Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

ATTENTION PLEASE: we expect to have another SINGO MAZA anytime from now.

Prodakshen of singomazaz iz haya zan hau zei aa dimanded.
We jamaa dah [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] production is higher than demand
 
Huyo binti nae, kulikuwa na haha gani ya kuanza kukupa mastori ya kuumiza moyo? Au ulimuuliza Mkuu kuhusu background yake..
 
Huwa tunawaacha watu sahihi kwa maisha yetu kwa kuwahukumu kwa makosa yao ya nyuma.
 
Wajinga bado wapo dem hujamkuta bikra hujazaliwa nae alaf unahasira😂😂😂 mbona hajasema yote hapo kakupa vionjo bado mkanda hujaujua. Punguza ushamba
 
Mkuu huyu siyo single mother mimba ni yangu, koz nimeishi naye kwa zaidi ya mwaka sasa.
Hiki ndio kipimo cha ukomavu wako kuhusu mahusiano.

Ukimtosa, itakusumbua!

Ukiendelea naye, itakusumbua.

Kama bado unatafuta mke bikra, huyu mpqndishe cheo awe Bi Mkubwa. Itakufaa sana
 
Back
Top Bottom