Silaha za Masafa Marefu Zinazomilikiwa na JWTZ

Silaha za Masafa Marefu Zinazomilikiwa na JWTZ

Tanzania haiwezi kununua hayo makombora kwa sababu kwanza siyo mengi, hata urusi na marekani wenyewe wanayo machache tu. Halafu huhitaji gunners maalumu ambazo zimejengewa kwenye meli zao za kivita. Kwa hiyo Tanzania inapotafuta silaha kama vifaru na Howitzers; wasitafute urusi.
Tanzania itafute haya masilaha kwa sababu za kupambana na nani?

Tanzania ingefaa ielekeze hicho kidogo kilichopo katika kuwajengea uwezo walinzi wetu wa kutafiti na kutafuta njia mbadala za hayo masilaha katika kujilinda sisi wenyewe.
 
Kwa nchi kama Tanzania nadhani ni muda sahihi wa kuanza kufikiria kama vihela vyetu kidogo vinatumika sahihi kuendelea kununua hizi silaha tunazonunua ambazo tayari zinakuwa 'obsolete'.
Katunge World Wide na wenzako shaurini vizuri wakubwa wenu kuhusu hili.
Tanzania ingefaa ielekeze hicho kidogo kilichopo katika kuwajengea uwezo walinzi wetu wa kutafiti na kutafuta njia mbadala za hayo masilaha katika kujilinda sisi wenyewe.
T14 Armata
 
Bila shaka sasa umekwishajiridhisha kuhusu upotofu wa mada yako nzima kutokuwa na ukweli.

Hizi silaha zinazounguza 'drones' na nyingine zinazopofusha 'satellites' bila shaka zimekwishakufikia hapo ulipo.

Tafuta silaha iitwayo "Zadira", ambayo inachoma madrone, umbali wa kilometa tano, ikitumika tayari kwenye hiyo vita ya Ukraine.

"Peresvet" yenyewe inapofusha satellites umbali wa kilomita 1500 zisiweze kuona kinachoendelea kwenye uwanja wa mapambano. Na bado kuna zaidi ya hizo.

Kwa nchi kama Tanzania nadhani ni muda sahihi wa kuanza kufikiria kama vihela vyetu kidogo vinatumika sahihi kuendelea kununua hizi silaha tunazonunua ambazo tayari zinakuwa 'obsolete'.

Pengine lingekuwa jambo la maana zaidi kuwekeza katika kuwawezesha vijana wetu katika kuwapa ujuzi wa kutafiti katika teknolojia mpya zinazohusiana na silaha ili kujijengea uwezo wa kutengeneza sisi wenyewe tunachoona kinafaa kwa ulinzi wetu.

Hata hivyo, sisemi tujiachie kabisa hata vinchi vya jirani vinavyoonekana kuwa korofi vije vituvamie na tushindwe kabisa kujitetea.
Tusiweke malengo yetu katika kujenga jeshi la kupambana na wakubwa wa dunia, kwa sababu uwezo huo hatunao, badala yake tujikite katika kujiandaa sisi wenyewe kujilinda, hata dhidi ya hao wakubwa huko mbeleni tukishajijenga ipasavyo.
Hizo Laser weapon system zilishakuwapo kwenye matumizi siku nyingi sana, siyo jambo geni. Marekani ilianza majaribio ya laser weapons tangu miaka ya tisini; ni mradi wa jeshi uliokuwa umepewa Lockheed Martin ambao mpaka leo ndio wanazitengeneza. Baada ya hapo wakaanza protection against silaha hizo. Kwa hiyo usisikiea urusi wanatangaza ukadhani wengine hawana. Mojawapo ya tabia kubwa sana ya urusi nioiyoona ni kuwa wako vizuri sana kwa propaganda, ndiyo maana hutangaza kuwa wana silaha fulani hata kama bado iko kwenye preliminary stages. On the other hand, marekani huwa hawatangazi silaha zao mpya.



