Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Sikuwa na mpango wa kuwa na Mtoto wa nje lakini huenda ikawa hivyo

Hatari.....mabinti nao ujue wanapenda sio mnataka kusema wanaume tuu ndio wana hizo fantasys
Me mwenye uhakika kuwa sitakuwa nae baadae anakuwa anafanya vitu vya ovyo sana.
Atataka style aone ipoje.
Ila kwa ishu ya dada kukaa na mwanaume nafikili ni tabia ya mtu, wapo mabinti wengi tuu vyuoni hawana hayo mambo wapo wanaokula hata mlo mmoja kwa siku, huyo kuna kitu nyuma yake. Sio rahisi amwambie afu iweje.

Sasa kama anatafuta pesa kwa kutumia K.
Kuna wadada wawili hapa waliwahi kuleta uzi.
Mmoja alisema " Kufukuzwa kazi kwa mume wangu, kanifundisha kuchepuka"

Wa pili yeye alisema " mume wangu kazaa nje , ameamua kichepuka ili kuwajengea watoto wake wa kike, maana kwa baba yao hawatarithi anataka kumpa mtoto wa nje wa kiume"

Bro mleta uzi kuwa makini mabinti watumia k, kukidhi maisha hio tabiaa hawaachi.
 
Mi kuna binti nipo naye wa chuo yupo masters, nilipo mtokea tu akaniuliza kama nitawezena nae nikamuuliza kwa nini-akasema yeye ana mambo mengi bado hajamaliza ujana.
Nikamwambia hata Mimi nilikuwa kama wewe,na labda Mungu ananitumia Mimi kumalizoa hayo mambo yako mengi.

Niligundua yule binti hapendi mambo ya kufatiliwa na mwanaume anapenda Uhuru zaidi,nikacheza na akili take nikawa nafanya hivyo badaye alianza kufunguka mambo yake mengi sana ya nyuma ya mahusiano,ya afya yake na familia yake kwangu.

Ana matukio mengi na makubwa,but I didn't care coz ni past na kwa sasa nipo naye na nina mshape ninavyohitaji kidogo dogo kama tukiendelea vizuri hope tutafika mbali.
Ongera unaonekana ni mtu wa kupotezea ila mimk ni kama mtoa mada siwezi kabisa.
 
Alikaaa na jamaa kipindi wewe mpo kwenye mahusiano au mlikuwa bado hamjakutana bro??
Kaka sikuwa naye kwenye mahusiano, amemaliza chuo ndipo nikaingia naye kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba ndiye mama la mama ambaye nilitegemea awe wa maisha yangu.
 
Hilo la huyo dada mbona dogo sana

Mimi mke wangu nilienae aliwah nipa mastory ya nyuma mpaka nikamwambia kuwa ilitokea kaachana na mimi asije akamwambia mwanaume mwingine mastory kama hayo maana sizan kama kuna mwanaume mwenye moyo mgumu kama wangu

Baadhi ya mambo aliyowah kiyafanya:-
-aliwah kuwa msagaji tena wale wa kunyonyana mpaka vinyeo
-waliwahi kuwa wanalala kitanda kimoja mademu wawili na mwanaume mmoja aliekuwa anawatunza baada ya kutoroka kwao mkoani na kuingia mjini
-ameliwa sana na walimu wake wa seko
-aliwah kubakwa
-alivyomaliza darasa la saba akatolewa bikira na mume wa mtu mwenye umri wa baba ake na huyu jamaa mpaka alizaa nae alivyomaliza form 4
-alishawah kwenda kwa waganga kutafuta dawa za kupata wanaume wenye hela
-Yaan alikuwa na mambo mengi mengine nimeyasahau hapa

Dogo oa usimuache,mimi huyu mpaka leo ni mke wangu na ananipenda mno na ananiheshimu sana,pamoja na kuwa huwa namfanyia vituko lakin hajawah taka kunilipizia ingawaje anaweza kufanya lolote lakin katulia haswa
Bro salute kwako, wewe ni wale wa kupotezea ,
Ila kama mimi ninkama mtoa mada siwezi kabisa.
Ila huyo mkeo nafikilk aliamua tuu kufanya hayo. Na trust me bado anaweza akawa anafanya mpaka sasa.
 
Bro salute kwako, wewe ni wale wa kupotezea ,
Ila kama mimi ninkama mtoa mada siwezi kabisa.
Ila huyo mkeo nafikilk aliamua tuu kufanya hayo. Na trust me bado anaweza akawa anafanya mpaka sasa.
Hata akifanya mimi sijali,bahati nzuri sijawah kumpenda mwanamke yaan sijawah kupenda,wanawake ndo huwa wanahangaika juu yangu
 
Kaka sikuwa naye kwenye mahusiano, amemaliza chuo ndipo nikaingia naye kwenye mahusiano, ukweli ni kwamba ndiye mama la mama ambaye nilitegemea awe wa maisha yangu.
Pole sana , naelewa situation yako kaka. Kwa uliitaji kwenda kwao kujitambulisha au ushaenda??

Kama ujaenda jipe muda kidogo uangalie itakuwa hayo maumivu kaka.
 
Huyo mdada na yeye boya tu, kasema ili iweje?

Malaika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiukweli kuna mambo na mambo yakusema mengine husemi!Na kutokusema sio kwamba umedanganya ila tu umeamua kutokusema!
Hizi confessions unatakiwa uangalie na mtu unaemwambia kwakweli uchekeche na uchuje!
Kuna mambo ukisema yanakupa credit na mengine yanakushusha sasa lazima ujue kubalance equation na ku shape narration yako.
Ila bado nampongeza confessing ni ujasiri wa aina yake!
 
