Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Nimecheka sana, mmekaa na wife usiku baada ya kuwekana anaanza kukuambia mwalimu wake wa geography alivyocharaza😁😁😁

Vitu vingine msiruhusu kabisa kwenye maisha ya ndoa, vinawaletea sononeko la moyo bila sababu za msingi.
 
Barieda siku ukikua utagundua hii Dunia siyo yetu na tunapita tu- sijaona kosa la kumuacha huyo mwanamke. Kuna wenzako wameambulia wanawake majangili haswaaa na hawana chembe ya majuto.
Huyo wako Bora nafsi inamsuta anajutia.
Kaeni mlee mtoto wenu.
Narudia kukuasa ,mkataa pema......
 
Huyo nae ana kisedemnede si angekaa kimya tu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bado nawaza aliwashwa nini hadi ayaseme hayo, jinga kweli.

Kikao kilishaamua kama bikra ilishaondoka na pikipiki basi yeye ndio wa pili na huyo wa kwanza hata hamkudumu saaaana. Na wala haujawahi penda kama unavyompenda yeye.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa anafanya mambo yawe magumu bila sababu. Demu hajamkuta bikra anachoumia kitu gani. Kama anataka mwanamke wa peke yake labda amuumbe mwenyewe.
 
Wewe unavyoishi na huyo mwanamke umemlala mpaka kapata mimba umemuoa? Yaan wewe unaumia kwa mambo yake ya nyuma ambayo na wewe unafanya marudio lkn upo hapa kulalamika unachekesha sana.
 
Kama hakupata mtoto basi atakua alifanya abortion haiwezekani watu waishi nyumba Moja wanapika na kupakua approximately a whole Year na asipate ujauzito bro ndo mana me naamini Bora ukutane na single Mather kuliko kukutana na mwanamke alimwaga damu ambayo haikua na hatia kizazii chako kitakua Cha hovyo Sana asipokua muwazi Katika swala la utoaji mimba Ili wote mkaenda mbele za MUNGU na kuomba Toba

Note: ni hatarii kuoa mwanamke asiekua na bikra ukitaka uwe na NDOA yenye UPENDO, AMANI na FURAHA mtangulize MUNGU na atakukutanisha na mwanamke sahihi means wa ubavu wako na Moja ya sifa atakayokua nayo ni bikra utaenjoy SANA 😊💪
 
Mkuu unabahat na ukichezea bahat hiyo utakuja kukutana na bint kajifanya mlokole kumbe hata kiboga analiwa na masela nje..!!! Ofukoz anakupenda ndio mana kakueleza hilo...
WOSIA WANGU KWA WANAUME WOTE TAFUTA MKE ANAYEKUPENDA SIO UNAYEMPENDA( Utakuja nshukuru baday)
 


Maamuzi ni yako Barieda

Ukiamua kumwacha aliyekuambia ukweli wa jambo asilolipenda ili awe na amani ya moyo
Ukamtafuta Yule atakayekuficha ukweli sababu hayupo tayari kuacha hicho alichokua akifanya ni juu yako

Maana mnapenda kudanganywa ukweli hamuutaki kabisaa
 
Barieda
Ya ni kweli ni ngumu kuishi na mtu kama mke na mume asipate ujauzito inawezekana hata amewahi kutoa ujauzito mara kadhaa wa jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…