Sikujua kwamba wanawake ni pasua kichwa kiasi hiki

Sikujua kwamba wanawake ni pasua kichwa kiasi hiki

Kaka ushawahi kulalamikiwa ufanyi vitu ambavyo hujaambiwa, ukimuuliza kwann huniambii, unajibiwa "wewe ni mwanaume inabidi ujue bila kuambiwa" kwan mi ni mungu niweze kusoma akili yako??
wengine hua tunaambiwa 'jiongezee'.. kosa sasa ujikute umejiongeza, utaskia 'unajiongeza sana bn'... yan ni huzuni kwakweli- kwa sauti ya Hakika Ruben!
 
Hapa nipo na msongo wa mawazo, bora nilivokuwa single nilikuwa nina furaha.

Bora hata angenisaliti ningejua cha kufanya(ningeachana nae), ila makosa anayofanya ni madogomadogo ila ni mengi na yanakera sana.

Hivi mtu anategemeaje ufanye kitu ambacho hujamwambia??

Wanawake eleweni kwamba wanaume hatuwez kila siku kujua mnachotaka bila kutuambia, hatuwez kusoma akili zenu kila siku.

Wazee mnaoishi na wanwake, mnatumia njia gani kupunguza stress, maana nahic nawehuka.

UPDATE;
Kuna watu wame suggest niwe specific, nielezee angalau what I'm going through, okay vitimbwi ni vingi na vyote vinasababishwa na her ways of communicating with me pamoja na ubishi.
Mfano kuna siku tulikuwa tunatoka, na sehemu tuliokuwa tunaenda lazima kuna sehemu uache gari uzunguke kwa mguu, so yeye alikuwa amevaa viatu ambavyo ukiviangalia tuu havifai kwa kutembelea vitamuumiza, nikamshauri vua hivo viatu vaa raba, tunakoenda tutatembea sana alaf hivo viatu vitakuumiza, bhana si akakataa, nikamwambia haya mama twende, sasa tumefika huko tukaanza kutembea nikaanza kumsikia anaanza kusonya, mara analalamika tunatembea sana ila shida ilikuwa ni vile viatu na ukimwambia anagoma kabisa anasema shida sio viatu.
Kwann hii ilinipa shida, kwasababu yeye akiwa kweny maumivu automatically na mm nipo kweny maumivu.
Badae nikachoka kuvumilia ikabidi nimnunulie sendo za kawaida kweny duka tuliokutana nalo njiani.

Hawa viumbe ni pasua vichwa.
ahahahahha wenzio wanakatizaga tu duka la mangi wanaloona , wananunua ndala wanaweka tu mbele yetu tunavaa tumenuna af mbele huko tunasema ila bebi we unanipeeenda!
Saa pale ulijuaje naumia miguu na nimechoka?
 
Kaka ushawahi kulalamikiwa ufanyi vitu ambavyo hujaambiwa, ukimuuliza kwann huniambii, unajibiwa "wewe ni mwanaume inabidi ujue bila kuambiwa" kwan mi ni mungu niweze kusoma akili yako??
ndo hivyo tu yani.
Mi bana i was that , af nikaonekana kama najifanyisha,ikanicost.
husiano lililofata nikawa too specific, ikaonekana niko too independent, ikanicost
niliyenaye sa hiz, weeeeeeeeeeeeeeeeeh nauliza mpk yalipo meno yangu na wala hakereki!
na nakuwa nataka kitu fulani na sisemi nanuna tu , anajumlisha na kutoa anakileta!
Nachekelea!
MAPENZI NI UPUUZI mmoja wa kifala sana!
we tatizo lako unataka kutumia akili nying kwa mtu hata hataki utumie akili ila atakulaumu kwa kushindwa kwa kutotumia akili!
Tuelewe tuuuu!
 
Na Akili aliyotakiwa kuitumia hapo ni kumuacha tu nyumbani yeye akaenda mwenyewe, game ON
nanuna , kwanini umeenda peke yako.
Blaza kubeba hela ya ndala ni shing ngapi kwani?
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
nanuna , kwanini umeenda peke yako.
Blaza kubeba hela ya ndala ni shing ngapi kwani?
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Hela ya ndala Ina matumizi mengine sitaki tupasuane vichwa nikununulie ndala nazo uanze kusonya eti ndala gani bei rahisi unataka ndala za gharama, Baki tu nyumbani
 
Hela ya ndala Ina matumizi mengine sitaki tupasuane vichwa nikununulie ndala nazo uanze kusonya eti ndala gani bei rahisi unataka ndala za gharama, Baki tu nyumbani
Dihaaa, asa ndala nayo ni kitu Cha kuhesabia Hela mpk ya matofali, si uninunulie tu hata zikiwa pea sita
 
Dihaaa, asa ndala nayo ni kitu Cha kuhesabia Hela mpk ya matofali, si uninunulie tu hata zikiwa pea sita
Pea 6? Matumizi mabaya ya Pesa hio sifanyi Mimi, Wewe Baki nyumbani hapo MIMI acha niende outing peke yangu washa TV angalia tamthilya hapo nitakukuta
 
Hapa nipo na msongo wa mawazo, bora nilivokuwa single nilikuwa nina furaha.

