Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
- Thread starter
- #41
wanasema usitukane mwamba kabla hujavuka mto, ipo siku na yaja saaa watafuta kauli zao. Nilikuwa kama wao ila kwa tukio ambalo nimepigwa aah! inategemea umekutana na nani 😀😀😀Bro hujawah kukutana na mwanamke wewe...kuna madem mna match kila sector maongez, utan, sex tamu ,..hakuegemei kwenye outing ama matumiz ya kawaida Yan raha sana sasa achana na demu wa hiv kutana na akina ndala ndefu....