Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Hilo la huyo dada mbona dogo sana

Mimi mke wangu nilienae aliwah nipa mastory ya nyuma mpaka nikamwambia kuwa ilitokea kaachana na mimi asije akamwambia mwanaume mwingine mastory kama hayo maana sizan kama kuna mwanaume mwenye moyo mgumu kama wangu

Baadhi ya mambo aliyowah kiyafanya:-
-aliwah kuwa msagaji tena wale wa kunyonyana mpaka vinyeo
-waliwahi kuwa wanalala kitanda kimoja mademu wawili na mwanaume mmoja aliekuwa anawatunza baada ya kutoroka kwao mkoani na kuingia mjini
-ameliwa sana na walimu wake wa seko
-aliwah kubakwa
-alivyomaliza darasa la saba akatolewa bikira na mume wa mtu mwenye umri wa baba ake na huyu jamaa mpaka alizaa nae alivyomaliza form 4
-alishawah kwenda kwa waganga kutafuta dawa za kupata wanaume wenye hela
-Yaan alikuwa na mambo mengi mengine nimeyasahau hapa

Dogo oa usimuache,mimi huyu mpaka leo ni mke wangu na ananipenda mno na ananiheshimu sana,pamoja na kuwa huwa namfanyia vituko lakin hajawah taka kunilipizia ingawaje anaweza kufanya lolote lakin katulia haswa
Aisee kaka, nina stress hapa lakini nimejikuta nacheka kama mjinga, Pole sana mkuu, wanawake wana akili za ajabu sana, wanafanya mambo bila kutathmini kesho.
 
Pole sana , naelewa situation yako kaka. Kwa uliitaji kwenda kwao kujitambulisha au ushaenda??

Kama ujaenda jipe muda kidogo uangalie itakuwa hayo maumivu kaka.
Nyumbani kwao sijaenda, ila kutokana na ujauzito imenipasa nitoe taarifa na kuanza kuandaa utaratibu wa wazee kwenda. Maake kimsingi wanatakiwa waende wazee siyo mimi.
 
Sasa...hayo mambo ya nyuma wewe yanakuumiza nini?.. mbona mnacomplicate mambo
 
Malaika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiukweli kuna mambo na mambo yakusema mengine husemi!Na kutokusema sio kwamba umedanganya ila tu umeamua kutokusema!
Hizi confessions unatakiwa uangalie na mtu unaemwambia kwakweli uchekeche na uchuje!
Kuna mambo ukisema yanakupa credit na mengine yanakushusha sasa lazima ujue kubalance equation na ku shape narration yako.
Ila bado nampongeza confessing ni ujasiri wa aina yake!
Kabisa, ni lazima umjue mtu wako kabla hujaamua kuweka wazi mambo yako ya nguma, au labda bidada alikuwa na nia ya kuachwa. Doesn't make sense.
 
Ni kweli sikumkuta bikra ila nilimsamehe kimyakimya, kwani hata mimi nimekula sana.
Ulimsamehe kimya kimya kwali alikukosea kutokuwa bikra?? Je wewe umemuoa kwa ndoa hadi umsamehe kutokuwa bikra au mnazini tuu??

Na kinachokufanya urindime hasira ni yeye kuishi na mtu kabla hamjajuana seriously dude?? Labda kama unataka kupita hivi baada ya kumpa mimba ndio unamtafutia sababu.

Kumpa adhabu kama nani wewe?? Acha kujipa uMungu kujiona unamtawala simply because ni mpenzi wako na umempa mimba, eti adhabu ndogo khaaa aiseee. Mpe pole yake kwa aina ya mpenzi, baby dady aliyempata
 
Sababu uliyotoa ni ya bora ovyo kuwahi kutokea.

Haya kakate mgomba uuweke ndani sasa.
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Mbususu sii unapewa
 
Mkuu huyu siyo single mother mimba ni yangu, koz nimeishi naye kwa zaidi ya mwaka sasa.
Sasa mbona kama unamuadhibu kwa kusema ukweli? ,Halafu ilikuwaje mpaka unafatilia mahusiano yake yaliyopita ?
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Binti ni muwazi,
Ila hana akili,hakuwa na sababu yoyote ya msingi ya kusema hayo,
Au kuna lingine kubwa kuliko,alitaka kukwambia akakwepesha story?
 
Me nikazani ata nyapu yake labda ime tanuka kumbe iko vile vile ,una nuna nini sasa mtu asi fanywe kwa raha zake
 
Sina historia nzuri kwa 100%, lakini kumbuka katika suala la kuoa sisi tunazingatia historia ya mwanamke.
Basi hutooa maisha yako yote, sidhani kama yupo mwenye historia nzuri 100% tena kama sio bikra ndo kabisaaa (na nyie historia za sisi kudinywa ndo zinawaumaga as if nyie hamjawahi)
 
Bado nawaza aliwashwa nini hadi ayaseme hayo, jinga kweli.

Kikao kilishaamua kama bikra ilishaondoka na pikipiki basi yeye ndio wa pili na huyo wa kwanza hata hamkudumu saaaana. Na wala haujawahi penda kama unavyompenda yeye.

[emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa

Ya mwisho nimeipenda hatujadumu tulikulana mara moja hata hivyo sijawah kupenda wewe ndio wa kwanza[emoji1787]

Hata niwe in love kiasi gani siwezi kumwambia new baby ukweli kuhusu ex wangu
 
Back
Top Bottom