Bora hata angenisaliti ningejua cha kufanya(ningeachana nae), ila makosa anayofanya ni madogomadogo ila ni mengi na yanakera sana.

Hivi mtu anategemeaje ufanye kitu ambacho hujamwambia??

Wanawake eleweni kwamba wanaume hatuwez kila siku kujua mnachotaka bila kutuambia, hatuwez kusoma akili zenu kila siku.

Wazee mnaoishi na wanwake, mnatumia njia gani kupunguza stress, maana nahic nawehuka.

UPDATE;
Kuna watu wame suggest niwe specific, nielezee angalau what I'm going through, okay vitimbwi ni vingi na vyote vinasababishwa na her ways of communicating with me pamoja na ubishi.
Mfano kuna siku tulikuwa tunatoka, na sehemu tuliokuwa tunaenda lazima kuna sehemu uache gari uzunguke kwa mguu, so yeye alikuwa amevaa viatu ambavyo ukiviangalia tuu havifai kwa kutembelea vitamuumiza, nikamshauri vua hivo viatu vaa raba, tunakoenda tutatembea sana alaf hivo viatu vitakuumiza, bhana si akakataa, nikamwambia haya mama twende, sasa tumefika huko tukaanza kutembea nikaanza kumsikia anaanza kusonya, mara analalamika tunatembea sana ila shida ilikuwa ni vile viatu na ukimwambia anagoma kabisa anasema shida sio viatu.
Kwann hii ilinipa shida, kwasababu yeye akiwa kweny maumivu automatically na mm nipo kweny maumivu.
Badae nikachoka kuvumilia ikabidi nimnunulie sendo za kawaida kweny duka tuliokutana nalo njiani.

Hawa viumbe ni pasua vichwa.
Ulifanya makosa kumnunulia sandle.
Jifunze kujipenda wewe kwanza.
Mwanamke mchukulie kama chombo cha starehe...
Mimi huwa nashauri mara moja tu... mtu akiwa mbishi,atadeal na madhara ya maamuzi yake yeye mwenyewe.
 
we tatizo lako unataka kutumia akili nying kwa mtu hata hataki utumie akili ila atakulaumu kwa kushindwa kwa kutotumia akili!
Tuelewe tuuuu!
We unadhani nani ana good communication skills kati mwanaume na mwanamke?
 
Hapa nipo na msongo wa mawazo, bora nilivokuwa single nilikuwa nina furaha.

Bora hata angenisaliti ningejua cha kufanya(ningeachana nae), ila makosa anayofanya ni madogomadogo ila ni mengi na yanakera sana.

Hivi mtu anategemeaje ufanye kitu ambacho hujamwambia??

Wanawake eleweni kwamba wanaume hatuwez kila siku kujua mnachotaka bila kutuambia, hatuwez kusoma akili zenu kila siku.

Wazee mnaoishi na wanwake, mnatumia njia gani kupunguza stress, maana nahic nawehuka.

UPDATE;
Kuna watu wame suggest niwe specific, nielezee angalau what I'm going through, okay vitimbwi ni vingi na vyote vinasababishwa na her ways of communicating with me pamoja na ubishi.
Mfano kuna siku tulikuwa tunatoka, na sehemu tuliokuwa tunaenda lazima kuna sehemu uache gari uzunguke kwa mguu, so yeye alikuwa amevaa viatu ambavyo ukiviangalia tuu havifai kwa kutembelea vitamuumiza, nikamshauri vua hivo viatu vaa raba, tunakoenda tutatembea sana alaf hivo viatu vitakuumiza, bhana si akakataa, nikamwambia haya mama twende, sasa tumefika huko tukaanza kutembea nikaanza kumsikia anaanza kusonya, mara analalamika tunatembea sana ila shida ilikuwa ni vile viatu na ukimwambia anagoma kabisa anasema shida sio viatu.
Kwann hii ilinipa shida, kwasababu yeye akiwa kweny maumivu automatically na mm nipo kweny maumivu.
Badae nikachoka kuvumilia ikabidi nimnunulie sendo za kawaida kweny duka tuliokutana nalo njiani.

Hawa viumbe ni pasua vichwa.
Wakenya wanasema amekukalia chapati ...
Inaonesha unapelekeshwa sanaa na huna hata mchepuko
Ushauri Wang kuna punch ya young lunya mpya kaiskize afu play ukiwa nae kila mda itaisaidia
Lunya ft Abigail
 
Blackbeard Agenda soma hiki kitabu, kama hauna hobby na kusoma jitahidi soma mdogo mdogo, kuna vitu utavipata humu mkeo hata akivifanya utabaki kucheka tu huku solution unayo..... Kero zake atabaki nazo ye peke ake.
 

Attachments

Back
Top Bottom