Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
- Thread starter
- #21
Shukran kamanda. Ndio mambo yenyewe hayaPole mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran kamanda. Ndio mambo yenyewe hayaPole mkuu
Shukran mkuu, ni kwel nitafanya hivyo. Mambo yalikua mengi kidogo nikakosa utulivuMkuu pole sana kwa hiyo changamoto. Wengine ambao hawajawahi kukutana na kadhia ya kufunga ofisi wanaweza wasikuelewe, ni maumivu makubwa sana.
Ulifanyia kazi ushauri wangu wa kuweka lile wazo lako hapa? Unaona kama leo umeweza kushare hili hapa kwanini lile ambalo ni la ufumbuzi endapo watu wangekuunga mkono usiliweke hapa pia?
Miwil tu, na hiyo miwil ndio inaishia kesho ila kanipiga kabali leo 😂Pole mkuu, yan hua unamlipa vzr ila umedelay miez miwili tu ndio afanye hvyo?
Ni kwel kamanda, hizi harakati japo ni seheme katika maisha ya utafutaji,usipokuwa stable kifikra unaweza ukakondaKwenye utafutaji haya matukio ni kawaida kukutana nayo, tena mengine magumu zaidi ya hilo.
Kikubwa piga moyo konde kesho nayo ni siku, sali mshukru Muumba wako kisha move on.
Usijilaumu wala kuilamu nafsi yako, mapito yako kwa ajili ya watu na watu ndo mimi na wewe.
Endelea kupambana kiongozi, usife moyo kesho yako ni njema
Sure mdogo angu. Ninajua mambo yatakaa sawa tu maana kila lenye mwanzo lazima liishe tuPole sana mpendwa!
Nakuaminia kila kitu kitakaa sawa.
Thanks chief. Pamoja kakaPole sana Mpiganaji, HAKUNA kukata tamaa! Mlango mmoja ukifungwa, kuna milango kumi iko wazi. Kikubwa Imani. I feel your pain Mpiganaji
Hakuna namna zaidi ya hili mkuuPole sana mkuu.
Pambana umlipe kodi yake ufungue ofisi yako
Yah, na ndio maana nikasema sitaki kuumiza kichwa maana kimkataba japo nimekiuka kwa kuchelewa lakn bado utaratibu ni huwa nalipa kodi ya miez mi3 mi3 sasa i was hopping for june labda haya mambo ndio yamgeweza fikia huku, but kawahi sanaChangamoto lazima ziwepo mkuu, inasikitisha sana pale landlord anapokosa utu kiasi hicho
Ahsante mkuuDunia ina mengi, ni kupambana pasi na kukata tamaa mpaka kieleweke
Ahsante chief. Ni kwel upepo wa hii miezi haujua poa kabisa. Kumbe ni wengi wameliona hilo?Pole sana Comrade. Maana hii miezi michache iliyopita upepo kwenye biashara nyingi haukuwa poa hata kidogo.
ahahaha ni kwel, tatizo ki utaratibu, muwa nalipa kwa kila miez mi3. Sasa angengoja bas ifke june maana ndio hapo atleast angeweza hisi labda ni ukorofi. But bad nina mwezi m1 kimkataba ili kusema nimekiukwa utaratibu mazimaIla two months nayo kwa Landlord ni mingi aisee!! Maana wengi wao huwa wanategemea hivyo vibanda ili kuendeshea maisha yao.
Worry out mkuu..... nyakati ngumu zipo ila hutuimarisha zaidi, usikate tamaa yote yatapita tu.Wakuu habari ya muda huu.
Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.
Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.
Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.
Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
Eheheheh... the ugly truth .Kikubwa fight tu ulipe kodi, hakuna utu siku hizi
Wakuu habari ya muda huu.
Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.
Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.
Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.
Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
Pole Sana Mkuu likuepukalo Lina heriWakuu habari ya muda huu.
Sisi wengine kama ilivyo kwa wengi, hapa ndipo pa ku-share issues tunapohisi ku-release baadhi ya mambo yakituzidia.
Mchana wangu umeharibika ghafla sana.😅 Kulingana na tides za kibiashara safari hii (ofcourse ni mambo ya kawaida tu), landlord wangu hatimae leo kamvamia binti yangu ofisini na kumsihi amkabidhi funguo ya ofisi.
Na imekuwa kama coincidence maana this whole week sijatokea kabisa ofisini kwa kukimbizana na issue nje ya ofisi.
Yaani licha ya kulipa kodi kwa uaminifu siku zooote quarter hii biashara imeyumba nika delay 2 months.
Nimepigiwa simu na binti yangu na kiukweli nikaona isiwe ishu, nimempa maelekezo machache tu ili kusudi shughuli zisikwame. Kichwa kisha jam hiki. Let me clear my mind first, nitayawaza badae.
😅😅.
View attachment 3003640
Hapana napokea na hata majuzi, tulikaa chini kuwekana sawa kuhusu hili but kuna jambo sikulitimizia. Alitaka niji commit kwa barua , sasa mambo kama haya nikaona sio.Swali fikirishi je Huwa hupokei simu za mwenye numba? (Landlord),km Ndiyo Hilo ni kosa maswali mengine baadae
Thanks chief.Pole sana mkuu.....
Sure man, thanks alotSiku ukifanikiwa hii inakuwa ni hadithi nzuri sana. Pole sana usikate tamaa