Mkuu naona umejipigia picha ukaona ni jinsi gani jamaa lilivyokuwa linafaidi na huyo mtu wako huko chuo. Pole sana ila usipende sana kufukunyua mambo, hayo huwa hatuulizani, kwa vile kama ni kuwekwa kawekwa...
Binti mwenyewe ndo kamwambia.
Ndo maana tunasema kutakuwa kuna issue nyuma binti anaficha anaogopa isije repuka baadae.
Dada yangu Kapeace njoo huku
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
We are sailing the same boat. Nahisi nitaoa mwingine muda siyo mrefu, nilijizuia sana kuwa watoto wa mama tofauti, ila the situation I'm confronting compels me to so be.
 
Ndiyo kilichotokea na soon jamaa anaenda ku find out. Wanawake wana siri zao huwa hawazitoi hata iweje. Halafu leo hii huyo aanze tu kujielezea, kwa kujifanya anampenda sana!! Hapo tayari kuna msala tena, mkubwa tu.
Bro mtoa uzi kuwa makini wanawake wanatunza siri sana,
Why akuambie???????
Jiulize kwanza hilo bro????
 
Wakuu kwema,

Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha yangu nilijitunza sana ili kuhakikisha sizai hovyo na mwanamke ambaye sitamuoa na nihakikishe napata mwanamke sahihi kwangu na kwa mstakabali mzima wa familia yangu (watoto).

Katika harakati za maisha nimefanikiwa kukutana na dada, ambaye kwa mwonekano wa nje Angefaa sana kuwa mke wangu na mama wa watoto wangu, nikiri kuwa nilimpenda sana, bila shaka hata yeye kanipenda sana, kwa ufupi kaja kwangu nimeendelea kula mzigo dada kabeba ujauzito na anaelekea kujifungua.

Juzi hapa nikiwa kitandani nawaza mambo ya dunia, kwa upole na kwa hekima ya hali ya juu kaniingizia jambo ambalo ukweli limenitoa kwenye reli.

Kwa kutanguliza msamaha na kwa unyenyekevu wa hali ya juu kanieleza kuwa pindi akiwa chuo kuanzia second year hali ya maisha ilikuwa ngumu sana kwa upande wake kutokana na wazazi kutomtimizia mahitaji ya msingi (fedha ya chakula) kwani alisomeshwa na wazazi .

Hivyo kutokana na hali hiyo ilipelekea kuhama hosteli na kwenda kukaa kinyumba na mwanachuo mwenzake (mwanamme) mpaka kumaliza chuo kisha akaachana naye, huyo jamaa alikuwa na boom, hivyo basi kutokana na hali hiyo jambo hilo amekaa nalo moyoni kwa muda mrefu ila ameshindwa kuvumilia anaomba msamaha na kunisihi nimuamini katika maisha yake yote.

Niseme tu kwamba sijaongea chochote mpaka sasa, nimekosa cha kumjibu na hapa moyo wangu unarindima hasira isiyo na mfano, chakula hakipandi na nahisi kupaliwa na kila kiingiacho kinywani kwangu, kila adhabu nayowaza nahisi ni ndogo kwake.

Wakuu wenye hekima na busara naomba mawazo yenu, maake nahisi mi nimefika ukomo wa kuwaza zaidi ya kutaka kufanya maamuzi magumu na ya ovyo.
Huyo mwanamke naye mjinga tu kulikuwa na haja Gani ya kujieleza yote hayo wakati hajaulizwa!!? Ona Sasa anaenda kuwa singo maza kizembe?? [emoji4][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Madam ndo kukaa kama mume na mke daa, we image , wanaamka asubui wote, anapikiwa jamaa, anafuliwa nguo, anasafishiwa ghetto, anapikiwa mchana na jioni, usiku anapiga game afu anakojoa ndani, asubui afaua shuka.
Kwa miaka kadhaa daaa.
Mimi mwenye siwezi hata kama alifanya kipindi sipo nae.
Mimi mwenye sijawahi kulala na binti all night.
Hata binti kuja ghetto kwangu. Daaa.
Naelewa maumivu ya jamaa asichukulie poa.
Na hiki ndicho kinachonitesa, nawaza vingi mno akilini mwangu, mpaka nafikia hatua ya kuwaza kuwa jamaa amefaidi usichana wa mwanamke wangu kwa kipindi kirefu akimtumia vile atakavyo, kuliko mimi ambaye nimekaa naye mwaka mmoja kisha kupata ujauzito.
 
It’s up to her hakuna anaejua kwanini kasema ila kibinadamu linabaki kua jambo la kiungwana.
Sasa Kama ana motives zake atajiharibia mwenyewe ukizingatia mvulana wake hana kifua cha kuhimili ana wivu balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo maana nimemwambia asiende kujitambulisha kwao, akaae kwanza ajipe muda , ila aongee na binti kwanza kuhusu hilo swala asikae kimya.
Ajipe muda hata mwaka au zaidi aangalie kisaikolojia kafikia wapi kama kashidwa piga chini.
 
Na hiki ndicho kinachonitesa, nawaza vingi mno akilini mwangu, mpaka nafikia hatua ya kuwaza kuwa jamaa amefaidi usichana wa mwanamke wangu kwa kipindi kirefu akimtumia vile atakavyo, kuliko mimi ambaye nimekaa naye mwaka mmoja kisha kupata ujauzito.
Mkuu jipe muda hata mwaka pengine zaidi uangalie moyo wako kama umerudi au la, ila usisahau kumwambia kaka. Muongee afu muamue mufanye nini.
 
Back
Top Bottom