Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Hivi ni aina gani za silaha anaruhusiwa kumiliki kisheria mtu binafsi?
Au yoyote unayohitaji?
Au yoyote unayohitaji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo zile za risasi mkanda tubaki kuziona kwenye movie.
Umesema short gun ukanikumbusha ile ya jiwe. Alikuwa na short gun kali sana.
Huhitaji ile nyumbani kwa matumizi binafsiKwa hiyo zile za risasi mkanda tubaki kuziona kwenye movie
Mmh yule tusimuweke hapaumesema short gun ukanikumbusha ile ya jiwe!!! alikuwa na short gun kali sana
Manati
Mbona mimi nina G3 yangu nimeiweka pale chini ya mto
Unaruhusiwa kuwa nayo ila wenyewe wasijueKwa hiyo zile za risasi mkanda tubaki kuziona kwenye movie.
Mbona ile ya jiwe ilikuwa na 7 hawakumshitakiSiraha yoyote kuanzia rungu, na aina zote za bastola isiyozidi risasi sita!
Ninalo nataka laki 2Nipo kwenye mchakato nafuatilia kibali cha kumiliki gobole, alafu nitalikata mbele liwe fupi niwe nalikobeka hapa kiunoni na
Polisi wenyewe hawanaLMG vipi inaruhusiwa?