Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Ukitaka kumuacha nitumie number yake utakuwa unakuja kumsalimu mtoto kila mwisho wa mwezi nimekuruhusu
 
Mwanangu sijakusoma kabisa ! Kwani hapo umekasikirika nn mzee? Wakati kipindi hicho hamkuwa pamoja.
 
Wewe nae umeshupaliaa mwenzio aachwe

Huyo kaka Kama alikuwa anakomalia aambiwe ukweli ulitegemea nini

Mtu kashampa na mimba aliona anafaa hizo past ni past tu ni afadhari mwanzo mbaya kuliko mwisho mbaya
Umesoma vizuri uzi yeye kasema ni binti shoot zake tuu ndo zimempeleke kusema
 
Alitakiwa kujuta moyoni mwake na awekeze akili na mapenzi yake yote kwa mume wake mtarajiwa.
Sio kila kitu kinawekwa wazi.
Angetubu na MUNGU WAKE PIA.
Ndo maana kunawasiwasi wenda kuna kitu anaficha binti awe makini.
Lisije likaja bomu kubwa. Baadae
 
Hilo la huyo dada mbona dogo sana

Mimi mke wangu nilienae aliwah nipa mastory ya nyuma mpaka nikamwambia kuwa ilitokea kaachana na mimi asije akamwambia mwanaume mwingine mastory kama hayo maana sizan kama kuna mwanaume mwenye moyo mgumu kama wangu

Baadhi ya mambo aliyowah kiyafanya:-
-aliwah kuwa msagaji tena wale wa kunyonyana mpaka vinyeo
-waliwahi kuwa wanalala kitanda kimoja mademu wawili na mwanaume mmoja aliekuwa anawatunza baada ya kutoroka kwao mkoani na kuingia mjini
-ameliwa sana na walimu wake wa seko
-aliwah kubakwa
-alivyomaliza darasa la saba akatolewa bikira na mume wa mtu mwenye umri wa baba ake na huyu jamaa mpaka alizaa nae alivyomaliza form 4
-alishawah kwenda kwa waganga kutafuta dawa za kupata wanaume wenye hela
-Yaan alikuwa na mambo mengi mengine nimeyasahau hapa

Dogo oa usimuache,mimi huyu mpaka leo ni mke wangu na ananipenda mno na ananiheshimu sana,pamoja na kuwa huwa namfanyia vituko lakin hajawah taka kunilipizia ingawaje anaweza kufanya lolote lakin katulia haswa
Mwamba huyu hapa
 
Ukweli ni kwamba mwanamke ndiyo hupaswa kujilinda, na ndiyo maana familia nyingi zinahakikisha mtoto wa kike analindwa vyema, kamwe hawezi kuwa sawa na mwanamme.
Ungetafuta BIKRA bro, yani tafuta bikraaaaaa ndo hatakua na historia ya midinyo otherwise uwe single dady for life
 
Na hiki ndicho kinachonitesa, nawaza vingi mno akilini mwangu, mpaka nafikia hatua ya kuwaza kuwa jamaa amefaidi usichana wa mwanamke wangu kwa kipindi kirefu akimtumia vile atakavyo, kuliko mimi ambaye nimekaa naye mwaka mmoja kisha kupata ujauzito.
Una hoja usipuuzwe
 
Angetubu na MUNGU WAKE PIA.
Ndo maana kunawasiwasi wenda kuna kitu anaficha binti awe makini.
Lisije likaja bomu kubwa. Baadae
Ila wewe umeshikilia Bango hii inshu unataka huyo binti aachwe halafu wewe sijui unatafaidika vp
 
Sijipi uMungu mtu, kufanya mapenzi siyo tatizo kubwa kwangu na ndiyo maana hilo halikuniumiza, kwani hata mimi nimetembeza kichapo sana kwa mabinti wengine, tatizo lililopo hapa ni mwanamke ambaye mimi ndiyo niliyemchagua kuwa Mama wa familia yangu, kuwa na historia ya kuishi na mwanamme, nielewe vizuri, ukiishi na mwanamke maana yake huduma unazopewa kama mme amewahi kutoa kwa mwanamme mwingine tena kwa miaka miwili, aisee inauma sana.
Kusema kweli nimesoma na kupata hasira hasa ulivyosema ulimsamehe kutomkuta bikra ihali hata wewe hujamuoa bado unazini na kumpa mimba juu afadhali ungekuwa mume wake....eti kumpa adhabu mtu mzima kisa mambo ya nyuma.

Nikaenda kusoma nyuzi zako za nyuma how perfect you are mpaka utake kumpa adhabu huyo dada mkuu wewe una machafu mengi tena ya kusikitisha. Je umemsimulia yako nae aamue kukupa adhabu au kukusamehe??

All in all man up wewe na mpenzi wako nadhani wanaume wenzio wameshakushauri humu ndani.
 
Thubutu kumuacha uone aisee hakuna langi hutoacha kuona ww ya kale si yananuka vijana wengine wapumbavu aisee
 
Kusema kweli nimesoma na kupata hasira hasa ulivyosema ukimsamehe kutomkuta bikra ihali hata wewe hujamuona bado unazini na kumpa mimba juu afadhali ungekuwa mume wake....eti kumpa adhabu mtu mzima kisa mambo ya nyuma.

Nikaenda kusoma nyuzi zako za nyuma how perfect you are mpaka utake kumpa adhabu huyo dada mkuu wewe una machafu mengi tena ya kusikitisha. Je umemsimulia yako nae aamue kukupa adhabu au kukusamehe??

All in all man up wewe na mpenzi wako nadhani wanaume wenzio wameshakushauri humu ndani.
Mkuu nimekuelewa, that's why nikahitaji ushauri kwenu mnaoelewa changamoto za maisha ya ndoa.
 
Yaani umesema mwenyewe kwa muonekano wake wa nje anafaa kuwa mke.Kwa hiyo ulimpenda kwa nje, sasa anakwambia ya ndani unaanza kupaniki. Wewe endelea kumpenda nje ya ndani achana nayo, utaumiza kichwa au kuishia jela. Achana naye mapema kwa amani moyo wake huko kungine wewe kakuachia mwili. Inawezekana anaendelea na huyo wa bumu na kamwambia hiyo ni mimba yake.
 
Mke wangu usiku wa manane baada ya shoo tukawa tubapiga story za ma ex.
Akanambia enzi anasoma ametoka shule dom akiwa form 3. Anakuna home dar. Kufika stend ubungo ghafla akamuona ticha wake wa geograph. Ticha akampanga pale wakaenda kulala lodge mbagala.. hata home hakufika wanajua bado yuko shule... aiseeeee niliumiaaaa.. wiki tatu sili vizurii roho inaniuma kuhusu yule ticha..
 
Back
Top Bottom