Mpuuzi wewe hizo korosho umelima wewe? Kama huwezi changia si ungenyamaza tu kuliko kuonyesha upuuzi wako,ni bodaboda wewe eh??Tatizo la kule ni dini isiyokuwa na tija kwa wananchi, ni kama Tanga au Bagamoyo tu. Mtu anaamka asubuhi kavaa shuka aliyolalia jana na kwenda kushinda msikitini hata mswaki hajapiga. Hana wazo la kwenda shambani kufanya kazi wala nini, anataka kukaa tu na wenzake wakisengenya waendao makazini kuwa wanaringa na kutishia maisha yao.
Zanzibar wamelostika na ndiyo maana wananchi wake hawaeleweki.Zanzibar lazima uone aibuππ
1. Ikifika kipindi cha ramadhan wanapita na mafimbo kuchapa watu wanaokula mchana. Migahawa na maduka ya chakula yanafungwa ni lazima. Hakuna kula nje wala kupika nje la sivyo viboko vinakuhusu.
2. Ligi kuu ya Zanzibar inasimama ili watu wakale daku na futari. Unasimamisha mechi za mpira kisa futari? Hii aibu. Hapa bara ligi ya mpira inachezwa km kawaida.πππ
Aibu
Umefunga macho au umegeuka kipofu ghafla?We itakuwa uliishi Mtwara karne ya 20 hukoo.., mana hivo vitu sivioni kwa sasa. .
Mtwara na lindi ni mikoa yenye fursa kubwa sana ya ardhi,hivyo kama mwekezaji ukitaka ardhi ya kutosha nenda mikoa hiyo hasa katika suala la kilimo na ufugaji.Naomba mnaochangia hoja muchangie kwa stara, sikuleta hii mada kwa sababu za udini au ili kuleta marumbano kati ya watu wa pwani na wa bara. Ningependa kuona watu wakichangia hoja kwa kutoa fursa zilizopo katika eneo husika pia kushare nasi pamoja experience yake kuhusu mkoa wa mtwara bila ya maneno ya kejeli, ukipinga hoja pia pinga kwa ustaarabu.