Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ni kwamba Israel wana uwezo mdogo na hawawezi kushindana na Iran, zingatia neno Israel pekee hawana uwezo, hadi wasaidiwe ndio kidoogo wanapiga kelele
Hana unabii mmoja , labda uaeme anapiga ramri tu maana manabii hakuna tena ukumuona bc huyo mpiga ramri tu sio nabiiUnabii mwema sana huu
Yaliyo husika hapo ni magaidi ya Israel na MarekaniIran wamesema hadi sasa hawajui nani kahusika na hayo mashambulizi.
Wamesema kuwa mashambulizi yametokea ndani ya Iran na karibi na Azerbajian
Mungu atuepushie roho za vita sio poaaaa!
Asante kwa taarifa
Point namba 3 naona kama ina contradict point namba 1 na 2.Inaonekana wametumia vidrone vya kawaida sana, picha zinazoonyeshwa ni kama zile drone za kwenye maharusi au wanazotumia kurekodia kwaya.
View attachment 2968115
Pia nimeshangaa gazeti la Jerusalem post kuweka picha ya mashambulizi ya Gaza kuonyesha ndio picha ya shambulizi lake Iran.
View attachment 2968087
Kuna matatu
1: Amewaogopa Iran. Maana israel utaratibu wake ni ukimpiga na bomu moja yeye atakupiga na mabomu laki. Ukijibu laki yeye anakupiga mabomu millioni.
2: Ujanja wa US 🇺🇸 kusema kuwa Israel wajifanye wamelipua Iran, ili habari isambazwe ionekane kama wamejibu kuficha aibu ili mambo yaishe.
3: Mungu amejibu maombi maana mkuu wa atomic wa Iran amesema Hakuna kilichoharibiwa. Na kama wakiendelea kuwachokoza itabidi nao kwa haraka watengeneze silaha ya atomic ili kuwahughulikia Israel.
Hadi sasa naona Mungu yuko upande wetu wapenda amani maana pale middle east pakifungwa kwa vita dunia nzima itasimama na sisi huku nchi masikini ( Raia kuwa masikini ni kujitakia) tutaathirika pakubwa sana.
Ni hayo tu.
Sure.Mungu atuepushie roho za vita sio poaaaa!
Ili uanze pray for iran kufurahisha mabwana zakoMoto uwashwe miji yote ya Iran, zaidi ya ndege 200 zifanye mashambulizi ya mabomu mazito mazito ili kuwatisha waarabu maadui zake wasijaribu tena kuwachokoza.
ulitaka Israel ikae kimya ikichokozwa?Kwa hakika imekuwa ni kinyonge sana! Bora angerusha hata jiwe Kwa manati:
View attachment 2968182
MK254 umeona nduguzo migambo wanarukaruka na kukanyagana huku?
View attachment 2968187
Ama kweli vita si lele mama
SawaPoint namba 3 naona kama ina contradict point namba 1 na 2.
Wana mwezi wa 6 kuimaliza mbagala(palestine)na wale panya road (hamas)ulitegemea wanaweza kujibu kwa uzito!Inaonekana wametumia vidrone vya kawaida sana, picha zinazoonyeshwa ni kama zile drone za kwenye maharusi au wanazotumia kurekodia kwaya.
View attachment 2968115
Pia nimeshangaa gazeti la Jerusalem post kuweka picha ya mashambulizi ya Gaza kuonyesha ndio picha ya shambulizi lake Iran.
View attachment 2968087
Kuna matatu
1: Amewaogopa Iran. Maana israel utaratibu wake ni ukimpiga na bomu moja yeye atakupiga na mabomu laki. Ukijibu laki yeye anakupiga mabomu millioni.
2: Ujanja wa US 🇺🇸 kusema kuwa Israel wajifanye wamelipua Iran, ili habari isambazwe ionekane kama wamejibu kuficha aibu ili mambo yaishe.
3: Mungu amejibu maombi maana mkuu wa atomic wa Iran amesema Hakuna kilichoharibiwa. Na kama wakiendelea kuwachokoza itabidi nao kwa haraka watengeneze silaha ya atomic ili kuwahughulikia Israel.
Hadi sasa naona Mungu yuko upande wetu wapenda amani maana pale middle east pakifungwa kwa vita dunia nzima itasimama na sisi huku nchi masikini ( Raia kuwa masikini ni kujitakia) tutaathirika pakubwa sana.
Ni hayo tu.
ulitaka Israel ikae kimya ikichokozwa?
Wewe na hao mabwana zako mjambe mkalaleKwa vile umendika uzi wa kuonesha kuidharau Israel, basi nakuhakikishia kuwa huu uzi wako, muda mchache tu utaunganishwa na uzi mungine ili kuuficha uzi wako usiendelee kuonesha kuwa Israel sio lolote si chochote kwa Iran, na pia kupoteza kile ulichoandika.
Wale majemedari waliouwawa na Israel washachukua bikira 72 kila mmoja au bado?Tuliwambia ila hamkutaka kusikia,Iran sio hamas Israel mwenyewe anajua ilo ndo maana awezi fanya kitu.ingekuwa lebanon au Syria ndo wamefanya ivyo ungesikia kabisa sitaji kusikia chochote.usiku uwo uwo mvua ya mabomu ingeshuka.