Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF ina wanachama/wachangiaji wangapi kati ya Watanzania 45m?Huwa nashangaa sana nikija kila jukwaa na kuta reply na views kibaooooooo.
Nikitazama marafiki zangu ninaosoma nao, wachizi maskani na ndugu zangu hakuna anayefuatilia JF.
Sikuwahi mfumania mtu akipost kitu humuuu lakini ukiingiaa unakuta reply kama 500. Nimewahi kumsaidia broo kazi yake ya Internat cafe kwa muda wa wiki Moja sijawahi ona mtu akiingia JF.
Nilijaribu kuwauliza washkaji na madem tuliokuwatunafanya field sehemu moja kama wanaujua huu mtandao wengi walikuwa hawaujui ina mmoja ndiye alisema yeye huwa anasomaga tu post ila hachangiiiiii.
Kademu kangu ndo juzi ninakaona kanaaanza kufatilia, nafikiri huyu ndiye atakuwa wa kwanzaaaa..
Mi nauliza nyie mliopo humu mpo wapi? Mna comments mkiwa uvunguni nisiwaoneeeeee?? Na huwa mnacomments saa ngapiiiiii??
Natamani kumuona angalau memba mmoja kwa macho yangu nijue na ka ID kakeee bhanaaaaaa
Aggghhh!!!
Wee endelea kuramba tuu mimi ni swimburi huku karibu na manaraghatiMie niko Iramba,weye uko wapi?
afu wewe mchaga km nakufahamu vileeHe,heh..
Umenichekesha..inamana hata mm hujawahi kuniona?
Tupo mkuu [emoji1] [emoji1]Verified wenyewe siwajuiiii, nawasikiaga tu
Teh...afu wewe mchaga km nakufahamu vilee
hahahahaaa...JF pastorMie ninawafahamu watu kama kumi hivi coz niliwafungulia account mimi mwenywe baada ya kuwapiga injili na kuitikia wito nikawabatiza.
Hahahahaaaaaaaaaaaa.hahahahaaa...JF pastor
wa kiboshooTeh...
Haya nambie umenifahamia wapi?
He,heh...wa kiboshoo