Sikuwahi Muona mtu akiingia JF, JF kuna nani??

Mkuu nisaidieni, hivi hizo DDDD huwa zinamaanisha nini? Tukirudi kwenye mada hata mimi sijawahi kuona mtu akiingia jf, mfano kwenye daladala utaona watu wakiwa fb, insta, whatsapp lakini sio jf, lakini ukija unakuta comments kibao
 
Mimi nakuaga kitandani mkuu
Nakomenti nikiwa usingizini
Mida ya kuota ndoto.
 
Social medias zina level..facebook inawatu wa level flan (watoto) istagram imejaa mabishoo..JF inagreat thinkers..kwahyo we bado unakua kimawazo..ukifika level flani itabidi uachane na FB na Insta..uwe Expert member wa JF
Kweli insta ni ya maji shoot
 
Social medias zina level..facebook inawatu wa level flan (watoto) istagram imejaa mabishoo..JF inagreat thinkers..kwahyo we bado unakua kimawazo..ukifika level flani itabidi uachane na FB na Insta..uwe Expert member wa JF
Umesahau twitter mkuu
 
Mkuu kama mimi, Kuna simu fulani ya boss wangu ilikuwa inasumbua na memory ndogo, Sasa akawa anataka kuweka application ya whatsapp ikabidi nipunguze baadhi ya vitu, na kitu cha kwanza kukiondoa ilikuwa ni app ya JF, kwakweli alikasirika sana mimi nikawa nashangaa anasema bora ungeondoa vyote lakini sio jf, basi baadae ikabidi na mimi niingie huko jf niangalie kunani, toka kipindi hicho mwaka jana mwishoni mpaka leo nimekuwa addicted mkubwa na siku hizi sijui mambo ya Facebook
 
Halafu kuna jamaa yangu mmoja kajiunga juzi juzi jf huwa ni mtu wa kuropoka sana anataka nitajie jina nalotumia jf nimegoma kumwambia
 
Reactions: MC7
Hahahahaaaaa.....jf liko ki-intelijensia zaid, most of members dont want their existence to be known
 
Mkuu kuna wakati unakaa kama dakika 5 ukirudi unakuta uzi mpya na reply kama 200, unajiuliza hawa watu wapo hapahapa tz?? Mbona hatuwaoniiiiii
Sasa hii dharau. Inamaana hapo mtaani kwenu tu ndio Tanzania au una satellite inayokuonesha watz woote wanachofanya? Maswali mengine upuuzi mtupu. May be nikuulize, wale wanaopost video/picha za utupu fb hua wanakuita uende ukaone wanavyopost???????????? JF A FORUM OF THE GREAT THINKERS not v-laza. Upo hapo
 
Watu wanaingiaga kimya kimya.
Wife na husband wote wapo ila hakuna anaejua kama mmoja wao yupo.
 
kinachonishangaza zaidi unakuta uzi umeanzishwa saa 9 usiku lakini baada ya nusu saa unakuta koment zaidi ya 50 views 800, hivi hamlaliii?? au nyie ni walinziiii [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] ??
 
ikiwa we ibilisi upo kila mahali na hutuon,kutakuwa na tatizo mahali
 
Maisha mtandao wa siri kijana.

Nahisi siku nikijua ID ya dem wangu ntakufa kwa pressure. Isije ikawa ni mmoja wa hawa ma shawry humu ndani wanao fukuziwa na mijibaba yenye uwezo.

Ntakisanua. [emoji23] [emoji23]
 
Sijakuele
 
Hahaha dah! Mkuu kwani watu wako wa karibu ama waliokuzunguka huwa wanakuona wakati unachat JF? Sasa usishangae kwanini hutuoni

Hii ndio hoja ya msingi! Na pia ajue huwa hatuingii JF ili tuonekane, huwa tunaingia JF ili tusomeke!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…