Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HelaHera!? Endelea kujidanganya
Haujaelewa mbna kasema kwamba madem wengne anao(backup) ila baada ya kuachwa na uyo bdo haijasaidia chchte.sijasema pesa utuliza mwanamke ilaukiwa nazo ni bora zaidi.akizingua unapiga chini unavuta kifaa kingine. Wanawake wapo wengi Sana kwanini uumie na mmoja?
Mkuu Wanama umenielewa vizuri sana, backup zangu zingine kali kuliko namba moja ila haikufua dafu, kuna kipindi upo na backup yako inajaribu ku care kwa kila namna ila inakuwa kama mawimbi na kama kuna moja amabyo nili amini naipenda kuliko namba moja wangu, na hata ilivyotokea shida niliigusia ilijaribu sana kunitulipa ila wapi moyono unauma baraa , amani ya ndani inatoweka kabisa akili inakuwa nzito kabisaa kabisaaHaujaelewa mbna kasema kwamba madem wengne anao(backup) ila baada ya kuachwa na uyo bdo haijasaidia chchte.
Mapenzi yanauma uwe na pesa ama uwe kapuku.
Unaweza kuvuta mwingne ila hatofikia level ya kumpenda yule sas maumivu yatakuwa palepale,pesa sio suluhisho
Unatak ateseke kisa wangap??Unaanzaje kuteseka kisa mwanamke mmoja???
Watu si wanapayuka tu hawajui moyo(mapenzi) na pesa Ni vitu viwili tofauti. Backup na pesa izo zinasaidia tu kutuliza ny*ge na sio kupata mapenzi(ile feeling).pesa haileti mapenzi Bali inaleta wanawakeMkuu Wanama umenielewa vizuri sana, backup zangu zingine kali kuliko namba moja ila haikufua dafu, kuna kipindi upo na backup yako inajaribu ku care kwa kila namna ila inakuwa kama mawimbi na kama kuna moja amabyo nili amini naipenda kuliko namba moja wangu, na hata ilivyotokea shida niliigusia ilijaribu sana kunitulipa ila wapi moyono unauma baraa , amani ya ndani inatoweka kabisa akili inakuwa nzito kabisaa kabisaa
Ni kwa vile tu billgate hayupo JF Angelia San humu au uskute aliyeleta mada ndo billgate mwenyewe.Haimtuliz mwanamke ila itakutuliza wewe uache kulia lia we siunaona bill get halii lii hovyo kisha breakup
Mkuu Wanama umenielewa vizuri sana, backup zangu zingine kali kuliko namba moja ila haikufua dafu, kuna kipindi upo na backup yako inajaribu ku care kwa kila namna ila inakuwa kama mawimbi na kama kuna moja amabyo nili amini naipenda kuliko namba moja wangu, na hata ilivyotokea shida niliigusia ilijaribu sana kunitulipa ila wapi moyono unauma baraa , amani ya ndani inatoweka kabisa akili inakuwa nzito kabisaa kabisaa
Nimebaki kwa namba moja, nimeona ma backup haya kazi. Wala siungi mkono tena backupSasa si uachane na hizo backup usimame tu na njia kuu kwa uaminifu?
Ni kwa vile tu billgate hayupo JF Angelia San humu au uskute aliyeleta mada ndo billgate mwenyewe.
Mapenzi hayana komandoo
Nimebaki kwa namba moja, nimeona ma backup haya kazi. Wala siungi mkono tena backup
usicheze na ke'' wee dogo! samson hakuwa mjinga...... shika neno hili! utakuja jikuta unatembea tembea njiani then una jinyea hadharani! kisa hujui! ndo utajua kuwa hujui ..... naUkiwa nahela una nafuu Sana.
maana utatembea name mwanamke yeyote unayemtaka. Shida mapenzi mnayakutia ukubwani
Kumbuka hio pesa zenu mwajuma ndala ndefu anazitaka pia! mtarogwa nyie mpaka mtie akili! kuwa na pesa halafu muwe wachawi hkn cha dini hapo yesu mzungu wapi na wapi!Hakuna raha kama uwe na pesa, afu ukawa na mtu pia ambaye mnapendana; raha sana. Too bad kuna wenzetu ambao mioyo imeshakufa kama sio kujikatia
Pole sana mkuu, mapenzi yanatesa yakiwa yapo ndivyo sivyoNilikuwa nashangaa mtu akililia, yamenikuta hadi nahisi mwili unawaka moto .. check backup zote hazijafikia kiwango cha namba moja wao.. kujifariji kupitia backup lakini wapiiii maumivu yapo pale pale dah! ama kweli backup sio mkombozi.
Dah ndio naona leo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] SAFI SANA.
Karma mtu kakutwa na jambo huku. Si ni huyu ndiye alisema hatumsumbui anapiga na kusepa? Hehehe haloooo baharia analia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Saint Anne
Tafuta ela acha utotoNilikuwa nashangaa mtu akililia, yamenikuta hadi nahisi mwili unawaka moto .. check backup zote hazijafikia kiwango cha namba moja wao.. kujifariji kupitia backup lakini wapiiii maumivu yapo pale pale dah! ama kweli backup sio mkombozi.
Jitulize naweza nikawa baba yakoTafuta ela acha utoto