Hapa nimeanza kushtukia jambo pia, binti ameanza kujidefend. Kutakuwa kuna kubwa sana nyuma yakeMimi naamini kuna kitu nyuma yake bro si rahisi, amemwambia ili iweje sasa, kuna something wenda anaficha usikute ata mimba ni ya mwamba ya chuo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa nimeanza kushtukia jambo pia, binti ameanza kujidefend. Kutakuwa kuna kubwa sana nyuma yakeMimi naamini kuna kitu nyuma yake bro si rahisi, amemwambia ili iweje sasa, kuna something wenda anaficha usikute ata mimba ni ya mwamba ya chuo.
Me mwenye uhakika kuwa sitakuwa nae baadae anakuwa anafanya vitu vya ovyo sana.Hatari.....mabinti nao ujue wanapenda sio mnataka kusema wanaume tuu ndio wana hizo fantasys
Ndo hivyoKwanza kuna kitu unaficha-maana haingii akilini umkatae binti kwa sababu ya past.
Kwanza mlikuwa mnaongea nini mpaka akifika hatua hiyo ya kukueleza hivyo
Ongera unaonekana ni mtu wa kupotezea ila mimk ni kama mtoa mada siwezi kabisa.Mi kuna binti nipo naye wa chuo yupo masters, nilipo mtokea tu akaniuliza kama nitawezena nae nikamuuliza kwa nini-akasema yeye ana mambo mengi bado hajamaliza ujana.
Nikamwambia hata Mimi nilikuwa kama wewe,na labda Mungu ananitumia Mimi kumalizoa hayo mambo yako mengi.
Niligundua yule binti hapendi mambo ya kufatiliwa na mwanaume anapenda Uhuru zaidi,nikacheza na akili take nikawa nafanya hivyo badaye alianza kufunguka mambo yake mengi sana ya nyuma ya mahusiano,ya afya yake na familia yake kwangu.
Ana matukio mengi na makubwa,but I didn't care coz ni past na kwa sasa nipo naye na nina mshape ninavyohitaji kidogo dogo kama tukiendelea vizuri hope tutafika mbali.
Kaka sikuwa naye kwenye mahusiano, amemaliza chuo ndipo nikaingia naye kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba ndiye mama la mama ambaye nilitegemea awe wa maisha yangu.Alikaaa na jamaa kipindi wewe mpo kwenye mahusiano au mlikuwa bado hamjakutana bro??
Bro salute kwako, wewe ni wale wa kupotezea ,Hilo la huyo dada mbona dogo sana
Mimi mke wangu nilienae aliwah nipa mastory ya nyuma mpaka nikamwambia kuwa ilitokea kaachana na mimi asije akamwambia mwanaume mwingine mastory kama hayo maana sizan kama kuna mwanaume mwenye moyo mgumu kama wangu
Baadhi ya mambo aliyowah kiyafanya:-
-aliwah kuwa msagaji tena wale wa kunyonyana mpaka vinyeo
-waliwahi kuwa wanalala kitanda kimoja mademu wawili na mwanaume mmoja aliekuwa anawatunza baada ya kutoroka kwao mkoani na kuingia mjini
-ameliwa sana na walimu wake wa seko
-aliwah kubakwa
-alivyomaliza darasa la saba akatolewa bikira na mume wa mtu mwenye umri wa baba ake na huyu jamaa mpaka alizaa nae alivyomaliza form 4
-alishawah kwenda kwa waganga kutafuta dawa za kupata wanaume wenye hela
-Yaan alikuwa na mambo mengi mengine nimeyasahau hapa
Dogo oa usimuache,mimi huyu mpaka leo ni mke wangu na ananipenda mno na ananiheshimu sana,pamoja na kuwa huwa namfanyia vituko lakin hajawah taka kunilipizia ingawaje anaweza kufanya lolote lakin katulia haswa
Ndo maana nimemwambia akague marinda pia.Hapa nimeanza kushtukia jambo pia, binti ameanza kujidefend. Kutakuwa kuna kubwa sana nyuma yake
Umeona eeeHuyo mdada na yeye boya tu, kasema ili iweje?
