Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Ladies,
Kama una 'ka siri kyako', hakikisha unaenda nako kaburini, hii kujifanya ni wema ili tuaminike huwa inakuja kutu-cost mno mno..!!

Me naamini hapo ulipo na wewe mtoa mada una 'ka siri kyako' hutamani mtu akajue sivyo..??

Mpaka hapo kosa la huyo dada ni kukuambia ukweli, sababu hakuyafanya hayo mkiwa pamoja, aliyafanya kabla hamjakutana, waweza usiendelee naye lakini kumpa adhabu..? Kwa kosa lipi..?? Acheni kujivika 'uungu-utu' ilhali ninyi wenyewe ni wakosefu vile vile..!!
Naunga mkono hoja.
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Acha utoto mkuu. Huyo binti hakupaswa kukwambia yote hayo, ni upendo tu umemzidia.

Shukuru alikuwa mtu mmoja kuliko wanaojiuza au wanaotembea na kila mtu chuoni. Acha kabisa kumyanyasa kisaikolojia. Be a man. Everyone has his/her history
 
Acha utoto mkuu. Huyo binti hakupaswa kukwambia yote hayo, ni upendo tu umemzidia.

Shukuru alikuwa alikuwa mtu mmoja kuliko wanaojiuza au wanaotembea na kila mtu chuoni. Acha kabisa kumyanyasa kisaikolojia. Be a man. Everyone has his/her history
Mkuu nimekuelewa , japo naumia sana ,ni mwanamke ambaye ukweli nimempenda sana.
 
Mkuu nimekuelewa , japo naumia sana ,ni mwanamke ambaye ukweli nimempenda sana.
Potezea as if hujui lolote. Rudisha uchangamfu wako wa siku zote na pia tafuta siku toka nae mpate dinner sehemu hata ugali nyama choma sehemu bar. Usirudie rudie hiyo topic tena.

Mkuu, Utampoteza mwanamke wa maana kwa hisia za ajabu ajabu tu. Huyo ka-confess coz kaamua kuanza maisha mapya.
 
Huyo dada ni fwalaaaa, alikuwa na sababu gani kukujulisha hayo yote.
Unaweza kujikuta mwema kumbe unaingia matatizoni.
🤩🤩 Ila hili nalo neno. Sometimes nafikiria kuwa hakufanya sawa kumwambia jamaa kitu ambacho anajua kabisa lazima kitamuumiza
 
Mweeee we kaka ni selfish balaaa hivi unajua binti amekuheshimu mno kua muwazi . Kuna manunda hayasemi na unakuta ana orodha ndefu wanajaa basi la mkoani [emoji23]
There is nothing as liberating as the truth , ukiwa mkweli kwa mwenzako unakua huru mno na hata lolote likitokea it doesn’t surprise you kwasababu unajua so you’ll handle it better!
And trust me ukimuonyesha hasira ama wivu wa kijinga that will be the last piece of truth you get from her Ila if you’re cool she’ll be free na atakua huru kukuambia mengi.
She is a good woman , keep her!
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Acha utoto usifanye maamuzi una hasira alafu mambo ya kochokonoana ndio taabu zake
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Mkuu kwani hapo kosa lake ni lipi? Kua mkweli au? Au umemchoka unamtafutia Tu sababu?
Nakusihi Tu usijaribu kumuacha shemeji labda kama ulikua humpendi
 
Back
Top Bottom