Silaha na askari wamiminika mipakani mwa Israel. Biden ashtushwa. Aenda Israel mwenyewe huku akitaka Palestina wapewe nchi yao

Silaha na askari wamiminika mipakani mwa Israel. Biden ashtushwa. Aenda Israel mwenyewe huku akitaka Palestina wapewe nchi yao

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kuna taarifa kuwa wanamgambo kutoka Iraq na Iran wamekuwa wakimiminika kwenye mipaka ya Israel hasa upande wa Lebanon.Pamoja nao ni malori yenye shehena za silaha.

'Very clear' Iran is moving people, weapons to Israel's northern border: Benjamin Hall

Hali hiyo inaonekana kumshtusha rais Joe Biden wa Marekani na kumfanya afunge safari haraka kuelekea Israel ikiwa ni siku moja tu tangu kukamilika kwa ziara ya mjumbe wake wa ngazi za juu,Anthony Blinken inayoonekana kutibua zaidi hali ya hewa katika eneo hilo.

The US is mounting a frantic effort to head off a wider Middle East war

Suala la kujiuliza jee Israel itasikiliza nasaha za kuacha ubabe na kurudisha nchi ya watu au watachagua kunyeshewa na mvua ya droni za Shaheed zile zinazoitesa Ukraine ?

1697517114169.png

Tony Blinken wakati akiondoka Cairo baada ya mazungumzo na raisi Elsisi.
 
Hiyo lebanon itachakazwa na kuwa ukanda wa Gaza...!

Hakuna mtu ana taka kununua ugomvi ili kwake kuwe uwanja wa vita!

USA mwenyewe hapigan kwake ni anakufata huko huko sababu anajua shida ya kuwa uwanja wa vita

Hii Lebanon hawezi kukubali kuwa kama Syria, Iraq, Afghanistan nk
 
Hiyo lebanon itachakazwa na kuwa ukanda wa Gaza...!

Hakuna mtu ana taka kununua ugomvi ili kwake kuwe uwanja wa vita!

USA mwenyewe hapigan kwake ni anakufata huko huko sababu anajua shida ya kuwa uwanja wa vita

Hii Lebanon hawezi kukubali kuwa kama Syria, Iraq, Afghanistan nk
Kuchakaza ni kazi ya ndege za kivita kama F16 na lazima utokee angani au urushe mizinga kutoka ardhini.Vita hivyo kwa sasa kama viko nyuma kidogo ya wakati.Ogopa vita vya droni.
Droni hazina vishindo na zinanyemelea angani kwa muda mrefu kama kipanga.Urusi ina teknolojia iliyoendelea zaidi kuliko Israel na bado kuna muda droni za Ukraine zinapenya.Jee Israel inataka iingie mapigano hayo ilhali miji yake yote iko karibu sana na maadui zake.
 
Hiyo lebanon itachakazwa na kuwa ukanda wa Gaza...!

Hakuna mtu ana taka kununua ugomvi ili kwake kuwe uwanja wa vita!

USA mwenyewe hapigan kwake ni anakufata huko huko sababu anajua shida ya kuwa uwanja wa vita

Hii Lebanon hawezi kukubali kuwa kama Syria, Iraq, Afghanistan nk
Unafikiri Lebanon ni Palestine uwoo moto Israel mwenyewe anaujua
 
Hiyo lebanon itachakazwa na kuwa ukanda wa Gaza...!

Hakuna mtu ana taka kununua ugomvi ili kwake kuwe uwanja wa vita!

USA mwenyewe hapigan kwake ni anakufata huko huko sababu anajua shida ya kuwa uwanja wa vita

Hii Lebanon hawezi kukubali kuwa kama Syria, Iraq, Afghanistan nk
Si rahisi, mara ya mwisho Myahudi alitandikwa vibaya sana na Hezbollah wa Lebanon, rudia homework yako.
 
Hapa hakuna tofauti na washabiki wa mpira, huyu anasema hivi yule anasema vile mwisho wa siku Kuna suluhu, kushinda na kushindwa. Kelele, vijembe, kejeli na majigambo havina mchango wowote kwenye uwezo wa hao wanaoshambuliana.

Tofauti na mpira, hapa tunaongelea maisha na uhai wa watu. Cha msingi ni amani tu. Chochote zaidi ya hapo sio Cha kushabikia.
 
Kuna taarifa kuwa wanamgambo kutoka Iraq na Iran wamekuwa wakimiminika kwenye mipaka ya Israel hasa upande wa Lebanon.Pamoja nao ni malori yenye shehena za silaha.

