Sikushauri kununua Impreza subaru

Sikushauri kununua Impreza subaru

nzuri lakini ujue vanguard haina tairi la dharura. ukiwa na safari ndefu hakikisha matairi ni mazuri. ikipiga pacha inarekebishika kwa kuweka dawa lakini ikipiga bust ya maana ujue umeumia

aina ya gari ni utashi na mapenzi ya mtu tu na umenunua gari lenye ubovu wa kiwango gani, kwa sababu hata wanaoyauza japani hawayauzi eti wameamua, wengi wanayauza baada ya kuyaona yana shida na mengine yanakuwa yameshatelekezwa. wahuni wanayaokota wanayapiga polish na kuyaweka sokoni....kuna watu hizo x trail wana uzoefu mbaya nazo.

Ukiamua kununua gari wewe nunua tu kuufurahisha moyo wako usisikilize maoni ya mtu. Hata mafundi ukiwauliza kama kuna gari hawezi kulitengeneza atakwambia hayo magari mabovu sana. Hawezi akakupa positive feedback.
Kweli kabisa
 
Oyaa nunueni tu tumechoka na hizi IST Kila kona...kwanza bei ya Impreza sasa hivi iko chini zinavyokua nyingi hata upatikani wa vifaa na mafundi nao utakua mkubwa.
 
Mnaonunua hili gari mmeangalia mazingira halisi ya hapa kwetu Tanzania? Gari ipo chini sana pia ni gari ambayo mafuta yanaenda mengi sana sijui kuhusu spare zake kama ni rahisi kuzipata hapa bongo, je mafundi wa magari hapa bongo wanaweza litengeneza ilo gari?

Mafundi wa bongo ni wachache sana wako expert kama unataka nunua hili gari sikushauri utakuja kuuza kwa bei ya hasara.
Ni sahihi ukifeli service imekula kwako Ina engine Ya EL15
 
Mnaonunua hili gari mmeangalia mazingira halisi ya hapa kwetu Tanzania? Gari ipo chini sana pia ni gari ambayo mafuta yanaenda mengi sana sijui kuhusu spare zake kama ni rahisi kuzipata hapa bongo, je mafundi wa magari hapa bongo wanaweza litengeneza ilo gari?

Mafundi wa bongo ni wachache sana wako expert kama unataka nunua hili gari sikushauri utakuja kuuza kwa bei ya hasara.
Bado huna uwezo wa kumiliki gari, wewe nunua Bajaj!

Magari yangu ya Ulaya uwa nikienda kwa fundi namwambia tengeneza hiki na hiki.
 
View attachment 2591821
Chuma hiki hapa mafuta kama Bodaboda
images.jpeg.jpg
Hii Ndiyo Bhalaa Inanusa Unleaded
 
Taratibu bro.

Moja ya gari pendwa hapa nchini ukiacha IST, Dualis, Harrier ni iyo Subaru Imprezza.

Kwanza bei rafiki, pili mafuta unayosema inakunywa unaongelea hii ya 3rd generation au?

View attachment 2591799

Maana iyo ipo ya cc 1500, 4-Speed Auto.

Labda ukichukua WRX na WRX STI ndio unaweza toa ayo malalamiko.

Mafundi na spare kwa Dar es Salaam wapo. Budget yako tu.

Edit: Unavyonunua gari vema ukaangalia inapokaa kwenue issue ya ground clearance. Kweli ipo chini lakini mi nikiwa na gari kuna sehemu siendi. Unapanda boda.
Samahani mkuu hv wrx na wrx sti n cc ngap?
Na waweza vp kuzifahamu?
 
Mkuu, umemaliza kabisa Subaru Impreza ni miongoni mwa gari bora kabisa pia mafuta matumizi yake ni ya kawaida sana, nina wasiwasi kama mtoa hoja either amewahi miliki hii gari ama amewahi itumia.

Hii gari ina option pia ya kuinua in case barabara yake sio rafiki na mafundi wapi lakini pia Dunia ipo kiganjani unaweza pata kitu chochote kutoka mahala popote. Naomba kuwasilisha
Unainua kwa kuweka spacer or inainuka yenyewe automatic
 
Taratibu bro.

Moja ya gari pendwa hapa nchini ukiacha IST, Dualis, Harrier ni iyo Subaru Imprezza.

Kwanza bei rafiki, pili mafuta unayosema inakunywa unaongelea hii ya 3rd generation au?

View attachment 2591799

Maana iyo ipo ya cc 1500, 4-Speed Auto.

Labda ukichukua WRX na WRX STI ndio unaweza toa ayo malalamiko.

Mafundi na spare kwa Dar es Salaam wapo. Budget yako tu.

Edit: Unavyonunua gari vema ukaangalia inapokaa kwenue issue ya ground clearance. Kweli ipo chini lakini mi nikiwa na gari kuna sehemu siendi. Unapanda boda.
Mleta uzi haijui hii gari,ukinipa ISTna hii nachsgua hii,CC 1500
 
Hii na zile Impreza old ipi n reliable sana, naona haya maboresho yaliofanyika kuanzia 2012 hayajachangamkiwa sn na raia km impreza old
Hizo za 2012 zina gearbox ya CVT, ambazo kuishi maisha marefu ni probability.
 
Hizo za 2012 zina gearbox ya CVT, ambazo kuishi maisha marefu ni probability.
Ahaa!!! Kwa maana hiyo hizi apa chini kidogo ni mkataba.
 

Attachments

  • 48A19473-8E07-40CB-9C72-177392A7E536.jpeg
    48A19473-8E07-40CB-9C72-177392A7E536.jpeg
    329.3 KB · Views: 12
  • Thanks
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom