π π π Bora ume sema wewe, nimeshangaaa kishenzi na kuona hapa kuna upenzi flani wa ki magharibi na marekani hiyo kifaru nimeshtuka kusikia imetia team hadi ukraine nikapuuza na mada husikaAcha uongo T-4 haijawahi kutumika kwenye vita yeyote.
Na kwa budget gani au hii hii ya tozo ya miamala ya M-pesa na wenzieDah!...unataka tumiliki S-300 ?, Tuna adui gani wa kutisha mpaka tujihami hivyo ?
T14 Armata Tsh Nyamizi britanicca TUJITEGEMEE mohamedidrisa789
wa kupuliza
Usichukie,nukuu point yangu,Tanzania haina uwezekano wa kuvamiwa kama Ukraine,ukiangalia historia ya Ukraine na Tanzania tuko tofauti sana,Tanzania inafanana na nchi kama Uswisi,tukitumia fedha nyingi kwenye zana za kivita ni upotezaji wa fedha,zana zilizopo zinatosha kwa ajili ya maonyesho ya tarehe 9 December na siku ya uhuru.Wewe unawaza kitu kimoja tu? Dunia hii ni multidimensional; jifunze kuwaza mambo mengi kwa pamoja. Thread hii ni ya kuhusu silaha za masafa marefu za kutoka Urusi zinazoweza kuwa ziko Tanzania (hatujui kama jeshi letu linazo kweli). Ukitaka mambo ya Kilimo, tukutane kwenye thread nyingine.
Ukraine wanalima sana, in fact ni kati ya nchi zinazozalisha ngano kwa wingi sana duniani lakini leo wamevamiwa. Unadhani wasingekuwa na silaha za kujihami wangekuwa wapi sasa.
Kama hutaki silaha basi futa jeshi.
Mkuu hatuna silaha mkuu ingia online uone.Umeandika mada inayofikirisha Sana. Naamini wahusija JW wanaelewa hasa nini cha kufanya. Pia naamini kama kweli Russia hatengenezi tena mizinga hiyo kutakuwa na another alternative. Kwa kuwa ingawa hatupigani vita lakini huwa wanafanya manunuzi ya vifaa vita.
Itakua adui Rwanda na Malawi wanao tupapasa tukiwa tumelalaDah!...unataka tumiliki S-300 ?, Tuna adui gani wa kutisha mpaka tujihami hivyo ?
T14 Armata Tsh Nyamizi britanicca TUJITEGEMEE mohamedidrisa789
wa kupuliza
Kuna watu wanaleta maneno ya vijiwe vya kahawa.Kiduku aweze Marekani ashindwe? Haya ni maajabu ya dunia. Hata kama hatuwapendi Wamarekani tuwe wakweli yeye ndio mbabe wa dunia.
Wanataka atumie silaha gani mpya? T-15 Armata iko kwenye development, Bumerang APC iko kwenye development, Su-57 hazifiki hata 10. Watumie nini kipya sasa, watoe wapi.
Kwenye masuala ya ulinzi una safari ndefu sana kama unakaa hapo unaamini North Korea wana hypersonic missiles. Na umekosea mengi hata kwenye uzi huu, kuna sekta zako unafanya vizuri ila hii unaamini mambo yasiyokuwepoMkuu, Marekani hadi sasa hawana hayo makombora, kama hujui. Wanajaribu kutengeneza, lakini bado hawajafanikiwa.
Ironically. yule kiduku wa Korea Kaskazini tayari anayo!
Hayo magari makubwa ya A100 wenyewe People's Liberation Army waliyakataa hayakukidhi vigezo, sijui ni vigezo gani hivyo.Jamani huyu ameuliza kuhusu kijeshi chetu na siyo US wala Russia....
Tumwambie ukweli ni hivi...
Yale magari makubwa ya kizamani unayaonaga siku ya mashujaa, hayo chini ni ya kichina yanajulikana kama A 100, na masfa yake ni kati 40km mpaka 100km, hata Morogoro hayafikishi...
View attachment 2219729
Vile viroket unavinaga uwanja wa taifa ni vya kutungulia ndege za bangaboi sio za kisasa kama Sukhoi za jeshi la Uganda au Northrop 5E za jeshi la kenya,hutu tuanitwa SA-6 (2K12 Kub) kutoka Russia, tulitengenezwa 1958, na tuna masafa ya mpaka 24km
Na hii ndio Uganda Sukhoi, tukizitaka hizi inabidi serkali ianze kugawa basikeli kwa wabunge na mawaziri ili kwenda sambaba na bei ya mafuta na uendeshaji, Uganda wana Mafuta yao.....
View attachment 2219714
Halafu hawa jamaa hapa chini, wanachekesha sana....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2219732
View attachment 2219731
View attachment 2219733
Na hii ni Kenya Northrop 5E
View attachment 2219718
View attachment 2219730
Nin wasiwasi sana na silaha za masafa marefu tulizo nazo ndani ya majeshi yetu ya ulinzi. Miaka ya 2000 kuna zile zilizokuwa zinalipuka zenyewe kule Mbagala. Na ninavyokumbuka Tanzania tuliwahi kununua vifaru vingi na Gun Howitzers nyingi sana wakati wa utawala wa Nyerere kutokea Urusi. Silaha zile ndizo kwa kiasi kikubwa sana zinazotumika sasa hivi vitani huko Ukraine.
