Sikujua kwamba wanawake ni pasua kichwa kiasi hiki

Sikujua kwamba wanawake ni pasua kichwa kiasi hiki

Daaah mkuu neno akili limekuchachafya balaaaa....kila kwenye AKILI wewe umeandika AJILI

Nwei,mapenzi ni upendo jumlisha busara(akili) Hahahahaaaaa J bwana, hapana sio kosa langu ni simu ndo imenifanyia hivyo. Asante Kwa kunielewa
 
Kwa nature ya Wanawake mie pia juzi nimekorofishana na Mke wangu.. Mkoa niliopo ni tofauti na yeye ingawa tunaonana mara kwa mara, ikabidi aje na yeye huku kuhakikisha ULINZI SHIRIKISHI..

Nature ya huu Mkoa kuna baridi sana, sasa mitoko ya night yeye anavaa nguo nyepesi, mie nampa warning mapema kwamba huku sio Dar tutasumbuana baadae yeye hasikii..

Kuna sehem moja nzur tukaenda kukaa nje haijapita dk 10 tyr anaanza kulalamika baridi hadi anakosa raha, kumbuka nishampa ABC za hali ya hewa na anajua hilo ila ubishi wake ndio anakuja kuharibu siku ya mtu.

Haya, nikaona si kesi twende sehemu mie napenda mziki mzr, nikampa warning nyingine huko tunapoenda pako ABC.. (Yeye si mtu wa club wala Bar wala miziki na mapombe) tukaenda kiwanja kimoja hivi town, kufika tu palikiw frsh, baadae kdg watu wakaanza kuongezeka, tyr ikawa kesi mara kwanini kuna wanawake wengi hivi, mara sijui mapombe sitak kuyaona, mara sijui mziki unaniumiza maskio sababu nyiingii.. nikaona huyu ngj nimrudishe nyumbani tu.

Aliniharibia siku aisee, na nikaapa kwa Mungu na mbele yake sitakuja kumpeleka sehem za Vibe, yeye atakaa nyumbani aangalie makatuni na tamthilia.
 
Ukiwa unafikiria hivyo utapata taabu sana kuwaelewana wanawake,Wanavyofikiria wanawake na wanaume(when it comes to relationships)ni vitu viwili tofauti,wao wapo so dramatic,wanaongozwa zaidi na hisia,na Kuna factors nyingi zinazo drive hisia za mwanamke,Kila siku anaweza kuamka na jipya, inategemea na mood aliyo nayo,

Hizo tunazofikiria ni drama,sio drama ni vile anataka attention yako na kupata majibu juu ya wasiwasi wake,maswali ambayo always wanawake wanayo wakiwa kwenye mahusiano,

Maswali kama,
"Does he care?"
"Does he still love me?"
"Will he reject me one day?"
"Will he leave me?"
"Does he think about me?"

Unataka akwambie au akuulize Kila kitu??
Wanawake hawapo hivyo,

Mimi wangu Jana kaniaga,usiku mwema,lakini najua alitaka Kusema "please nigga call me" namimi kwa makusudi kwa vile najua Nini anataka,nikamjibu okay my love, Good night, unadhani alilala??hah hell no, akasema acha kuzingua call me,, unadhani ilikua Ngumu kwake Kusema direct like an arrow NIPIGIE!!!!??No,sometimes Wanawake hawapo hivyo

Nimegundua kua mambo hayo ndio yanafanya wanawake kua wanawake, haijalishi Elimu, Umri,au jambo lolote, wanawake always watakua wajinga wajinga,and that makes them so beautiful,and Funny..

Kama umechoka Kisirani, drama na gubu la wanawake,it seems like unataka kuoa mwanaume,
 
Back
Top Bottom