'Very clear' Iran is moving people, weapons to Israel's northern border: Benjamin Hall

Hali hiyo inaonekana kumshtusha rais Joe Biden wa Marekani na kumfanya afunge safari haraka kuelekea Israel ikiwa ni siku moja tu tangu kukamilika kwa ziara ya mjumbe wake wa ngazi za juu,Anthony Blinken inayoonekana kutibua zaidi hali ya hewa katika eneo hilo.

The US is mounting a frantic effort to head off a wider Middle East war

Suala la kujiuliza jee Israel itasikiliza nasaha za kuacha ubabe na kurudisha nchi ya watu au watachagua kunyeshewa na mvua ya droni za Shaheed zile zinazoitesa Ukraine ?

View attachment 2784165
Tony Blinken wakati akiondoka Cairo baada ya mazungumzo na raisi Elsisi.

Habari njema. Amani haipatikani ila kwa ncha ya upanga.

Viva Iran, viva Mujahideen, viva Hezbollah, viva HAMAS!

Lipatikane taifa kamili la Palestina. Ujanja ujanja wa kuiba na kukalia ardhi za wengine haukubaliki.
 
Hapa hakuna tofauti na washabiki wa mpira, huyu anasema hivi yule anasema vile mwisho wa siku Kuna suluhu, kushindwa na kushindwa. Kelele, vijembe, kejeli na majigambi having mchango wowote kwenye uwezo wa hao wanaoshambuliana.
Tofauti na mpira, hapa tunaongelea maisha na uhai wa watu. Cha msingi ni amani tu. Chochote zaidi ya hapo sio Cha kushabikia.
Waelekeze na isitoshe asilimia kubwa sana ya mashabiki wa haya mambo ni watu ambao hata hiyo field haiwahusu wanaishia kusoma mitandaoni tu na kushabikia. Wangeyaona walau ya PKO tu sijui kama ingekuwa hivi.
 
Kuna taarifa kuwa wanamgambo kutoka Iraq na Iran wamekuwa wakimiminika kwenye mipaka ya Israel hasa upande wa Lebanon.Pamoja nao ni malori yenye shehena za silaha.

'Very clear' Iran is moving people, weapons to Israel's northern border: Benjamin Hall

Hali hiyo inaonekana kumshtusha rais Joe Biden wa Marekani na kumfanya afunge safari haraka kuelekea Israel ikiwa ni siku moja tu tangu kukamilika kwa ziara ya mjumbe wake wa ngazi za juu,Anthony Blinken inayoonekana kutibua zaidi hali ya hewa katika eneo hilo.

The US is mounting a frantic effort to head off a wider Middle East war

Suala la kujiuliza jee Israel itasikiliza nasaha za kuacha ubabe na kurudisha nchi ya watu au watachagua kunyeshewa na mvua ya droni za Shaheed zile zinazoitesa Ukraine ?

View attachment 2784165
Tony Blinken wakati akiondoka Cairo baada ya mazungumzo na raisi Elsisi.
Iran Kamatia hapo hapo wewe ndio Mtetezi wa Wapalestina
 
Fata hiyo clip iliyowekwa, usifate yangu.

Wairan wansema kimbembe chao hakiishii kwa myahudi tu, Wamarekani nao wakae sawa.
Ni wazi Israel na Marekani hali zao si nzuri.Ghafla wamezingirwa.Si mipango ya kibinadamu pekee.Ni iliyobarikiwa na mtetezi wa wanyonge mkuu na ambaye mamlaka yake hataki yafanyiwe dhihaka.
 
Kuna taarifa kuwa wanamgambo kutoka Iraq na Iran wamekuwa wakimiminika kwenye mipaka ya Israel hasa upande wa Lebanon.Pamoja nao ni malori yenye shehena za silaha.

'Very clear' Iran is moving people, weapons to Israel's northern border: Benjamin Hall

Hali hiyo inaonekana kumshtusha rais Joe Biden wa Marekani na kumfanya afunge safari haraka kuelekea Israel ikiwa ni siku moja tu tangu kukamilika kwa ziara ya mjumbe wake wa ngazi za juu,Anthony Blinken inayoonekana kutibua zaidi hali ya hewa katika eneo hilo.

The US is mounting a frantic effort to head off a wider Middle East war

Suala la kujiuliza jee Israel itasikiliza nasaha za kuacha ubabe na kurudisha nchi ya watu au watachagua kunyeshewa na mvua ya droni za Shaheed zile zinazoitesa Ukraine ?

View attachment 2784165
Tony Blinken wakati akiondoka Cairo baada ya mazungumzo na raisi Elsisi.
Magharibi wanapiga propaganda ya Israel , Waarabu wanapiga propaganda ya Palestine.

Huwezi kujua habari ya ukweli ili mradi Kila upande kujifurahisha..
 
Back
Top Bottom