Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣🤣🤣 Akili ntatoa wapi ndugu yangu..... Nashukuru.Rafiki yangu @ chizi MAARIFA.
Wewe Unaakili nyingi sana.
Jina la MAARIFA lingetosha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣 Akili ntatoa wapi ndugu yangu..... Nashukuru.Rafiki yangu @ chizi MAARIFA.
Wewe Unaakili nyingi sana.
Jina la MAARIFA lingetosha sana
Aniwekee hapa majina. Mimi huwa napewa majina tu maana huwa hizo stories nasoma mpaka napoletewa malalamiko na wadau. Mwambie alete barua ofisini atamje mhusika anipe na link. Nifanyie kazi malalamiko yake. Hatuwezi acha watu walete stories zao humu halafu waanze madeko utadhani tuliwaomba waleteSema mkuu Chizi Maarifa Kuna mdau kanifata pm anauliza ambao hawajamaliza story ni wengi sana, mbona umemkomalia Steve peke yake? 😅😅
Mzee Kesho YetuAposto kuna nini tena Analyse
Jamaa alimaliza lakini hiyo story. Si ndiyo?Mzee Kesho Yetu