Sikujua kwamba wanawake ni pasua kichwa kiasi hiki

Sikujua kwamba wanawake ni pasua kichwa kiasi hiki

That's good 😂 Wewe pasua kichwa kweli
nakwambia ni miyeyushoo!
Ila i love being me.
Na mwenywe kashajizoelea.
Kwanza anaweza aniulize hii akili ya kuwa na akili leo umeipata wapi!
Na ni bonge la jembe, ila with him
sitaki kutumia brain bana weeee, malapa atanunua na maji atanunua ninawe miguu twendelee na safari!
 
Hapa nipo na msongo wa mawazo, bora nilivokuwa single nilikuwa nina furaha.

Bora hata angenisaliti ningejua cha kufanya(ningeachana nae), ila makosa anayofanya ni madogomadogo ila ni mengi na yanakera sana.

Hivi mtu anategemeaje ufanye kitu ambacho hujamwambia??

Wanawake eleweni kwamba wanaume hatuwez kila siku kujua mnachotaka bila kutuambia, hatuwez kusoma akili zenu kila siku.

Wazee mnaoishi na wanwake, mnatumia njia gani kupunguza stress, maana nahic nawehuka.

UPDATE;
Kuna watu wame suggest niwe specific, nielezee angalau what I'm going through, okay vitimbwi ni vingi na vyote vinasababishwa na her ways of communicating with me pamoja na ubishi.

Mfano kuna siku tulikuwa tunatoka, na sehemu tuliokuwa tunaenda lazima kuna sehemu uache gari uzunguke kwa mguu, so yeye alikuwa amevaa viatu ambavyo ukiviangalia tuu havifai kwa kutembelea vitamuumiza, nikamshauri vua hivo viatu vaa raba, tunakoenda tutatembea sana alaf hivo viatu vitakuumiza, bhana si akakataa, nikamwambia haya mama twende, sasa tumefika huko tukaanza kutembea nikaanza kumsikia anaanza kusonya, mara analalamika tunatembea sana ila shida ilikuwa ni vile viatu na ukimwambia anagoma kabisa anasema shida sio viatu.

Kwann hii ilinipa shida, kwasababu yeye akiwa kweny maumivu automatically na mm nipo kweny maumivu.
Badae nikachoka kuvumilia ikabidi nimnunulie sendo za kawaida kweny duka tuliokutana nalo njiani.

Hawa viumbe ni pasua vichwa.
Unacomplicate mambo. Ulivyoona hataki kuacha hivyo viatu mapema ungechukua sandals in advance weka kwa gari. Alafu hata yeye mshamba tu mbona wanawake wanaojitambua wanapoenda outing wanachukua vitu vya tahadhari kama vitenge, open shoes raba etc.
 
Mwaka mmoja ni 'reasonable' na mnaweza kufungua ndoa. Miaka inayofuata ni kuendelea kujifunza kupendana na kuishi pamoja - maisha yote ya ndoa ni ya kujifunza
Sio MIMI Hawa vigeugeu inabidi uwapimie mbio ndefu miaka 10 kuendelea km Davido vile miaka 7 anapima upepo tu
 
Sio MIMI Hawa vigeugeu inabidi uwapimie mbio ndefu miaka 10 kuendelea km Davido vile miaka 7 anapima upepo tu
Uchumba siyo kumpima mchumba wa kike tu, hata wa kiume maana kuwa kigeugeu hakutokei tu kwa wanawake. Hata baadhi ya wanaume pia ni vigeugeu.
 
Serious mpaka miaka hii kuna watu wanasumbuliwa na wanawake....

Bado kuna watu wanasumbuliwa na mapenzi kufanya mtu kuwa na mawazo kiasi hiki.....
 
Sure man that's true, ni Jambo la kawaida tu
Haya mambo ya kawaida nashangaa vijana wanavo chukulia mapenzi serious hivi...

Yaani unakuta kijana shabab wa kiume anatype type ety wanawake wanawake.. yaan wana wapa kiki za kijinga sana
 
Haya mambo ya kawaida nashangaa vijana wanavo chukulia mapenzi serious hivi...

Yaani unakuta kijana shabab wa kiume anatype type ety wanawake wanawake.. yaan wana wapa kiki za kijinga sana
Kwa hio unataka watype type mapenzi nini? Wasitaje wanawake?
 
Back
Top Bottom