Jamming ya GPS L1 band signals ni jambo la kawaida sana, ni kama ambavyo RF signals zozote zinavyoweza kuwa jammed. L2 band inayotumia na GPS za kijeshi marekani haziwi jammed kirahisi hasa kwa vile in operation huwa zinabili frequency mara kwa mara.
 
Hizo Laser weapon system zilishakuwapo kwenye matumizi siku nyingi sana, siyo jambo geni. Marekani ilianza majaribio ya laser weapons tangu miaka ya tisini; ni mradi wa jeshi uliokuwa umepewa Lockheed Martin ambao mpaka leo ndio wanazitengeneza. Baada ya hapo wakaanza protection against silaha hizo. Kwa hiyo usisikiea urusi wanatangaza ukadhani wengine hawana. Mojawapo ya tabia kubwa sana ya urusi nioiyoona ni kuwa wako vizuri sana kwa propaganda, ndiyo maana hutangaza kuwa wana silaha fulani hata kama bado iko kwenye preliminary stages. On the other hand, marekani huwa hawatangazi silaha zao mpya.



Jamming ya GPS L1 band signals ni jambo la kawaida sana, ni kama ambavyo RF signals zozote zinavyoweza kuwa jammed. L2 band inayotumia na GPS za kijeshi marekani haziwi jammed kirahisi hasa kwa vile in operation huwa zinabili frequency mara kwa mara.

Mkuu, elewa tu kwamba haya mambo siyo rahisi kwa yeyote.

Pangekuwepo na urahisi, wakati huu urusi wangekuwa washazuiwa haraka sana. Huko Syria kwenyewe, si uliona yaliyotokea? Sasa hii mara nyingine tena, unadhani kuna mtu mwenye uwezo mkbwa anayependa hadhi yake itiliwe mashaka?
 
Mkuu, elewa tu kwamba haya mambo siyo rahisi kwa yeyote.

Pangekuwepo na urahisi, wakati huu urusi wangekuwa washazuiwa haraka sana. Huko Syria kwenyewe, si uliona yaliyotokea? Sasa hii mara nyingine tena, unadhani kuna mtu mwenye uwezo mkbwa anayependa hadhi yake itiliwe mashaka?
Ni kweli kuwa siyo rahisi kwa yeyote, lakini pia siyo kuwa ni ya urusi tu. Laser weapons zilishajaribiwa na kuwa perefected na Marekani siku nyingi sana, na Israel pia imo. Wewe google Laser Weapons utakutana na ushahidi mwingi.








 
Tanzania itafute haya masilaha kwa sababu za kupambana na nani?

Tanzania ingefaa ielekeze hicho kidogo kilichopo katika kuwajengea uwezo walinzi wetu wa kutafiti na kutafuta njia mbadala za hayo masilaha katika kujilinda sisi wenyewe.
Niliwahi kushauri kuwa nchi za Afrika ya Mashariki ziwe na mkataba wa Ulinzi kama wa NATO, itaondoa kabisa mifarakano inayoweza kujitokeza mipakani na hivyo silha hizo hazitakuwa na umuhimu wowote. Ila katika mazingira haya ya sasa ambako majirani wana majeshi yao yenye silaha kali, inabidi Tanzania nayo iwe na silaha kali. Hatuhitaji cruise missiles kwa vile hatuna uwezo nazo, ila tunahitaji vifaru, Howitzers na ndege za kivita.
 
Silaa nyingine tuliopoteza kbsa mkuu kichuguu ni Uzalendo, hta wakati tunapambana na Nduli Amini hatukua na silaha bora kumzidi silaha yetu kuu ilikua Uzalendo leo hii Dunia imebadilika hususan nchi yetu imepoteza kbsa Uzalendo, leo hii atokee mwendawazimu1 atuvamie nahisi vijana wengi watakua upande wa Adui
 
