Sikuliona hili kwa waliokuwa Marais wote wa Zanzibar, kwanini linafanyika sasa kwa Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi?

Sikuliona hili kwa waliokuwa Marais wote wa Zanzibar, kwanini linafanyika sasa kwa Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi?

Boss umri umekwenda usiache kuvaa barakoa naona umeanza kusahausahau!! Alikuwa mbunge wa Mkuranga!!!!
Ya sasa hivi inang'oa hata vijana, wote tujikinge! Ref. Khalfan SK, Cpuaaaaaa etc. Chunga maisha yako pia na ya wenzio!
 
Hivi wewe hauna uwezo au hata mjomba wako hawezi kugombea urais wa Tanzania , mpaka umpigie debe mtu aliyekataa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria na huku akikataa kufanya internship ?

Wabongo nani kawaloga kiroho mbaya namna hiyo ?
Ni kweli wabongo tumerogwa maana tukiambiwa ukweli tunalialia, wewe kama una uwezo si ugombee tuu ila ukweli ndio huo, mark my words.
 
Mwinyi ni kama Mtanzania bara
Wazanzibari wengi hawamjui
Ndio maana aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga au Kisarawe nimesahau..

Sasa lazima waende kujitambulisha awafahamu
Kuna DALILI zote huyo Mwinyi ndio chaguo la CCM/Magufuli 2025.
 
Tokea aingie Madarakani Viongozi mbalimbali hasa wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wanamiminika Ikulu Kisiwani Zanzibar Kujitambulisha pamoja na Jaji Mkuu na Waandamizi wengine. Ni Mfuatiliaji kidogo wa Mambo / Masuala (issues) mbalimbali ila tukio hili sikumbuki kama Marais wengine wa Zanzibar walikuwa wakifanyiwa na Sisi Wananchi Kuonyeshwa kama huyu wa sasa.

Je, kwa wale Wabobezi wa Siasa na Masuala ya Itifaki (hata yale Nyeti) hapa JF kwanini iwe so Special hivi sasa kwa Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi?
Jiwe ameshamwambukiza Mwinyi ushamba.
 
Hivi wewe hauna uwezo au hata mjomba wako hawezi kugombea urais wa Tanzania, mpaka umpigie debe mtu aliyekataa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria na huku akikataa kufanya internship?

Wabongo nani kawaloga kiroho mbaya namna hiyo?

hivi alivyokataa intern ndipo alipoajiriwa na dr kariuki?
 
Hawezi kuwa rais wa Tanzania? Majaribio na rukhsa yaliisha kwa baba yake. BTW tunahitaji chuma kingine wakati JPM akimaliza muda wake hatutaki masihara, nchi inataka kwenda mbele sio kedekeza vifisadi.

Nchi inataka kwenda mbele huku hata kuwapa raia wake wote wanaostahili kitambulisho cha taifa imeshindwa!
 
Lakini kumbuka aliyeondoa masuala ya vijana kuingia/jiunga mafunzo ya kijeshi JKT alikuwa ni Baba yake yaani Mzee Mwinyi.

Kwa bahati nzuri, Dk.Hussein aliteuliwa kuwa Waziri wa ulinzi zaidi ya mara moja, alijifunza mengi akiwa ni waziri wa ulinzi, hata kama hakupitia mafunzo ya JKT hiyo haijalishi. Maoni yangu.

Waziri wa ulinzi nchi hii ni cheo ceremonial tu.
 
Mwinyi ndio anaonekana kiongozi wa Nchi,
Tokea aingie Madarakani Viongozi mbalimbali hasa wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wanamiminika Ikulu Kisiwani Zanzibar Kujitambulisha pamoja na Jaji Mkuu na Waandamizi wengine. Ni Mfuatiliaji kidogo wa Mambo / Masuala (issues) mbalimbali ila tukio hili sikumbuki kama Marais wengine wa Zanzibar walikuwa wakifanyiwa na Sisi Wananchi Kuonyeshwa kama huyu wa sasa.

Je, kwa wale Wabobezi wa Siasa na Masuala ya Itifaki (hata yale Nyeti) hapa JF kwanini iwe so Special hivi sasa kwa Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi?
 
Hatutaki watu tunao wapa kazi ya kujenga nchi, wao wanajenga vijiji vyao
Hawezi kuwa rais wa Tanzania? Majaribio na rukhsa yaliisha kwa baba yake. BTW tunahitaji chuma kingine wakati JPM akimaliza muda wake hatutaki masihara, nchi inataka kwenda mbele sio kedekeza vifisadi.
 
Mwinyi ni kama Mtanzania bara
Wazanzibari wengi hawamjui
Ndio maana aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga au Kisarawe nimesahau..

Sasa lazima waende kujitambulisha awafahamu
Kwan katiba inamzuia mzanzibar kugombea ubunge bara?
 
Waziri wa ulinzi nchi hii ni cheo ceremonial tu.
Oh, is it? Kwa hiyo anapokuta na makamanda for briefing, anapo husishwa kwenye tenda za kuagiza silaha mpya, kuhudhulia ufunguaji na ufungaji wa mazoezi ya kijeshi - una hakika huko kote hakujifunza kitu kuhusu masuala ya jeshi?
 
Tokea aingie Madarakani Viongozi mbalimbali hasa wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wanamiminika Ikulu Kisiwani Zanzibar Kujitambulisha pamoja na Jaji Mkuu na Waandamizi wengine. Ni Mfuatiliaji kidogo wa Mambo / Masuala (issues) mbalimbali ila tukio hili sikumbuki kama Marais wengine wa Zanzibar walikuwa wakifanyiwa na Sisi Wananchi Kuonyeshwa kama huyu wa sasa.

Je, kwa wale Wabobezi wa Siasa na Masuala ya Itifaki (hata yale Nyeti) hapa JF kwanini iwe so Special hivi sasa kwa Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi?
kipya kinyemi kibaya cha zamani, tatizo unatumia elimu ya sekondari tu ,ya msingi imekutoka nini??
 
Tunataka nchi yetu sasa tumechoka utasikia wakiimba huku wakiwa wamejaa furaha ,WaZanzibari wanajiamini sana sana,ivi huko Zanziba ni kama ulaya au vipi,mpaka wasanii furahisha yao huwepo zanzibar japo siku tatu.
 
Hawezi kuwa rais wa Tanzania? Majaribio na rukhsa yaliisha kwa baba yake. BTW tunahitaji chuma kingine wakati JPM akimaliza muda wake hatutaki masihara, nchi inataka kwenda mbele sio kedekeza vifisadi.
Jiwe ni fisadi sana sema hujui tu
 
Back
Top Bottom