Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Utamuoa? Kama humuoi maana yake ni singo maza. Nipange mkuuMkuu huyu siyo single mother mimba ni yangu, koz nimeishi naye kwa zaidi ya mwaka sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utamuoa? Kama humuoi maana yake ni singo maza. Nipange mkuuMkuu huyu siyo single mother mimba ni yangu, koz nimeishi naye kwa zaidi ya mwaka sasa.
Kwendraaaaaa!Ukweli ni kwamba nimeumia sana, mpaka nahisi kama siyo mimi hivii, upendo umeporomoka nahisi kama nimechukua mwanamke aliyeachika.
Ushauri wa bure: Amekuambia kwa sababu anahofia siku moja lisije kuibuka na mko familia ukaumia!! Wanaumie msiwe makatili hivi jamani....Wakuu kwema,
Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).
Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.
Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.
Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .
Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.
Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.
Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Agachuwe expected to have another SINGO MAZA anytime from now.
Prodakshen of singomazaz iz haya zan hau zei aa dimanded.
Nimesoma hadi hapa siendelei tena!!Bado nawaza aliwashwa nini hadi ayaseme hayo, jinga kweli.
Kikao kilishaamua kama bikra ilishaondoka na pikipiki basi yeye ndio wa pili na huyo wa kwanza hata hamkudumu saaaana. Na wala haujawahi penda kama unavyompenda yeye.
Ahsante kwa ushauri.Ushauri wa bure: Amekuambia kwa sababu anahofia siku moja lisije kuibuka na mko familia ukaumia!! Wanaumie msiwe makatili hivi jamani....
Nakushauri muoe awe MKEO na sahau yaliyopita. Usije ukamwacha ukaenda kuona aliyetoa ujauzito kadhaa. Kikubwa fungeni ndoa acheni kumuudhi Maulana
Mwanaume hasahau wala kusamehe bali anapotezea tu ila kwa mwanamke yeye anasamehe alafu kana siku atayafufua upyaaaUshauri wa bure: Amekuambia kwa sababu anahofia siku moja lisije kuibuka na mko familia ukaumia!! Wanaumie msiwe makatili hivi jamani....
Nakushauri muoe awe MKEO na sahau yaliyopita. Usije ukamwacha ukaenda kuona aliyetoa ujauzito kadhaa. Kikubwa fungeni ndoa acheni kumuudhi Maulana
Ulimsamehe kwani alikuchiti? Yeye kakueleza historia yake ya,nyuma kabla hajakutana na wewe hapo kosa lake ni lipi.Ni kweli sikumkuta bikra ila nilimsamehe kimyakimya, kwani hata mimi nimekula sana.
Mkuu hapo inaonyesha dhahiri huyo dada anakupenda sana, tena heshimu sana uamuzi wa yeye kukueleza hayo. Kafanya jambo la msingi sana mimi naona, kakueleza hali halisi ili apate kuwa huru kabisa.Mkuu mpaka sasa sina majibu.
Binti yupo honest ashukuru, mabinti karibu wote age 16 hadi 23 huwa wanachakatwa sana kwa mazingira tofauti.Ila huyo dada naye fala sana,atasemaje a negative past.Ila nawe umezidi,unamhukumu mtu wa past relationship?,hv ukija kumfumania utafanyaje ikiwa tu saa hiz msosi haupandi?...........Man Up!
hio ndio point kuu,kakueleza sababu she give up everything she did before, kaamua kuanza safari mpya na wewe