Urusi inazitumia na Ukraine pia inazitumia. Jambo linalojitokeza ni kuwa mizinga inayotumika katika Howitzers na vifaru hivyo haipatikani tena. Urusi haizitengenezi tena, na Ukraine imekusanya mizinga karibu yote iliyokuwa kwenye nchi za Warsaw pact na haitoshi kwani mizinga mingine imekuwa hailipuki; hiyo imetokea kwenye pande zote mbili za magogoro huo.
Sijaona Tanzania ikitupa vifaru vya zamani na kuleta vipya, na sijui kama Tanzania itapata tena mzinga ya kutumia kwenye vifaru hivyo kama siyo vya shoo tu. Vifaru kama hivyo leo hii vimekuwa scrap zilizosambaa kwenye ardhi ya ukraine.
Ninajua kuwa zamani shirika la Mzinga liliundwa ili kuwa linatengeza mizinga hiyo, ila sasa baada ya kutokuwa na matumizi ya mizinga hiyo kwa muda mrefu sijui tuko wapi. Ila vita hii ya Ukraine tuichukulie kama funzo kuwa utegemezi wa silaha za urusi siyo jawabu la usalama na ulinzi wetu tena. Urusi imeshapitwa na wakati sana kwenye teknolojia ya vita.
View attachment 2219644View attachment 2219645View attachment 2219646
Unaamini kitu gani boss ?Kati ya majirani wote, nikilinganisha jeshi la Kenya na Tanzania kuna kitu nashawishika kuamini
Kwenye modern wafare ni mwehu tu anayetegemea vifaru vitani ... Vifaru vimebak kama magar ya msafara w kijeshi kipind cha Amani , kiufupi vita ya kutegemea vifaru ishapitwa na wakati, Ila ukijidai utegemee vifaru kwenye active battle zone ujue unawatoa kafara askari ....!! Vita ya sa hv ni propaganda , technology na Airforce , kama huna uwezo kwenye maeneo hayo omba maridhiano mapema.... Askari wenu wanaopasua tofali uwanja wa mkapa wanawadanganya
Mkuu, hujui kitu.Kwenye masuala ya ulinzi una safari ndefu sana kama unakaa hapo unaamini North Korea wana hypersonic missiles. Na umekosea mengi hata kwenye uzi huu, kuna sekta zako unafanya vizuri ila hii unaamini mambo yasiyokuwepo
Kwani hakuna rocket zinazofikia mach 5?Ninavyoelewa Mimi ni sawa na kichuguu alivyoandika hapo, lakini hata refference uliyoweka hapo inasupport statement ya kichuguu, huwezi kutuma Hyper Missile kutoka chini, lazima ipigwe juu kwa juu.
Tatizo lenu kuamini USA hawezi kutanguliwa kwenye kitu chochote cha teknolojia!Usa ilidanganya tu ili adui aingie Chaka
Kama kuna kitu usa yupo much concerned ni suala la ulinzi wa Taifa lake
So ukijichanganya unapotea
Hujui kuwa tuliwahi kuvamiwa na Amin?Usichukie,nukuu point yangu,Tanzania haina uwezekano wa kuvamiwa kama Ukraine,ukiangalia historia ya Ukraine na Tanzania tuko tofauti sana,Tanzania inafanana na nchi kama Uswisi,tukitumia fedha nyingi kwenye zana za kivita ni upotezaji wa fedha,zana zilizopo zinatosha kwa ajili ya maonyesho ya tarehe 9 December na siku ya uhuru.
Historia ya mashindano ya kwenda anga za juu unaikosea. Mpaka mwaka 1957 marekani ilikuwa haifikirri kwenda anga za juu wakati Urusi ilianza mwaka 1951; kwa hiyo urusi ilianza mapema shughuli hiyo. Mwaka 1957 waliporusha satellite ile ya Sputnik, ndipo Marekani nao wakaona kuna haja ya kuingia kwenye anga za juu kwani hiyo spunik inaweza kuangusha Bomu la atomik ndani ya nchi kwa kutokea angani. Ndipo NASA ilipoanzishwa mwaka 1958; kwa hiyo Wakati Gagarin anaingia angani mwaka 1960, ilikuwa ni baada ya warusi kufanya utafiti wa takriban miaka kumi wakati NASA ndipo wanaaza tu. Rais Kennedy alipofungua ile Appolo program mwaka 1961, ndipo NASA nao wakaanza maswala ya safari za anga za juu, juhudi zilioiwezesha marekani ni kuwa ya kwanza kupeleka watu kwenye mwezi; zilipigia safari nyingi sana kwenda mwezini na kurudi; sita zilitua na watu, na nyingine zilikuwa zinazunguka mwezi na kurudi na nyingi sana zililuwa zinakwenda bila watu.Tatizo lenu kuamini USA hawezi kutanguliwa kwenye kitu chochote cha teknolojia!
Kwa mawazo yenu mngekuwa enzi zile Yuri Gagarin anaenda outer space orbit kabla wamarekani hawajaweza kutengeneza chombo cha kuweza kufika huko msingeamini kama sasa msivyo amini Russia na China Walitangulia kwenye teknolojia ya HGV.
Marekani astronauts walikuwa wanakesha kupiga hesabu za kuvusha chombo chao kwenye point of 'go-no go' wakati huo Yuri ashavuka zamani na chombo chake huku cosmonauts wenzie wanajipongeza na Vodka.