Aniwekee hapa majina. Mimi huwa napewa majina tu maana huwa hizo stories nasoma mpaka napoletewa malalamiko na wadau. Mwambie alete barua ofisini atamje mhusika anipe na link. Nifanyie kazi malalamiko yake. Hatuwezi acha watu walete stories zao humu halafu waanze madeko utadhani tuliwaomba walete