Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Ukweli ni kwamba nimeumia sana, mpaka nahisi kama siyo mimi hivii, upendo umeporomoka nahisi kama nimechukua mwanamke aliyeachika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706]
 
sijaona kosa lake kwa kweli! Tena dada wa watu ni mkweli. Je hawa tunao kaa nao wanaliwa kila kukicha na story unaipata kwa jirani na masela tuwafanyaje?

Dada wa watu kakueleza ukweli na ilitokea kabla hata hamjakutana. Take it easy.

Wewe umeona kibanzi kwenye jicho lake kitoe maisha yaendelee...vipi je unaweza kuona boriti katika jicho lako????
 
As long as hajazaa nae shida iko wapi?
Na hayo mapenz ya chuo ndo yakufanya umuache?? Otherwise utakua na lako jambo maana hata ww umeloweka Sana mashimo huko kabla ukutane nae
Lakini ile njemba iliyokuwaga inaloweka utambi huko chuo wakikutana tu inamtafuna tena bila masharti yoyote!
Wanawake huwa ni dhaifu sana kwa jamaa waliokuwa wanamla kwa muda mrefu
Mbaya zaidi ukute njemba ilikuwaga inamla tigo!
 
Ukweli ni kwamba nimeumia sana, mpaka nahisi kama siyo mimi hivii, upendo umeporomoka nahisi kama nimechukua mwanamke aliyeachika.
Halafu hawa viumbe walivyo wa ajabu hapo kakwambia siri moja ndogo tu kwanza akuone reaction yako then ana mengi mazito rohoni hawezi kukwambia kwa sasa!
Unapokutana na binti sio bikra tena hao waliomaliza chuo huwa wengi wao walishatumika sana mpaka basi! Walishatoa mimba sana, walishaliwa tigo, wengi walipitia mpaka kujiuza huko vyuoni ili wapate hela, yaani sio ajabu akakwambia idadi ya waliompitia inafika hata wanaume 120+
 
Bado nawaza aliwashwa nini hadi ayaseme hayo, jinga kweli.

Kikao kilishaamua kama bikra ilishaondoka na pikipiki basi yeye ndio wa pili na huyo wa kwanza hata hamkudumu saaaana. Na wala haujawahi penda kama unavyompenda yeye.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aiseee kwa hizi comments sitokuja kumwambia chochote mtu ambae nipo nae kuhusu Ex na hata akisikia kwa watu nitakataa katakataa kwamba sijui hizo story

Dear Future labda uje na clip ya ushahidi but huwezi kujua chochote kuhusu mimi kutoka kwenye kinywa changu
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Mmmmhhh
 
Halafu hawa viumbe walivyo wa ajabu hapo kakwambia siri moja ndogo tu kwanza akuone reaction yako then ana mengi mazito rohoni hawezi kukwambia kwa sasa!
Unapokutana na binti sio bikra tena hao waliomaliza chuo huwa wengi wao walishatumika sana mpaka basi! Walishatoa mimba sana, walishaliwa tigo, wengi walipitia mpaka kujiuza huko vyuoni ili wapate hela, yaani sio ajabu akakwambia idadi ya waliompitia inafika hata wanaume 120+
Inauma sana mkuu.
 
Dah mkuu hasira za nini kwani? Umemfumania au una hasira coz hujamkuta na bikjra uliyomwachia akuifadhie?!! Mshukuru amekuifadhia mwanao tumbon mwake, kuikuta bikira kwa mtoto wa kike miaka hii labda ubake,
 
Halafu hawa viumbe walivyo wa ajabu hapo kakwambia siri moja ndogo tu kwanza akuone reaction yako then ana mengi mazito rohoni hawezi kukwambia kwa sasa!
Unapokutana na binti sio bikra tena hao waliomaliza chuo huwa wengi wao walishatumika sana mpaka basi! Walishatoa mimba sana, walishaliwa tigo, wengi walipitia mpaka kujiuza huko vyuoni ili wapate hela, yaani sio ajabu akakwambia idadi ya waliompitia inafika hata wanaume 120+
Huyo manzi ni dhaifu, pili hawezi kuvumilia shida, siku jamaa akifulia hiyo manzi italiwa mchana kweupe, pili inaonekana anatengeneza defensive mechanism, inawezekana ilo alilomwambia ni dogo zaidi, jicho langu la tatu naona kama vile alikuwa anajiuza sasa nafsi inamsuta anataka kuconfess...kwa mustakabali wa maisha yako piga chini hiyo mbuzi tunza mwanao, asiposikia atakuja kukumbuka hii sms ya mzee kitombile, hilo ni bomb litamlipua, watu wanamshauri kimihemko tu sisi watu wakiroho, mabudha tunasema kama anakula ye ale tu lkn asioe, huyo demu anaishi na huyo jamaa kwa vile anamtatulia shida zake, na alizani akimwambia hivyo basi atazidi kuaminika kumbe ndo anaharibu, huyo mwanafunzi wake wa zamani anauwezekano akawa anaendelea kumpa mgegedo na jana katoka kuchakatwa....don't trust women in this world.
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.

Wacha ku complicate mambo duniani unapita
 
Kjana wa hivyo kabisa hufai kua mme unashindwa kutatua changamoto ndogo namana hyo mpaka uje kunipunguzia bando langu kukushauri.nyambafu kabsa
 
Back
Top Bottom