Masokotz JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 3,713 Reaction score 6,121 May 30, 2024 #101 Ndondocha mkuu said: Pole mkuu, yan hua unamlipa vzr ila umedelay miez miwili tu ndio afanye hvyo? Click to expand... Uchawi wa BOSS ni HESABU na hiyo ndio tabia ya Landlords na ni kawaida sana.Hata hivyo kuna jambo ningependa kukwambia; Kwana kabisa usiwe na shaka.Kwa mafanyabiashara hizo i changamoto ambazo zipo na huwazinakuja na zinaondoka. Jambo la muhimu ni kuamini kile unafanya.Kubadili Mkakati na kuedelea kupambana. Nakutakia kila la heri katika mapambano
Ndondocha mkuu said: Pole mkuu, yan hua unamlipa vzr ila umedelay miez miwili tu ndio afanye hvyo? Click to expand... Uchawi wa BOSS ni HESABU na hiyo ndio tabia ya Landlords na ni kawaida sana.Hata hivyo kuna jambo ningependa kukwambia; Kwana kabisa usiwe na shaka.Kwa mafanyabiashara hizo i changamoto ambazo zipo na huwazinakuja na zinaondoka. Jambo la muhimu ni kuamini kile unafanya.Kubadili Mkakati na kuedelea kupambana. Nakutakia kila la heri katika mapambano