Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Kosa la mwenzio ni kukwambia ukweli? Wewe ndio unaenda kutengeneza Bomu litakalokutesa maisha yako yote. Ukithubutu kufanya huo ujinga aisee. Mi nilijua kafanya ukiwa naye kumbe ni zamani? utakua fala ukimwacha kwa kosa hilo
Hebu waza vizur ukiishi na mwanamke ambaye hutamuoa matumizi yanakuwa ni ya namna gani nahisi utanielewa vyema.
 
Mkuu hyo hali inamtafuna sana jamaa ila ata ss wengne still wapenz wetu wamechakatwa sana kabl yetu. Mfn manz yang aliwahi sema alikuwa na msela kipnd hicho bado mbichi kabsa jamaa alikuwa mkubwa kwake yan alivyoanza kumla ilichukua kama week kuizoea mb**o ya jamaa daaah alinikata stim knoma, yan upendo ulishuka kama barafu iliyoyeyuka na hatimae akawa x wng. Decision niliyochukua natafuta dem ambae bado hajaliwa na wapo wengi trust me, tena hawa wanaomaliza advance wapo wa kutosha.
Sasa alikwambia ili iweje au ni wewe ndo ulitaka?
 
Shukrani kwa taarifa mkuu. Ila zingatia sana moyo wako unataka nn katika hili suala lako. Kama vipi piga chin ya nn kujitesa babu na watot wapo wa kutosha meku?? Watoto ambao bado kabsa wapo wew tu unakaza unawaaaza
Viongozi wa dini bwana , sawa ndoa haivunjiki kama jamaa alivyotulezea kuhusu mkewe.

Lakini hisia z mtu ni muhimu sana mtu anaweza kupoteza maisha kwa sababu ya emotional mbaya.
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Kwa mujibu wa stori yako, mlikutana na huyo Dada baada ya yeye kumaliza chuo, hupaswi kufanya maamuzi wala kuumia sababu hayo yalikuwa ni mambo yake ya nyuma.. Mlipokutana mlifungua ukurasa mpya wa mambo yenu. Play your part and Relax.
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Sasa mwanaume unakasirika nini hapa, yaan kisa alikuwa chuo nna Boyfriend ndo unakasirika.

Wewe utakuwa mtoto wa Mama au Mvulana
 
Hebu waza vizur ukiishi na mwanamke ambaye hutamuoa matumizi yanakuwa ni ya namna gani nahisi utanielewa vyema.
Kaka Mimi nikushauri kitu.

Kuhusu hio ishu
1. Kwanza jipe Muda hata akijifungua, still kaa kimya jipe muda hata kwao wakitaka uwende kujitambulisha tulia kwanza, angalia maumivu yako na emotional uko vipi, hio ni muhimu sana kaka maana ndo inachukua maisha yako kwa ujumla. Usijilazimishe kisa kazaa hapana , hisia zako ni muhimu sana kaka.

2. Pili kwa muda utakao kaa hata ikiwa mwaka au zaidi , kama hisia kazo zimeshindikana kabisa kuondoka na kusahau kabisa.
Basi tafuta muda kaa nae umueleze ukweli wote jinsi ulivyolipokea hilo swala na jinsi unavyojisikia kuwa muwazi kwa 100%. Afu kisha muamue nini cha kufanya, hapo trust me ndo utapata jibu. Ila usifiche isia zako kaka ni muhimu sana.
NB; WATU wanapata magojwa pressure na kisukari kwa sababu ya mambo kama hayo mtu anakaa na kitu mda mrefu ambalo linamuathili kisaikologia mpaka mauti wapo yalioyakuta haya bro.

3. Kama ukifanikiwa kusahamu na kupotezea basi endelea nae tuu na usiseme tena ila muambie tuu uhitaji lingine akuambie kuusu past relationship yake.
 
Kwa mujibu wa stori yako, mlikutana na huyo Dada baada ya yeye kumaliza chuo, hupaswi kufanya maamuzi wala kuumia sababu hayo yalikuwa ni mambo yake ya nyuma.. Mlipokutana mlifungua ukurasa mpya wa mambo yenu. Play your part and Relax.
Mkuu unajua emotional ya mtu.
Kuna mtu alioamke baada ya kupata mimba akamwambia mume wake kuwa alitoa mimba kazaa za watu wa zamani, alipigwa mtungo na me 3 na alipigwa tigo(0731) na mume wa mtu.
Yupo kwenye huu uzi soma comments utamuona.
Na uamuzi aliouchukua bro.
Don't take it easy. Ni moyo wa mtu.
 
