambao hawana hata mpango wa kuoa unadhani utafanikiwa?

1 Petro 3:7-9 7 Kadhalika ninyi waume, ishini na wake zenu kwa akili, mkitambua ya kuwa wao ni dhaifu na hivyo muwape heshima, kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima. Fanyeni hivyo ili sala zenu zisizuiliwe.
 
Tukiongea straight hamzingatii...mnajifanya vichwa panzi wasahaulifu
Tatizo ni kwamba kila mnachoongea mnadhani ni point tunapaswa kutekeleza. Tukiwapa maoni tofauti unakuwa ubishi na ugomvi na risk ya kunyimwa vitu usiku huo! Ndio maana tunajifanya tumeelewa tukijua baadae tutasema tulisahu! With a woman, it is safer kusema nilisahau baadae kuliko kusema sikubaliani na wewe akiongea! That way unajua utapewa vitu kwa moyo wote asubuhi uende kazini unatabasamu na kupiga mluzi wa nyimbo za Bongo flavor, feeling like the cat that got the cream!

Na raha moja ni kwamba, by the time unanikumbusha nilichokukubalia "nikasahau", huoni tena ni kitu cha muhimu mie kukifanya, unaishia tu kusema acha tu baby, sio muhimu kama nilivyodhani! I could have told you that - ila ungenibishia tuishie kugombana, at the risk ya kunyimwa mauno!
 
Tukiongea straight hamzingatii...mnajifanya vichwa panzi wasahaulifu
HAMNA, ukiona hakuzingatii huyo hakupendi, anayekupenda hawez kujisahaulisha(alaf kama ukiongea staright hazingatii, ukimchanganya na mixed signals ndo ataelewa?? Huoni kwamba unazidi kuongea matatizo?), alaf ni mara chache sana mnaongea straight, mara nyingi mnachowaza akilini sio kinachotoka mdomoni, kwann mnafanya hivi? Hii ni njia ya ku-communicate na mpenzi wako??
 
Kwanza, kama unasoma Biblia, kasome andiko la 1 Petro 3:7-9 7 Kadhalika ninyi waume, ishini na wake zenu kwa akili, mkitambua ya kuwa wao ni dhaifu na hivyo muwape heshima, kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima. Fanyeni hivyo ili sala zenu zisizuiliwe.

Kisha jipe muda wa jaribu kumsoma huwa anataka nini, kwa sababu hivyo vitu unavyosema anatarajia uvifanye bila yeye kukuambia vitakuwa vinajirudia.

Kwa mfano, unataka hadi akuambie muda wa kununua LUKU umefika nunua? Watumie wazazi wako hela za matumizi? Lipia kifurushi cha Azam mwisho wa mwezi umefika? Gari imechafuka hakikisha unaiosha leo ukitoka kazini? Ndio maana unapata maswali kama umenunua umeme? Umeosha gari? Umeleta soda za wageni? Umelipia Azam TV? Ni mambo ambayo hupaswi kuambiwa uyafanye, bali utaulizwa kama umeyafanya. Akitoka aende mahali na gari, akakuta gari chafu na ulikuwa nayo wewe, of course atasema kwa nini hujaosha gari. Sasa wewe unataka ujibu hukuniambia nilioshe?

Pia kumbuka inawezekana mwenye tatizo ni wewe, hufanyi kitu kwa kujituma mwenyewe mpaka uambiwe au ukumbushwe au usimamiwe, ambayo ni tabia ya Watanzania wengi hata kazini. Na huenda na yeye anachukia hiyo tabia yako ya kutokuwa pro-active!
Ahsante ushauri mzuri
 
Unapingana na maandiko matakatifu, ndio maana mambo yanakuharibikia. Unatumia theory za washikaji wako wa kijiweni ambao hawana hata mpango wa kuoa unadhani utafanikiwa?

1 Petro 3:7-9 7 Kadhalika ninyi waume, ishini na wake zenu kwa akili, mkitambua ya kuwa wao ni dhaifu na hivyo muwape heshima, kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima. Fanyeni hivyo ili sala zenu zisizuiliwe.
Broo mimi sibishani na maandiko na naheshimu sana maandiko ya mungu ila tukija kweny reality uhalisia wa maisha sasa ukisema utumie akili haitoshi kabisa kuishi na mwanamke, inahitaji uvumilivu mkubwa sana, mfano mwanamke anayekujibu kwa dharau, utatumia akili au uvumilivu kuishi nae?? Ninacho suggest ni kwamba akili bila uvumilivu kwa upande wa wanawake hutoboi
 
HAMNA, ukiona hakuzingatii huyo hakupendi, anayekupenda hawez kujisahaulisha(alaf kama ukiongea staright hazingatii, ukimchanganya na mixed signals ndo ataelewa?? Huoni kwamba unazidi kuongea matatizo?), alaf ni mara chache sana mnaongea straight, mara nyingi mnachowaza akilini sio kinachotoka mdomoni, kwann mnafanya hivi? Hii ni njia ya ku-communicate na mpenzi wako??

Ni kweli kama hakuzingatii maana yake hakupendi

Sasa binadamu wapo wa aina tofauti
Kuna ambaye mara zote huwa anaongea straight kwamba hiki na hiki sipendi,napenda hiki
Wapo ambao huwa wanakuonesha hawapendi kwa vitendo,nafikiri ndo aina ya wa kwako...yeye anaona akifanya drama kadhaa ndo utajiongeza kufanya ama kutofanya jambo fulani

Kimsingi mimi navyofikiria mahusiano ya mapenzi ni kuelekezana tu,wa kwako pia unaweza kumwambia kwamba hivyo alivyo hupendi....kama anakupenda na ana-value mahusiano yenu utamuona anabadilika hata kama sio kwa haraka

Ongea nae,ukiona huwezi kuendelea na drama zake unajitoa...navyojua mapenzi hayatakiwi kuongozwa na maumivu sana kuliko amani
Dunia hii ina lots of choices,kuamua kuvurugwa na huyo mmoja ni choice yako pia

Kila la heri
 
umenikumbusha niliwahi kuwa na manz, alikuwa ananifanyia drama drama, siku nikamuuliza why unafanya hivyo, akaniambia hajui kwanini yeye anajikuta tu anafanya hivyo.
HAMNA, ukiona hakuzingatii huyo hakupendi, anayekupenda hawez kujisahaulisha(alaf kama ukiongea staright hazingatii, ukimchanganya na mixed signals ndo ataelewa?? Huoni kwamba unazidi kuongea matatizo?), alaf ni mara chache sana mnaongea straight, mara nyingi mnachowaza akilini sio kinachotoka mdomoni, kwann mnafanya hivi? Hii ni njia ya ku-communicate na mpenzi wako??
 
Hapa nipo na msongo wa mawazo, bora nilivokuwa single nilikuwa nina furaha.

Bora hata angenisaliti ningejua cha kufanya(ningeachana nae), ila makosa anayofanya ni madogomadogo ila ni mengi na yanakera sana.

Hivi mtu anategemeaje ufanye kitu ambacho hujamwambia??

Wanawake eleweni kwamba wanaume hatuwez kila siku kujua mnachotaka bila kutuambia, hatuwez kusoma akili zenu kila siku.

Wazee mnaoishi na wanwake, mnatumia njia gani kupunguza stress, maana nahic nawehuka.
Una uwezo mdogo hata wa kufikiria hivyo hata swala dogo la wanawake linakushinda
 
Back
Top Bottom