Duniani huwa naamini nchi iliyo na changamoto mara zote inapata uzoefu na kuwa standby. Kilichowafanya Kenya wanunue silaha zaidi na kubadilisha mbinu za mafunzo, kununua communication gear na kuunda dedicated special force yenye silaha za uhakika ni kufeli kwa jeshi lake mwanzoni mwa kupambana na Al Shabaab. Aibu waliyopata pale Westgate usitarajie itajirudia tena, wala usitarajie kuna nchi hapa East Africa ina uwezo wa kupambana na tukio kama lile kuizidi Kenya.
Lakini hapa East Africa zipo nchi ambazo zinaweza kuzuwia lisitokee tukio kama la Westgate kuliko kusubiri litokee uanze kupambana na adui.
Naamini Tanzania na Rwanda wanaweza kuzuia.

It's my guess based on my intuition..
 
Lakini hapa East Africa zipo nchi ambazo zinaweza kuzuwia lisitokee tukio kama la Westgate kuliko kusubiri litokee uanze kupambana na adui.
Naamini Tanzania na Rwanda wanaweza kuzuia.

It's my guess based on my intuition..
You are very wrong. Pale Salender darajani alitokea Hamza mwenye kitambi, mzembe mzembe katoka familia tajiri hata kukimbia hajui. Huyo alisumbua askari na walifyatua risasi nyingi kabla hawamjapata. Pale Westgate walikuwa ni wapiganaji wenye uzoefu, kasi na determination. Ingekuwa Tanzania tungekufa wengi
 
You are very very wrong. Pale Salender darajani alitokea Hamza mwenye kitambi, mzembe mzembe katoka familia tajiri hata kukimbia hajui. Huyo alisumbua askari na walifyatua risasi nyingi kabla hawamjapata. Pale Westgate walikuwa ni wapiganaji wenye uzoefu, kasi na determination. Ingekuwa Tanzania tungekufa wengi
Nadhani hujanielewa.
Pale tayari ilishatokea.

Matukio madogo yanayofanywa na mtu mmoja binafsi ambayo hutokea arbitrary siyo coordinated na known terrorist cells ngumu kupata intel za kuweza kuyazuia yasitokee.
Haya hata nchi zilizoendelea kama Marekani na kule Ulaya yanatokea mara nyingi na watu wameuwawa kama ilivyotokea kwa kesi ya Hamza. Ni ya kustukiza sana.

Makubwa kama ya Westgate nimekubaliana nawe yakitokea inakuwa shida kukabiliana nayo kama ulivyo sema. Hatuna mafunzo na uzoefu kama wenzetu.
 
Nadhani hujanielewa.
Pale tayari ilishatokea.

Matukio madogo yanayofanywa na mtu mmoja binafsi ambayo hutokea arbitrary siyo coordinated na known terrorist cells ngumu kupata intel za kuweza kuyazuia yasitokee.
Haya hata nchi zilizoendelea kama Marekani na kule Ulaya yanatokea mara nyingi na watu wameuwawa kama ilivyotokea kwa kesi ya Hamza. Ni ya kustukiza sana.

Makubwa kama ya Westgate nimekubaliana nawe yakitokea inakuwa shida kukabiliana nayo kama ulivyo sema. Hatuna mafunzo na uzoefu kama wenzetu.
Kesi ya Hamza ni sawa na kesi ya Rittenhouse mwaka juzi na huyo Pyton wiki iliyopita pale mjini Buffalo. Mshambuliaji anaweza ua watu wengi ila inashangaza kuona Hamza pale alifanya askari wakusanyike waanze kutumia silaha zao kulenga shabaha kwa kufunga jicho. Israel kule wanaojitoa mhanga wanalazimika kutumia visu kufanya stabbing kama hawana bunduki, wanafanya kwa haraka sana maana response ya askari ni haraka. Askari hawana kukoseakosea, tukio likitokea wanakufa raia wawili watatu ila askari akishaona mhusika basi tena. Hali yao ni tishio sio kama sisi Hamza alitembea akampita hata yule muokota makopo, watu wakampiga picha, anafokea watu yuko free kabisa. Israel ufanye ugaidi muda wa kufokea mtu unapata wapi, ukichelewa hata mmoja hujaua wewe ushauwawa.

