Heheheheh kunaonekana kuna jambo la maana humo kwenye movie ๐ itabidi nije nishuhudie kwa macho yangu humo๐Huyu mwamba sio engineer wa wapi asie waza mapenzi๐๐๐ asee nipo milimani city nataka niingie kwenye movie tucheze na watoto wenzangu
Sijui nimepatwa na nani sielewi yaaniHeheheheh kunaonekana kuna jambo la maana humo kwenye movie ๐ itabidi nije nishuhudie kwa macho yangu humo๐
Baghosha, humo kutakuwa na accessories za kufurahisha macho ๐ sio rahisi kwa baharia kuzamia kwenye movie theatre bila catalyst!Sijui nimepatwa na nani sielewi yaani
Nilicheka sanaMuhuni alitiwa nyavuni๐ sema sio vizuri kumcheka mwamba, asije akakudaka kupooza rejeta ๐ ๐ ๐
We uko reachable?Nilicheka sana
Bahati yake hakuwa reachable
Mwanaume unakua soft jishikilie weweeMaisha yanabadirika, nyie wagumu ndio huwa mnavurygwa kweli kweli.. bora sie soft soft
haya wagumu, nyie miambaMwanaume unakua soft jishikilie wewee
kuitoa kama vita ya maji majiWe uko reachable?
Yaani mtu unakuwa soft na vitu vya kijinga useme bora?.Maisha yanabadirika, nyie wagumu ndio huwa mnavurygwa kweli kweli.. bora sie soft soft
Watu kama nyie ndio laini sanaaa, nyuma ya keyboard mnajiona miamba kumbe wepesi tu kama upepoYaani mtu unakuwa soft na vitu vya kijinga useme bora?.
Endelea kupambana na "ULAINI" nafikiri upo kwenye hatua kuelekea ukomavu utakomaa tuu ...
Amini mkuu uko peace sana ,oa wake wannehaya wagumu, nyie miamba
Wake wa nne sie vijana wa kimoja tutapigiwq sana .. acha tupambane na hali zetuAmini mkuu uko peace sana ,oa wake wanne
Kimoja chalii afu unakoroma kidume mpk asbuh hahaWake wa nne sie vijana wa kimoja tutapigiwq sana .. acha tupambane na hali zetu
wakati mwingine hata hicho kimoja hakipi, yaani unapiga nusu bao, hujui hata kama umepiga bao ila kududu unashangaa kimelala na ghafla unalala hapo hapo ๐๐๐Kimoja chalii afu unakoroma kidume mpk asbuh haha