TANZIA Silvester Masinde, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA afariki Dunia

TANZIA Silvester Masinde, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA afariki Dunia

Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.

Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.

Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.

View attachment 2552211
View attachment 2552233

Apumzike kwa Amani .
Poleni CHADEMA kwa kifo cha Mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini.

Pole kwa familia na jamaa wote
 
Masinde amekufa lakini hakuwahi kuua watu .

Tunapitia mule mule!
Ujumbe umeupata hata kama umeshupaza shingo lako!

Cha msingi muelewe kuacha kudhihaki vifo vya wenzenu wakati nyote ni wapitaji hapa Duniani.

Mlidandia siasa bila elimu ya siasa!
Mkageuza siasa kuwa mitaji ya kupatia fedha bila elimu.
Mkanunua vyeti feki kila kona!

Mkiambiwa mnajifanya kujifucha kwenye mgongo wa Demokrasia...haya sasa mmeletewa na ushoga huu hapa na umeanzia mashuleni huko Kilimanjaro hadi waziri kuamua kuunda tume

Bosi wenu nae kaamliwa arudi akakabidhi ofisi badala ya kuondoka bila kukabidhi majukumu yake kule kule kwa Amstrong
.
FB_IMG_1677677487143.jpg
FB_IMG_1676843846803.jpg
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.

Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.

Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.

View attachment 2552211
View attachment 2552233

Apumzike kwa Amani .
Alilalamika kwamba CDM imemtelekeza, hasa baada ya tukio la mwanza wakati Mbowe anahutubia akiwa amelewa, akamuonya "acha hotuba za namna hiyo".

Alikuwa anasema chama kinavuna mabilioni lakini yanaliwa na wachache.

Alikuwa shahidi muhimu ambaye alijiandaa kuiambia mahakama kwamba ubunge wa akina mdee ni halali, naona wajanja wamemuwahi ili wasiaibike
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.

Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.

Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.

View attachment 2552211
View attachment 2552233

Apumzike kwa Amani .
Pole sana kwa Chadema na watanzania wote wapenda demokrasia na maendeleo!
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.

Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.

Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.

View attachment 2552211
View attachment 2552233

Apumzike kwa Amani .
Aisee Polen sana!!Kumbe Chadema nao wanakufa?Kwa hiyo Mzee Masinde naye ni mwendazake Sasa.Mm nilifikir Ni Magufuli tu.
 
Alilalamika kwamba CDM imemtelekeza, hasa baada ya tukio la mwanza wakati Mbowe anahutubia akiwa amelewa, akamuonya "acha hotuba za namna hiyo".

Alikuwa anasema chama kinavuna mabilioni lakini yanaliwa na wachache.

Alikuwa shahidi muhimu ambaye alijiandaa kuiambia mahakama kwamba ubunge wa akina mdee ni halali, naona wajanja wamemuwahi ili wasiaibike
Polisi washindwe wenyewe hapo. Ushahidi upo waxi kabisa wa kilichotokea kwa mzee wetu huyu, damu yake haitaenda bure
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.

Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.

Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.

View attachment 2552211
View attachment 2552233

Apumzike kwa Amani .
Apumzike kwa amani mzed wetu Masinde.. Mchango wake ndani ya chama daima utakumbukwa
 
Kweli
Tunapitia mule mule!
Ujumbe umeupata hata kama umeshupaza shingo lako!

Cha msingi muelewe kuacha kudhihaki vifo vya wenzenu wakati nyote ni wapitaji hapa Duniani.

Mlidandia siasa bila elimu ya siasa!
Mkageuza siasa kuwa mitaji ya kupatia fedha bila elimu.
Mkanunua vyeti feki kila kona!

Mkiambiwa mnajifanya kujifucha kwenye mgongo wa Demokrasia...haya sasa mmeletewa na ushoga huu hapa na umeanzia mashuleni huko Kilimanjaro hadi waziri kuamua kuunda tume

Bosi wenu nae kaamliwa arudi akakabidhi ofisi badala ya kuondoka bila kukabidhi majukumu yake kule kule kwa Amstrong
.View attachment 2552362View attachment 2552364
Kweli wewe hamnazo kabisa unafikiri kuna mtu atakayekuja ya kufichua maovu ya huyo mzee?Hakuna kwa sababu hakuna baya alilofanyia watu lakini jamaa yule wa Chato kila siku watu wanapost kuhusu yeye.
 
Kweli

Kweli wewe hamnazo kabisa unafikiri kuna mtu atakayekuja ya kufichua maovu ya huyo mzee?Hakuna kwa sababu hakuna baya alilofanyia watu lakini jamaa yule wa Chato kila siku watu wanapost kuhusu yeye.
Kwa sababu hakuwa na mzaha na wezi wa raslimali za nchi hii.
Wanaomsema vibaya ndio wanaoifilisi nchi hii kwa sasa!
Wanaomsema vibaya ndio kina mbowe walio lewa asali !

Wanaomsema vibaya ni vyeti fake na watumbuliwa wake!

Angalia kama kuna mtu mstaarabu wa nchi hii anayensema vibaya zaidi ya nyie viraka mlioko benchi.

Lakin yote ya yote ni kwamba mwisho wa siku wote mnakufa sio?
 
Alilalamika kwamba CDM imemtelekeza, hasa baada ya tukio la mwanza wakati Mbowe anahutubia akiwa amelewa, akamuonya "acha hotuba za namna hiyo".

Alikuwa anasema chama kinavuna mabilioni lakini yanaliwa na wachache.

Alikuwa shahidi muhimu ambaye alijiandaa kuiambia mahakama kwamba ubunge wa akina mdee ni halali, naona wajanja wamemuwahi ili wasiaibike

Mashahidi wa Chadema ni wawili tu acha uongo wako. Mmekaa kimbea Sana.
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.

Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.

Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.

View attachment 2552211
View attachment 2552233

Apumzike kwa Amani .
Hivi kumbe na CHADEMA huwa mnakufa??

Sasa tunazikwa naye wapi?
 
Alilalamika kwamba CDM imemtelekeza, hasa baada ya tukio la mwanza wakati Mbowe anahutubia akiwa amelewa, akamuonya "acha hotuba za namna hiyo".

Alikuwa anasema chama kinavuna mabilioni lakini yanaliwa na wachache.

Alikuwa shahidi muhimu ambaye alijiandaa kuiambia mahakama kwamba ubunge wa akina mdee ni halali, naona wajanja wamemuwahi ili wasiaibike
Hongera kwa kuwaza nje ya box
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.

Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.

Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.

View attachment 2552211
View attachment 2552233

Apumzike kwa Amani .

Pole kwa familia, CHADEMA na watanzania wote

Alale salama mzee Masinde
 
Back
Top Bottom