passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
- Thread starter
- #141
Je mpoki comediani ni mnyakyusa?Mpoki ni jina la kinyakyusa ndio na maan yake ni Mwokozi au mkombozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je mpoki comediani ni mnyakyusa?Mpoki ni jina la kinyakyusa ndio na maan yake ni Mwokozi au mkombozi.
Nilikuwa nadhan ni la kihayaMpoki ni jina la kinyakyusa ndio na maan yake ni Mwokozi au mkombozi.
Hapo sijui mkuu may be kuna kabila lingine lenye maana tofautiJe mpoki comediani ni mnyakyusa?
nimegundua kwann hawa jama hawana sifa ya ucboyo majina yanaumba
- Kissa - Huruma
- Gwakisa - Mwenye huruma
- Lugano - Upendo
- Gwalugano - .....malizia
- Tupeligwe - Tumepewa
- Asajile - Amenisaidia/amenibariki
- Andendekisye - Ametengeneza
Kwakifupi majina mengi ya kinyakyusa tukiyatazama katika kiswahil fasaha, sio majina (NOMINO) , mengi sana ni Vitendo (VITENZI), VIELEZI au VIVUMISHI.
Mfano hayo majina nimeyaweka hapo, ukitoa
- Kisa
- Lugano
Yaliobaki hapo ni Vitenzi na Vivumishi