Sikuwahi kutegemea haya, hatimaye leo yamenikuta
Mmmhhh sijajua.. ni jengo linamilikiwa na kampuni binfasi but mfanya kazi aliyenikomalia ni Man
Upepo wa biashara sio mzuri kila sehemu mkuu wengine tushauzaga kila kitu kama mwanzo biashara ilikua nzuri fanya juu chini umpatie kodi yake maisha yaendelee ili usipoteze wateja.
 
Hapana napokea na hata majuzi, tulikaa chini kuwekana sawa kuhusu hili but kuna jambo sikulitimizia. Alitaka niji commit kwa barua , sasa mambo kama haya nikaona sio.
Changamoto ni sehemu ya biashara na Ndiyo wakati ambao binadamu huamsha ubongo anakuwa na uwezo wa kutumia jicho la tatu utalitatua tu Tena mwenyewe,(Adapbility skills), mimi ni mjasiriamali na muelimishaji kuhusu ujasiriamali nina ubunifu wangu kwanini biashara zinakufa na suluhu pendenkezwa
 
Upepo wa biashara sio mzuri kila sehemu mkuu wengine tushauzaga kila kitu kama mwanzo biashara ilikua nzuri fanya juu chini umpatie kodi yake maisha yaendelee ili usipoteze wateja.
Kupoteza wateja kwasababu hii haitatokea kulingana na nature ya biashara nayofanya. Maana haihusishbwateja kuja ofisin, but ofisi ni just an operational base yetu katika kuwa serve wateja.. sio kwamba tunauza vitu noo.. we provide serrvice so tunafanya outreach to customers sio wao kuja kwetu
 
Wakuu habari ya muda huu.

Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.

Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.

Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.

Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
Hongera!

Usimkasirikie. Amefanya hivyo kwa kuwa hadhi yako si ya kupanga hilo jengo bali kulinunua kabisa.

Inawezekana hujui hilo litawezekanaje, lakini ujue kuwa giza linapozidi ndipo nyota huonekana!
 
Wakuu habari ya muda huu.

Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.

Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.

Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.

Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
miezi miwili ulitaka mwenzio akalae wapi?
 
miezi miwili ulitaka mwenzio akalae wapi?
Mkuu fikiria kidogo basi.
Katika modes tofaut za biashara, unapofanya biashara kama kampuni unapswa kuwa smart kidogo na sababu kama hiz kuwa "akale wapi huwa hazima mashiko". Nimepanga ofisi kwenye jengo la kampuni, hivyo hii personal mindset haipaswi ku apply sana.

Ninapo serve wateja wangu binafs katika biashara nafanya, ninaweza kuingia hata madeni just kuhakikisha wao they are not disturbed, why? Bcz end of the time they will pay, the debt and rhe interest.

Usifanye biashara kama kampuni huku una mindset kama mpangisha nyumba wa uswahilini.

This is B2B man
 
Pole sana ila pia miezi miwili ni mingi mkuu.
Dunia haiko fair, kila mtu anavutia kwake, jinsi wewe unavutia kwako kwa kuona una changamoto hivyo uvumiliwe, vivyo hivyo au zaidi ya hivyo nae mwenyenyumba ana magumu anaitegemea hiyo kodi yako.
Kwahiyo hapo kinachohitajika ni mazungumzo tu.
 
Yah, na ndio maana nikasema sitaki kuumiza kichwa maana kimkataba japo nimekiuka kwa kuchelewa lakn bado utaratibu ni huwa nalipa kodi ya miez mi3 mi3 sasa i was hopping for june labda haya mambo ndio yamgeweza fikia huku, but kawahi sana
Zungumza nae mkuu, hakuna kinachoshindikana.

Miezi miwili ni michache sana

Mweleze hali ya biashara...na endelea kumwahidi kumlipa

Huku wewe uki fight mkuu.
Usiogope kuongea nae huyo ni mtu namini na yeye alishawahi au anajua changamoto hazina taarifa
 
Mkuu usikali,suala la muda tu jua kuwa kwe hii dunia watu Wana mioyo tofaut an unawez ukawa uko straight ila cku ukateleza kwake akaamua kukomoa kbsa..
 
Mkuu fikiria kidogo basi.
Katika modes tofaut za biashara, unapofanya biashara kama kampuni unapswa kuwa smart kidogo na sababu kama hiz kuwa "akale wapi huwa hazima mashiko". Nimepanga ofisi kwenye jengo la kampuni, hivyo hii personal mindset haipaswi ku apply sana.

Ninapo serve wateja wangu binafs katika biashara nafanya, ninaweza kuingia hata madeni just kuhakikisha wao they are not disturbed, why? Bcz end of the time they will pay, the debt and rhe interest.

Usifanye biashara a kampuni huku una mindset kama mpangisha nyumba wa uswahilini.

This is B2B man
No bro hata kama ni kampuni lazima term na conditions mlizo jiwekea mzizingatie kama mlikubaliana una lipa mwanzoni ilitakiwa utoe taarifa mapema na kama alikuambia uahidi kwa maandishi ilipasa ufanye hivyo. Japo Pole sana ndio kujifunza huko
 
Wakuu habari ya muda huu.

Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.

Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.

Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.

Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
Ninachokiona ni swala la mawasiliano ndio tatizo.

Unapopitia financial harrasment usimkimbie anayekudai, mtafute wewe kaa naye chini na mueleze nia yako ya kulipa deni na changamoto ulizonazo unazitatuwa.

Hakuna mtu asiyepitia magumu, siri zetu wanazo kina Mangi dukani kwenye vitabu vyao, mambo yakikwama unaongea naye anakuelewa.

Mimi nina wapangaji pia lakini siwezi kumfukuza mtu na ukishindwa kwenda sawa na mimi basi hapo umeshindikana maana mimi sitegemei kodi ndio shida ya wengi iko hapo.
 
Back
Top Bottom