Mkuu unajua emotional ya mtu.
Kuna mtu alioamke baada ya kupata mimba akamwambia mume wake kuwa alitoa mimba kazaa za watu wa zamani, alipigwa mtungo na me 3 na alipigwa tigo(0731) na mume wa mtu.
Yupo kwenye huu uzi soma comments utamuona.
Na uamuzi aliouchukua bro.
Don't take it easy. Ni moyo wa mtu.
Hilo silipingi mkuu,, japo matarajio ya huyo mwamba yalikuwa ni kumpata Dada ambaye atakuwa kajitunza kama yeye. Jambo ambalo si rahisi kama yeye alivyokuwa akifikiria... Kama anampenda huyo binti, Cha msingi atulize akili, akubaliane na matokeo.
 
Hilo silipingi mkuu,, japo matarajio ya huyo mwamba yalikuwa ni kumpata Dada ambaye atakuwa kajitunza kama yeye. Jambo ambalo si rahisi kama yeye alivyokuwa akifikiria... Kama anampenda huyo binti, Cha msingi atulize akili, akubaliane na matokeo.
Ila ndo maana nimemwambia ikishindikana amove on tuu. Hakuna namna
 
Kaka Mimi nikushauri kitu.

Kuhusu hio ishu
1. Kwanza jipe Muda hata akijifungua, still kaa kimya jipe muda hata kwao wakitaka uwende kujitambulisha tulia kwanza, angalia maumivu yako na emotional uko vipi, hio ni muhimu sana kaka maana ndo inachukua maisha yako kwa ujumla. Usijilazimishe kisa kazaa hapana , hisia zako ni muhimu sana kaka.

2. Pili kwa muda utakao kaa hata ikiwa mwaka au zaidi , kama hisia kazo zimeshindikana kabisa kuondoka na kusahau kabisa.
Basi tafuta muda kaa nae umueleze ukweli wote jinsi ulivyolipokea hilo swala na jinsi unavyojisikia kuwa muwazi kwa 100%. Afu kisha muamue nini cha kufanya, hapo trust me ndo utapata jibu. Ila usifiche isia zako kaka ni muhimu sana.
NB; WATU wanapata magojwa pressure na kisukari kwa sababu ya mambo kama hayo mtu anakaa na kitu mda mrefu ambalo linamuathili kisaikologia mpaka mauti wapo yalioyakuta haya bro.

3. Kama ukifanikiwa kusahamu na kupotezea basi endelea nae tuu na usiseme tena ila muambie tuu uhitaji lingine akuambie kuusu past relationship yake.
Ushauri mzuri sana kaka.
 
Hebu waza vizur ukiishi na mwanamke ambaye hutamuoa matumizi yanakuwa ni ya namna gani nahisi utanielewa vyema.
Matumizi yanakua zaidi ya kawaida, Yaani ni extra ordinary, utataka ujaribu kila kinachoongelewa ukijua unaacha alama, lazima atakuja kukukumbuka.
Na nikweli madame wengi wanapenda hayo mambo ambayo mke halali huwezi mfanyia. Mwisho wa siku uko naye kitandani unazagamua lakini anakuona kama fala tu, mawazo yake yote yako kwa njemba iliyokua inamchimba ki hardcore.
Na nikuibie siri mdau. ukiachana na bikra pia kuna mfupa huo dame wangu aliwahi niambia, ukiupindisha huo dame hawezi kukusahau kamwe.
 
Hilo silipingi mkuu,, japo matarajio ya huyo mwamba yalikuwa ni kumpata Dada ambaye atakuwa kajitunza kama yeye. Jambo ambalo si rahisi kama yeye alivyokuwa akifikiria... Kama anampenda huyo binti, Cha msingi atulize akili, akubaliane na matokeo.
Binafsi nilipenda nipate mwanamke ambaye hana historia mbaya, kutembea na mwanamme siyo tatizo kwangu, ila kuishi na mwanamme ndiyo tatizo , kwani katika kuishi na mwanamme ambaye hatamuoa kuna mengi hufanywa na mwanamme huyo, kama ni penzi atamfanya vile atakavyo, na mambo mengine mengi tu kama vile kufua nguo za jamaa ikiwa ni pamoja na boksa, kumuosha jamaa, kumpikia jamaa na kumnyenyekea kwa kila namna, yaani kero kero kero.
 
Matumizi yanakua zaidi ya kawaida, Yaani ni extra ordinary, utataka ujaribu kila kinachoongelewa ukijua unaacha alama, lazima atakuja kukukumbuka.
Na nikweli madame wengi wanapenda hayo mambo ambayo mke halali huwezi mfanyia. Mwisho wa siku uko naye kitandani unazagamua lakini anakuona kama fala tu, mawazo yake yote yako kwa njemba iliyokua inamchimba ki hardcore.
Na nikuibie siri mdau. ukiachana na bikra pia kuna mfupa huo dame wangu aliwahi niambia, ukiupindisha huo dame hawezi kukusahau kamwe.
Mfupa gani mkuu.
 
Back
Top Bottom