TANZIA Silvester Masinde, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA afariki Dunia

TANZIA Silvester Masinde, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA afariki Dunia

Kama mambo ya kisheria huyajui kaa kimya angalau utunze heshima yako. Hata leo ukitaka kuishitaki CCM ni lazima uishitaki bodi ya wadhamini wa CCM maana wao ndiyo kwa niaba ya wanachama wanasimamia maslahi ya chama.

Sasa Bodi inakuwaje shahidi kwenye kesi ambayo bodi yenyewe ndiyo inayoshitakiwa. Umo ndani ya boksi ila akili zako zinakutuma kwamba umetoka nje ya boksi.

Pumzika kwa amani Kamanda Masinde!!
Umepaniki sana subiri muda si mrefu upepo utapuliza nyeti za kuku zitabaki wazi
 
Nini kingefanyika ili uone mchango wake umetambulika sana?
Huyu na Bob ndo walisababisha Chadema ikapata mvuto kanda ya ziwa lakini ni kama mchango wake hautambuliki sana. Ameumaliza mwendo, apumzike kwa amani
 
Uongo utakudhalilisha mno ! Baraza la Wadhamini la Chadema kwenye kesi ya Halima Mdee na Wasaliti wenzake linawakilishwa na Ruth Mollel na Dr Azavel Lwaitama
Mungu anawaona ninyi watu, hivi kweli kwenye Jambo muhimu kama hilo mwenyekiti wa Baraza anaachwa wakati yeye ndio anajua A to Z. Muda si mrefu nyeti zitabaki wazi subiri huu upepo uendelee kuvuma
 
Kwa sababu hakuwa na mzaha na wezi wa raslimali za nchi hii.
Wanaomsema vibaya ndio wanaoifilisi nchi hii kwa sasa!
Wanaomsema vibaya ndio kina mbowe walio lewa asali !

Wanaomsema vibaya ni vyeti fake na watumbuliwa wake!

Angalia kama kuna mtu mstaarabu wa nchi hii anayensema vibaya zaidi ya nyie viraka mlioko benchi.

Lakin yote ya yote ni kwamba mwisho wa siku wote mnakufa sio?
Hata rais wako mama Samiah anamsema vibaya.Halafu nikuulize hao watu wanaolawiti watoto wao ndio wastaarabu?Yaani upumbavu mnaowafanyia watoto wenu wa kuwazaa ndio mlitaka Watanzania tuishi nao pumbavu.Mnajifanya mna akili kumbe ni umbumbumbu tu unawatawala.Historia ya Magufuri aliitengeneza yeye kama ni kupendwa na baadhi ya watu basi ni yeye aliitengeneza akiwa hai,na kama ni kuchukiwa na baadhi ya Watanzania basi yeye ndiye aliyeasisi kuchukiwa.Rais ukiwa mfuata sheria utatenda kwa mujibu wa sheria za nchi na muda wako ukiisha au ukifa hakuna atakayepoteza muda wa kukuandika vibaya kwa sababu wakati ukiwa madarakani ulifuata na kuitimiza sheria,haukuongozwa na kichwa chako.
 
Apumzike kwa amani Mzee Masinde. Hakika amepambana kuitafuta haki maishani mwake. Alipoachia, wengine tuendeleze.

Mungu awajalie neema ya kuyakubali mapenzi ya Mungu wanafamilia.
Watu wazuri hawafi!

Makamba
 
FB_IMG_1674677130944.jpg
 
Kuna watu walituaminisha wanaokufa ni wenye dhambi tu aiseee.

R.I.P
 
Back
Top Bottom