Taratibu bro.
Moja ya gari pendwa hapa nchini ukiacha IST, Dualis, Harrier ni iyo Subaru Imprezza.
Kwanza bei rafiki, pili mafuta unayosema inakunywa unaongelea hii ya 3rd generation au?
View attachment 2591799
Maana iyo ipo ya cc 1500, 4-Speed Auto.
Labda ukichukua WRX na WRX STI ndio unaweza toa ayo malalamiko.
Mafundi na spare kwa Dar es Salaam wapo. Budget yako tu.
Edit: Unavyonunua gari vema ukaangalia inapokaa kwenue issue ya ground clearance. Kweli ipo chini lakini mi nikiwa na gari kuna sehemu siendi. Unapanda boda.