Sikuwahi kutegemea haya, hatimaye leo yamenikuta
Ahsante chief. Ni kwel upepo wa hii miezi haujua poa kabisa. Kumbe ni wengi wameliona hilo?

ahahaha ni kwel, tatizo ki utaratibu, muwa nalipa kwa kila miez mi3. Sasa angengoja bas ifke june maana ndio hapo atleast angeweza hisi labda ni ukorofi. But bad nina mwezi m1 kimkataba ili kusema nimekiukwa utaratibu mazima
Dawa ya deni ni kulipa acha janjajanja🤸
 
Wakuu habari ya muda huu.

Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.

Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.

Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.

Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
Haya maisha haya..unaweza kukuta kuna mtu anapahitaji hapo hivyo inatafutwa sababu ya kukutoa.
 
Pole sana mkuu.
Shida kubwa kwa wengi huwa akidaiwa anamkimbia mdai, anakwepa mawasiliano, sisemi wewe umefanya hivi, ila wengi wanakuwa waoga kuongea na wadai wao, akidhani kumkimbia ndio dawa. Kumbe ni kimyume kabisa. Unatakiwa kuwa muwazi na pengine hata wewe kuwahi kumwambia shida yako ya kukuchelewesha kulipa deni kabla hajakuuliza au muda kufika. Ukifanya hivyo mara nyingi utapunguza matatizo kama haya.Mimi nimewahi kuona jamaa anadaiwa halafu katika kudaiwa, mdai akamkopesha tena jamaa zaidi. Ni lugha tu nzuri.
Uko sahihi.
 
Pole saan mkuu. Miezi hii migumu balaa halafu shida zinatofautiana tu ila biashara Zina changamoto sana.
Sisi wengine tunaobangaiza kwenye biashara ya usafirishaji tunakiona cha moto sabbu abiria hakuna halafu polisi Kila geti wanataka hela.
Yaani utenge elfu sitini kila siku ya mapolisi tu kwa mwezi 1.8 mil sijui huu uonevu katika nchi hii utaisha lini. Ttanzania mazingira ya kufanya biashara magumu sana.
Hatar chief. Biashara inaweza ikakuua hiv hiv unajiona
 
wewe ndio umempa changamoto landlord..

haiwezekani ucheleweshe kodi miezi kadhaa halafu ukae kimya

vipi kama wewe ungecheleweshewa malipo katika biashara yako huku expenses zinasubiri kulipwa on time?

Hivi hukusoma economics kuwa rent is a fixed expenses and cant be avoided?

Show your respect, go and apilogise
 
SI mlisema
Wakuu habari ya muda huu.

Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.

Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.

Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.

Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
Si mlisema Rais Samia amefungua nchi hela zimejaa mfukoni?
 
Pole sana mwanetu

Lakini wewe unaonaje mwenendo wa biashara yako na kodi unayolipia hapo?
Mkuu umeuliza suala la msingi sana.
Ukomae uumlipe au uhame ukafungue kwenye nafuu ya kodi au ufunge mazima biashara?
Hapa kiukwel ndio maana nikamwambia dogo atoke na vitu hivyo vya msingi maana ndio ofisi yenyewe , temporary niihamishie kwenye hifadhi ya muda
Ila kiukweli kwa ujumla hali ya biashara Tz imekuwa ngumu sana wa sasa, mzunguko wa biashara umekuwa wa kusuasua kwa wengi
Hatar sanaa mkuu. Mtu mwingine anaweza asielewe
 
wewe ndio umempa changamoto landlord..
Sawa mkuu
haiwezekani ucheleweshe kodi miezi kadhaa halafu ukae kimya
Sikukaa kimya
vipi kama wewe ungecheleweshewa malipo katika biashara yako huku expenses zinasubiri kulipwa on time?
ni kawaida sana kwenye biashara, inatokea sana kucheleweshewa malupo na wateja wangu. Si kitu kigeni ila kwakua najua watalipa bas huwa najua namna ya kutafuta pesa ili ku run issue bila wao kukwama. Kwa mfanya biashara hii ni kawaida sana
Hivi hukusoma economics kuwa rent is a fixed expenses and cant be avoided?
Sijasoma economics mkuu. Am an IT guy
Show your respect, go and apilogise
SAwa..respect should be either ways
 
Inauma sana na majirani wq kibongo walivyo ndo wanapatia pa kuchekea ila watz kwa unafiki tu tuko vizuri, yawezekana kuna mtu anapahitaji km mdau alivyoshauri hapo juu
 
wewe ndio umempa changamoto landlord..

haiwezekani ucheleweshe kodi miezi kadhaa halafu ukae kimya

vipi kama wewe ungecheleweshewa malipo katika biashara yako huku expenses zinasubiri kulipwa on time?

Hivi hukusoma economics kuwa rent is a fixed expenses and cant be avoided?

Show your respect, go and apilogise
Una roho ngumu ndio maana microfinance yako ipo vizuri
 
Hapana napokea na hata majuzi, tulikaa chini kuwekana sawa kuhusu hili but kuna jambo sikulitimizia. Alitaka niji commit kwa barua , sasa mambo kama haya nikaona sio.
Mkuuu jicommit kwenye Io Barua mliyokubaliana huenda ameona Labda umemsumbua au landlord Ni mtu ambaye hataki konakona Na usumbufu kwenye Biashara take.....just cool mrejee Tena landlord myajenhe
 
Back
Top Bottom