Sikuwahi Muona mtu akiingia JF, JF kuna nani??

Sikuwahi Muona mtu akiingia JF, JF kuna nani??

We mleta mada huwafaham members wa jf au umejanganya? Huwafahamu kina Nape, G.Lema? Mwigulu naye si member wa JF? ni kweli huwafahamu hao watu? na Le Mutuz nae humjui? ebu kuwa serious kidogo!
 
Mie ninawafahamu watu kama kumi hivi coz niliwafungulia account mimi mwenywe baada ya kuwapiga injili na kuitikia wito nikawabatiza.
 
Wapo huku unaowatafuta!

Visitor by country!!

Tanzania 89.7%

Kenya 2.7%

United Kingdom 1.0%

Nigeria 0.6%

France 0.6%
 
Huwa nashangaa sana nikija kila jukwaa na kuta reply na views kibaooooooo.

Nikitazama marafiki zangu ninaosoma nao, wachizi maskani na ndugu zangu hakuna anayefuatilia JF.

Sikuwahi mfumania mtu akipost kitu humuuu lakini ukiingiaa unakuta reply kama 500. Nimewahi kumsaidia broo kazi yake ya Internat cafe kwa muda wa wiki Moja sijawahi ona mtu akiingia JF.

Nilijaribu kuwauliza washkaji na madem tuliokuwatunafanya field sehemu moja kama wanaujua huu mtandao wengi walikuwa hawaujui ina mmoja ndiye alisema yeye huwa anasomaga tu post ila hachangiiiiii.

Kademu kangu ndo juzi ninakaona kanaaanza kufatilia, nafikiri huyu ndiye atakuwa wa kwanzaaaa..

Mi nauliza nyie mliopo humu mpo wapi? Mna comments mkiwa uvunguni nisiwaoneeeeee?? Na huwa mnacomments saa ngapiiiiii??

Natamani kumuona angalau memba mmoja kwa macho yangu nijue na ka ID kakeee bhanaaaaaa

Aggghhh!!!
JF ina wanachama/wachangiaji wangapi kati ya Watanzania 45m?
 
He,heh..
Umenichekesha..inamana hata mm hujawahi kuniona?
 
Watu wengi hawaijui jf,soon wakiifahamu huzama kabisa
 
Yaani huku ni maninja tu wote ni full mask.... Ila huku hakuna unafk kama fb coz huku ni mwendo wa hoja na watu wenye fikra pevu so ni chanzo cha elimu kwa wenye kutaka elimu.. Binafsi mm sijaingi huku kwa kumuona mtu bali mara nyingi ilikuwa niki google kwa lugha ya kiswahili ilikuw jf ilikuwa ina majib chanya
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] hahaha... I can't hide my ID hata unibambe na comment kitu cha ajabu....
 
daa,kweli kabisa mkuu mi nlkuwa natatizika na hiyo kitu,, kuna siku niliposti mada flani hivi jukwaa la sayansi kule na siku log off nlikuwa nasubiri nijibiwe a see, nilikuta like 3, reply kama 4 but zilikotoka sijuiiii

wakuu tumuogopeni MUNGU.....!
 
Pole sana, wewe umezoea facebook, insta n. k
Hapa ni ngumu na kuna member wengi sana. Baadhi wanafahamiana ana kwa ana na wengine ndiyo hivyo. Ila usijali utawaona tu.
 
Back
Top Bottom