Hapa bongo sijawahi ona dedicated special force kwa ajili ya kupambana na ugaidi wakiwa na silaha za kuwezesha. Ukute hatuna night vision optics, infrared seekers, day optics, sights na components kadhaa za silaha ambazo hata tukiwa nazo kwa ajili ya kikosi cha watu wasiozidi 100 nchi nzima zinatosha. Mbona kila wilaya ina V8 za kutosha.

Kule Kenya eti walipeleka wanajeshi, silaha za msituni na silaha za close combat ni tofauti kabisa. Miaka ya baadae kwenye mazoezi niliona Kenya wana silaha tofauti kabisa na sasa wanajua likitokea tukio nani anadeal nalo, ile Westgate hata coordination walishindwa
 
Kesi ya Hamza ni sawa na kesi ya Rittenhouse mwaka juzi na huyo Pyton wiki iliyopita pale mjini Buffalo. Mshambuliaji anaweza ua watu wengi ila inashangaza kuona Hamza pale alifanya askari wakusanyike waanze kutumia silaha zao kulenga shabaha kwa kufunga jicho. Israel kule wanaojitoa mhanga wanalazimika kutumia visu kufanya stabbing kama hawana bunduki, wanafanya kwa haraka sana maana response ya askari ni haraka. Askari hawana kukoseakosea, tukio likitokea wanakufa raia wawili watatu ila askari akishaona mhusika basi tena. Hali yao ni tishio sio kama sisi Hamza alitembea akampita hata yule muokota makopo, watu wakampiga picha, anafokea watu yuko free kabisa. Israel ufanye ugaidi muda wa kufokea mtu unapata wapi, ukichelewa hata mmoja hujaua wewe ushauwawa.

Hapa bongo sijawahi ona dedicated special force kwa ajili ya kupambana na ugaidi wakiwa na silaha za kuwezesha. Ukute hatuna night vision optics, infrared seekers, day optics, sights na components kadhaa za silaha ambazo hata tukiwa nazo kwa ajili ya kikosi cha watu wasiozidi 100 nchi nzima zinatosha. Mbona kila wilaya ina V8 za kutosha.

Kule Kenya eti walipeleka wanajeshi, silaha za msituni na silaha za close combat ni tofauti kabisa. Miaka ya baadae kwenye mazoezi niliona Kenya wana silaha tofauti kabisa na sasa wanajua likitokea tukio nani anadeal nalo, ile Westgate hata coordination walishindwa
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha saana
 
Jamani huyu ameuliza kuhusu kijeshi chetu na siyo US wala Russia....
Tumwambie ukweli ni hivi...
Yale magari makubwa ya kizamani unayaonaga siku ya mashujaa, hayo chini ni ya kichina yanajulikana kama A 100, na masfa yake ni kati 40km mpaka 100km, hata Morogoro hayafikishi...
View attachment 2219729



Vile viroket unavinaga uwanja wa taifa ni vya kutungulia ndege za bangaboi sio za kisasa kama Sukhoi za jeshi la Uganda au Northrop 5E za jeshi la kenya,hutu tuanitwa SA-6 (2K12 Kub) kutoka Russia, tulitengenezwa 1958, na tuna masafa ya mpaka 24km
1652222708652-png.2219730



Na hii ndio Uganda Sukhoi, tukizitaka hizi inabidi serkali ianze kugawa basikeli kwa wabunge na mawaziri ili kwenda sambaba na bei ya mafuta na uendeshaji, Uganda wana Mafuta yao.....
View attachment 2219714


Halafu hawa jamaa hapa chini, wanachekesha sana....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2219732

View attachment 2219731

View attachment 2219733


Na hii ni Kenya Northrop 5E
View attachment 2219718

View attachment 2219730

Yaani unafananisha hizo skrepa za Kenya na Chengdu J-7 za Tanzania!
Ona hizi comparison namna hizo skrepa zilivyo achwa mbali.
Angalau Uganda.

