Sikutegemea ningepewa Heshima kubwa kama hii humu JF. Medal hii nitakuja waonesha wajukuu zangu

Sikutegemea ningepewa Heshima kubwa kama hii humu JF. Medal hii nitakuja waonesha wajukuu zangu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Mwandishi na mchangiaji mtulivu asiye na makeke, hata umchokoze vipi anatabasamu anakuita tu Mkuu.... Mpaka unajisikia aibu. Alilelewa vizuri na wazazi wake akashika maagizo yao.

Msomi wa kiwango cha juu wa shahada ya Ustahimivu. Na elimu kwa ngazi ya PhD kwenye suala la mahusiano na saikolojia. Amenitunuku cheti cha JF VAR. kutokana na kutambua mchangu wangu mkubwa kwa wasomaji toka nlipoanza kumweka sawa yule dogo nliyemweka mjini alipotoka Mara huko bush na kukaa kaa Musoma kidogo.

Mimi nlimwingiza town amefika JF akanigeuka. Toka kipindi hicho wadau wakaomba niwe nawasaidia kuangalia fact ya hadithi za paukwa pakawa ambazo watu hutaka lazimisha zionekane za kweli.

Nimetunukiwa cheti na medal ya Almas na prof, dr, sir Analyse nami kwa heshima na taadhima napokea. Natumie nafasi hii kumwambia yule andunje mpenda wadudu. NAJA. kwa ubishi na hasira mimi naja.... Akae chonjo. Sitoacha kumgonga akileta habari zake za kiduanzi.
 
Mwandishi na mchangiaji mtulivu asiye na makeke, hata umchokoze vipi anatabasamu anakuita tu Mkuu.... Mpaka unajisikia aibu. Alilelewa vizuri na wazazi wake akashika maagizo yao.

Msomi wa kiwango cha juu wa shahada ya Ustahimivu. Na elimu kwa ngazi ya PhD kwenye suala la mahusiano na saikolojia. Amenitunuku cheti cha JF VAR. kutokana na kutambua mchangu wangu mkubwa kwa wasomaji toka nlipoanza kumweka sawa yule dogo nliyemweka mjini alipotoka Mara huko bush na kukaa kaa Musoma kidogo.

Mimi nlimwingiza town amefika JF akanigeuka. Toka kipindi hicho wadau wakaomba niwe nawasaidia kuangalia fact ya hadithi za paukwa pakawa ambazo watu hutaka lazimisha zionekane za kweli.

Nimetunukiwa cheti na medal ya Almas na prof, dr, sir Analyse nami kwa heshima na taadhima napokea. Natumie nafasi hii kumwambia yule andunje mpenda wadudu. NAJA. kwa ubishi na hasira mimi naja.... Akae chonjo. Sitoacha kumgonga akileta habari zake za kiduanzi.
Kaka umeanzia mbali sana, nikajua na ww unataka kuleta simulizi yako hapa JF 😅😅😅

Twende Kazi kaka, hakuna kuremba 😅😅
 
Back
Top Bottom