Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upon bize kulalamika mapenzi ,chukua jembe ukalimeJitulize naweza nikawa baba yako
Angalia mie ni baba yako naweza kukule shenz.i kabisa, matoto ya siku hizi konyo sana.. unafikiri kila mtu unalingana nae humuUpon bize kulalamika mapenzi ,chukua jembe ukalime
FactKuna watu ambao wanafikiri pesa inaweza ikawa substitute ya upendo, kumbe ni kitu ambacho hakipo kwa %kubwa. Hakuna raha kama uwe na pesa, afu ukawa na mtu pia ambaye mnapendana; raha sana. Too bad kuna wenzetu ambao mioyo imeshakufa kama sio kujikatia tamaa, wameamua tu kutafuta pesa na kuachana na mengineyo; na ndiyo watu ambao hata wakipendwa hawapendeki. Wanatreat wenza wao as one of their items, mwisho wa siku wanaachwa tu na nafsi zao zilizokufa. Upendo ni kitu cha thamani sana kwenye maisha
Ameamua kunywa panado advance na kusonga mbele kama injili!Baada ya kujua kuwa yanaumiza umeamua nini?
Kwahy MTU mzma una akili za kitoto ebu kua Mkuu ,unataibisha Wazee wenzioAngalia mie ni baba yako naweza kukule shenz.i kabisa, matoto ya siku hizi konyo sana.. unafikiri kila mtu unalingana nae humu
mzee mwenzio nani ?Kwahy MTU mzma una akili za kitoto ebu kua Mkuu ,unataibisha Wazee wenzio
Huu mda ungeutumia kulima badal ya kuwaz mapenzmzee mwenzio nani ?
wote tukilima unafikiri nchi itaenda ?Huu mda ungeutumia kulima badal ya kuwaz mapenz
😂😂😂😂😂😂😂😂wote tukilima unafikiri nchi itaenda ?
Itaenda tu bilashakawote tukilima unafikiri nchi itaenda ?
Basi komaa na hayo yanayokuumiza ili Nchi iende.wote tukilima unafikiri nchi itaenda ?
Sawa kaka mkubwa nikiingia kweny mapenz utanipa ushauriwote tukilima unafikiri nchi itaenda ?
Muhuni alitiwa nyavuni😅 sema sio vizuri kumcheka mwamba, asije akakudaka kupooza rejeta 😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 SAFI SANA.
Karma mtu kakutwa na jambo huku. Si ni huyu ndiye alisema hatumsumbui anapiga na kusepa? Hehehe haloooo baharia analia 🤣🤣🤣
Saint Anne
Huyu mwamba sio engineer wa wapi asie waza mapenzi😀😀😀 asee nipo milimani city nataka niingie kwenye movie tucheze na watoto wenzangu😂😂😂😂😂😂😂😂
haya kama itaenda itapendeza sana.. mna umeme na maji hapo mlipo kwanza ?Itaenda tu bilashaka
Maisha yanabadirika, nyie wagumu ndio huwa mnavurygwa kweli kweli.. bora sie soft softBasi komaa na hayo yanayokuumiza ili Nchi iende.