Hata akifanya mimi sijali,bahati nzuri sijawah kumpenda mwanamke yaan sijawah kupenda,wanawake ndo huwa wanahangaika juu yanguBro salute kwako, wewe ni wale wa kupotezea ,
Ila kama mimi ninkama mtoa mada siwezi kabisa.
Ila huyo mkeo nafikilk aliamua tuu kufanya hayo. Na trust me bado anaweza akawa anafanya mpaka sasa.
Pole sana , naelewa situation yako kaka. Kwa uliitaji kwenda kwao kujitambulisha au ushaenda??Kaka sikuwa naye kwenye mahusiano, amemaliza chuo ndipo nikaingia naye kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba ndiye mama la mama ambaye nilitegemea awe wa maisha yangu.
Huyo mdada na yeye boya tu, kasema ili iweje?
Binti mwenyewe ndo kamwambia.Mkuu naona umejipigia picha ukaona ni jinsi gani jamaa lilivyokuwa linafaidi na huyo mtu wako huko chuo. Pole sana ila usipende sana kufukunyua mambo, hayo huwa hatuulizani, kwa vile kama ni kuwekwa kawekwa...
We are sailing the same boat. Nahisi nitaoa mwingine muda siyo mrefu, nilijizuia sana kuwa watoto wa mama tofauti, ila the situation I'm confronting compels me to so be.Wakuu kwema,
Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).
Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.
Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.
Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .
Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.
Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.
Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Bro mtoa uzi kuwa makini wanawake wanatunza siri sana,Ndiyo kilichotokea na soon jamaa anaenda ku find out. Wanawake wana siri zao huwa hawazitoi hata iweje. Halafu leo hii huyo aanze tu kujielezea, kwa kujifanya anampenda sana!! Hapo tayari kuna msala tena, mkubwa tu.
SanaHahahaa hili ni kweli anatumika sana linakuwa chimbo lako la fantasies
Huyo mwanamke naye mjinga tu kulikuwa na haja Gani ya kujieleza yote hayo wakati hajaulizwa!!? Ona Sasa anaenda kuwa singo maza kizembe?? [emoji4][emoji28][emoji28][emoji28]Wakuu kwema,
Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).
Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.
Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.
Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .
Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.
Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.
Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Na hiki ndicho kinachonitesa, nawaza vingi mno akilini mwangu, mpaka nafikia hatua ya kuwaza kuwa jamaa amefaidi usichana wa mwanamke wangu kwa kipindi kirefu akimtumia vile atakavyo, kuliko mimi ambaye nimekaa naye mwaka mmoja kisha kupata ujauzito.Madam ndo kukaa kama mume na mke daa, we image , wanaamka asubui wote, anapikiwa jamaa, anafuliwa nguo, anasafishiwa ghetto, anapikiwa mchana na jioni, usiku anapiga game afu anakojoa ndani, asubui afaua shuka.
Kwa miaka kadhaa daaa.
Mimi mwenye siwezi hata kama alifanya kipindi sipo nae.
Mimi mwenye sijawahi kulala na binti all night.
Hata binti kuja ghetto kwangu. Daaa.
Naelewa maumivu ya jamaa asichukulie poa.
Ndo maana nimemwambia asiende kujitambulisha kwao, akaae kwanza ajipe muda , ila aongee na binti kwanza kuhusu hilo swala asikae kimya.It’s up to her hakuna anaejua kwanini kasema ila kibinadamu linabaki kua jambo la kiungwana.
Sasa Kama ana motives zake atajiharibia mwenyewe ukizingatia mvulana wake hana kifua cha kuhimili ana wivu balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu jipe muda hata mwaka pengine zaidi uangalie moyo wako kama umerudi au la, ila usisahau kumwambia kaka. Muongee afu muamue mufanye nini.Na hiki ndicho kinachonitesa, nawaza vingi mno akilini mwangu, mpaka nafikia hatua ya kuwaza kuwa jamaa amefaidi usichana wa mwanamke wangu kwa kipindi kirefu akimtumia vile atakavyo, kuliko mimi ambaye nimekaa naye mwaka mmoja kisha kupata ujauzito.