passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Binafsi nadhani first names ndo zenye maana anayoihitaji mtoa mada,na siyo majina ya ukoo. May be nayo yana maana..!!Naomba maana ya
1.Mwakasakafyuka
2. Mwaipopo
3. Mwakaleli
4. Mwakabungu
5. Mwamposa
Tununuu
To yeye come this way
Kama yapi hayo mkuu tofauti na hilo tuntufye.Binafsi nadhani first names ndo zenye maana anayoihitaji mtoa mada,na siyo majina ya ukoo. May nayo yana maana..!!
Gwantwa, Ndigwako, Tumpe, Nsubili, Anyonyisye, Andongolile etcKama yapi hayo mkuu tofauti na hilo tuntufye.
Tumpale?
Umenikumbusha mbali sana eti TununuNaomba maana ya
1.Mwakasakafyuka
2. Mwaipopo
3. Mwakaleli
4. Mwakabungu
5. Mwamposa
Tununuu
To yeye come this way
Binafsi nadhani first names ndo zenye maana anayoihitaji mtoa mada,na siyo majina ya ukoo. May nayo yana maana..!!
Lazima mdomo uwe hiviUmenikumbushe mwali sana eti Tununu
Maana zakeGwantwa, Ndigwako, Tumpe, Nsubili, Anyonyisye, Andongolile etc
Ni kama kusakafia kama sijakosea
Kusakafia ndio sakafyuka?Ni kama kusakafia kama sijakosea
Hayo ni ya ukoo. Yenye maana ni Yale ya mwanzo. Lusekelo,Nsaji,Lusako,Lusajo,Mpoki,Sekela. HivyoNaomba maana ya
1.Mwakasakafyuka
2. Mwaipopo
3. Mwakaleli
4. Mwakabungu
5. Mwamposa
Tununuu
To yeye come this way
Hapa kuna baadhi ya majina ya Wanyakyusa, pamoja na maana zake:Wakuu habari za asubuhi?
Nafika kazini asubuhi hii, namsalimu jirani yangu ananiambia Tuntufye.
Namuuliza hao si wanyakyusa, anasema majina yote ya wanyakyusa yana maana
Tuntufye ni - tumsifu😀
Gwamaka- mwenye nguvu
Embu wanyakyusa tupeni maana ya majina yenu?
Mwahave
- Kissa - Huruma
- Gwakisa - Mwenye huruma
- Lugano - Upendo
- Gwalugano - .....malizia
- Tupeligwe - Tumepewa
- Asajile - Amenisaidia/amenibariki
- Andendekisye - Ametengeneza
Kwakifupi majina mengi ya kinyakyusa tukiyatazama katika kiswahil fasaha, sio majina (NOMINO) , mengi sana ni Vitendo (VITENZI) au VIVUMISHI.
Mfano hayo majina nimeyaweka hapo, ukitoa
- Kisa
- Lugano
Yaliobaki hapo ni Vitenzi na Vivumishi
Kilingo ni urithi, kurithishwa.Mimi nataka kujua maana ya "kiringo" ktk mila na tamaduni za waafrika
Cc Bujibuji Simba Nyamaume To yeye