Sikuwahi Muona mtu akiingia JF, JF kuna nani??

Mkuu embui angalia mm na wewe nani wa kwanza kujiunga humuu!!
tena hii ni ID mpyaa, ukitaka nakupa ya 2010
Umenikumbusha ID yangu ya kwanza kabisa nahisi ilikuwa 2008 au 2009. Member ambaye ni mfanyakazi mwenzangu alinishauri nijiunge. kwanza nikawa nasoma tu comments za watu ila siwezi kuchangia. Baada ya muda nikajiunga ila ID yangu ilikuwa na jina langu kabisa. Post yangu ya kwanza kwenye mjadala wa kisiasa nikamwaga nyongo ya kutosha dhidi ya serikali. jamaa alipoiona ikabidi anieleze kuwa inatakiwa niweke ID isiyonitambulisha kabisa. Kuanzia hapo nikajizuia kutoa comments zozote, nikawa msomaji tu.

Ila kipindi cha uchaguzi mkuu (mara tu baada) uzalendo ukanishinda, maana nilikuwa na mahasira nisingeweza kusoma tu bila kuwajibu binadamu wa mrengo mwingine. Nikajisajili upyaaaaaaaa, na ile ID nadhani ilishapotelea mbali.
 
Hiyo ni kweli alafu kuna wakati mtu anaweza akaweka comment yake ukajibu kwa dharau au kumdhihaki sasa uje umjue unakuta ni mtu wa makamo na heshima zake alafu wewe ni kijana mdogo tu.
 
Kwa hiyo wewe siku ukifa hakuna wa kutoa habari zako? Mie mentor na Kiagata watawajulisha na ikitokea wao wakatangulia nitawajulisha pia.
 
Umuone mtu anapost ili..??
Kwanza pitia hizo profile name.. Halafu ujihulize ilikupasa uanze lipi la kujihoji..??
 
Kukomenti kwetu ni kama mapenzi ya paka, hatuonekani.. ukituona uchuro...

HALAFU HATA WEWE ULIPOKUWA UNAANDIKA HII THREAD SISI HATUKUKUONA NA HATUJALALAMIKA..
 
Social medias zina level..facebook inawatu wa level flan (watoto) istagram imejaa mabishoo..JF inagreat thinkers..kwahyo we bado unakua kimawazo..ukifika level flani itabidi uachane na FB na Insta..uwe Expert member wa JF
Haswaaaa!!!!
 
Nikweli kuna wa humu wana upeo zaid ya akili na vyeti vyako kaa mbali....kama jamaa Fulani hv yaani daaah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…