Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Barieda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2018
Posts
1,808
Reaction score
2,470
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi ( fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa , nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake .

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
We endelea nae ndo dada zetu hao wakiwa chuon wanatumika sana , hata wa huku mtaani wanatumika sana usimuache sababu karibia wote washapitia hali kama hio
Na hainaga makombo
 
Mbona huyo binti hana kosa lolote? Binti amekua muwazi na mwaminifu kwako kwa kukueleza ukweli sasa hapo unaumia nini mkuu?

Mwanamke akikupenda hua anakua muwazi na kufunguka kuhusu maisha yake yote uyajue, sijaona kosa la huyo binti hadi sasa, unataka tu kumuonea.

Labda nikuulize, ulimkuta huyo binti bikra, kama hukumkuta unafikiri bikra ilijitoa yenyewe?

Wakati mwingine wanaume stress tunazitafta wenyewe. Mwanaume unawezaje kuboreka na hicho alichokwambia huyo binti?

Acha mambo ya ajabu tunza mke na mtoto mtarajiwa acha mawenge bwana mdogo.
 
Ladies,
Kama una 'ka siri kyako', hakikisha unaenda nako kaburini, hii kujifanya ni wema ili tuaminike huwa inakuja kutu-cost mno mno..!!

Me naamini hapo ulipo na wewe mtoa mada una 'ka siri kyako' hutamani mtu akajue sivyo..??

Mpaka hapo kosa la huyo dada ni kukuambia ukweli, sababu hakuyafanya hayo mkiwa pamoja, aliyafanya kabla hamjakutana, waweza usiendelee naye lakini kumpa adhabu..? Kwa kosa lipi..?? Acheni kujivika 'uungu-utu' ilhali ninyi wenyewe ni wakosefu vile vile..!!
 
Mbona huyo binti hana kosa lolote? Binti amekua muwazi na mwaminifu kwako kwa kukueleza ukweli sasa hapo unaumia nini mkuu?

Mwanamke akikupenda hua anakua muwazi na kufunguka kuhusu maisha yake yote uyajue, sijaona kosa la huyo binti hadi sasa, unataka tu kumuonea.

Labda nikuulize, ulimkuta huyo binti bikra, kama hukumkuta unafikiri bikra ilijitoa yenyewe?

Wakati mwingine wanaume stress tunazitafta wenyewe. Mwanaume unawezaje kuboreka na hicho alichokwambia huyo binti?

Acha mambo ya ajabu tunza mke na mtoto mtarajiwa acha mawenge bwana mdogo.
Ahsante mkuu, ushauri wako nimeupokea.
 
Ladies,
Kama una 'ka siri kyako', hakikisha unaenda nako kaburini, hii kujifanya ni wema ili tuaminike huwa inakuja kutu-cost mno mno..!!

Me naamini hapo ulipo na wewe mtoa mada una 'ka siri kyako' hutamani mtu akajue sivyo..??

Mpaka hapo kosa la huyo dada ni kukuambia ukweli, sababu hakuyafanya hayo mkiwa pamoja, aliyafanya kabla hamjakutana, waweza usiendelee naye lakini kumpa adhabu..? Kwa kosa lipi..?? Acheni kujivika 'uungu-utu' ilhali ninyi wenyewe ni wakosefu vile vile..!!
Ukweli ni kwamba nimeumia sana, mpaka nahisi kama siyo mimi hivii, upendo umeporomoka nahisi kama nimechukua mwanamke aliyeachika.
 
Mbona huyo binti hana kosa lolote? Binti amekua muwazi na mwaminifu kwako kwa kukueleza ukweli sasa hapo unaumia nini mkuu?

Mwanamke akikupenda hua anakua muwazi na kufunguka kuhusu maisha yake yote uyajue, sijaona kosa la huyo binti hadi sasa, unataka tu kumuonea.

Labda nikuulize, ulimkuta huyo binti bikra, kama hukumkuta unafikiri bikra ilijitoa yenyewe?

Wakati mwingine wanaume stress tunazitafta wenyewe. Mwanaume unawezaje kuboreka na hicho alichokwambia huyo binti?

Acha mambo ya ajabu tunza mke na mtoto mtarajiwa acha mawenge bwana mdogo.
Mm nashangaa anatoa stress wapi wakat
Binti kaongea ukweli wake alaf Hana mtoto, Kwanza huyu jamaa mwenye huyo sio dem WA kwanza kwake??? Au labda jamaa yeye alikua bado bikra😀
 
Ladies,
Kama una 'ka siri kyako', hakikisha unaenda nako kaburini, hii kujifanya ni wema ili tuaminike huwa inakuja kutu-cost mno mno..!!

Me naamini hapo ulipo na wewe mtoa mada una 'ka siri kyako' hutamani mtu akajue sivyo..??

Mpaka hapo kosa la huyo dada ni kukuambia ukweli, sababu hakuyafanya hayo mkiwa pamoja, aliyafanya kabla hamjakutana, waweza usiendelee naye lakini kumpa adhabu..? Kwa kosa lipi..?? Acheni kujivika 'uungu-utu' ilhali ninyi wenyewe ni wakosefu vile vile..!!
Bado nawaza aliwashwa nini hadi ayaseme hayo, jinga kweli.

Kikao kilishaamua kama bikra ilishaondoka na pikipiki basi yeye ndio wa pili na huyo wa kwanza hata hamkudumu saaaana. Na wala haujawahi penda kama unavyompenda yeye.
 
Back
Top Bottom