IMG_1797.jpg

IMG_1798.jpg

IMG_1799.jpg
 
Jamani huyu ameuliza kuhusu kijeshi chetu na siyo US wala Russia....
Tumwambie ukweli ni hivi...
Yale magari makubwa ya kizamani unayaonaga siku ya mashujaa, hayo chini ni ya kichina yanajulikana kama A 100, na masfa yake ni kati 40km mpaka 100km, hata Morogoro hayafikishi...
View attachment 2219729



Vile viroket unavinaga uwanja wa taifa ni vya kutungulia ndege za bangaboi sio za kisasa kama Sukhoi za jeshi la Uganda au Northrop 5E za jeshi la kenya,hutu tuanitwa SA-6 (2K12 Kub) kutoka Russia, tulitengenezwa 1958, na tuna masafa ya mpaka 24km
1652222708652-png.2219730



Na hii ndio Uganda Sukhoi, tukizitaka hizi inabidi serkali ianze kugawa basikeli kwa wabunge na mawaziri ili kwenda sambaba na bei ya mafuta na uendeshaji, Uganda wana Mafuta yao.....
View attachment 2219714


Halafu hawa jamaa hapa chini, wanachekesha sana....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2219732

View attachment 2219731

View attachment 2219733


Na hii ni Kenya Northrop 5E
View attachment 2219718

View attachment 2219730

Punguza kudharau nchi yako.
The Tanzanian People’s Defence Force (TPDF) has swapped 12 old Chinese-made J-7 fighter aircraft with 14 new J-7Gs, as the country forges ahead with the modernisation of its aerial defence capabilities.

IMG_1800.jpg
 
Punguza kudharau nchi yako.
The Tanzanian People’s Defence Force (TPDF) has swapped 12 old Chinese-made J-7 fighter aircraft with 14 new J-7Gs, as the country forges ahead with the modernisation of its aerial defence capabilities.

View attachment 2236094
J7[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tuliswap HYUNDAI i10 kuchukua PASSO

Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
 
Nadhani hujanielewa.
Pale tayari ilishatokea.

Matukio madogo yanayofanywa na mtu mmoja binafsi ambayo hutokea arbitrary siyo coordinated na known terrorist cells ngumu kupata intel za kuweza kuyazuia yasitokee.
Haya hata nchi zilizoendelea kama Marekani na kule Ulaya yanatokea mara nyingi na watu wameuwawa kama ilivyotokea kwa kesi ya Hamza. Ni ya kustukiza sana.

Makubwa kama ya Westgate nimekubaliana nawe yakitokea inakuwa shida kukabiliana nayo kama ulivyo sema. Hatuna mafunzo na uzoefu kama wenzetu.
Tuna dedicated special unit kwa ajili ya counter terrorism?,Au unafikri ukishakuwa na special forces(Makomandoo) basi inatosha?.
 
Tuna dedicated special unit kwa ajili ya counter terrorism?,Au unafikri ukishakuwa na special forces(Makomandoo) basi inatosha?.
Hujaipata hoja yangu hata kidogo.
Siko huko kwenye makomandoo na mapambano ya silaha.

Nisome tena mara 3 au zaidi utapata mwanga naongelea nini.
 
Kwenye modern wafare ni mwehu tu anayetegemea vifaru vitani ... Vifaru vimebak kama magar ya msafara w kijeshi kipind cha Amani , kiufupi vita ya kutegemea vifaru ishapitwa na wakati, Ila ukijidai utegemee vifaru kwenye active battle zone ujue unawatoa kafara askari ....!! Vita ya sa hv ni propaganda , technology na Airforce , kama huna uwezo kwenye maeneo hayo omba maridhiano mapema.... Askari wenu wanaopasua tofali uwanja wa mkapa wanawadanganya

Vifaru vinatumiwa kuwatisha wananchi ili kuibia kura na kuweka viongozi wanaotakiwa na Tanganyika/ CCM huku Zanzibar
 
Back
Top Bottom