TANZIA Silvester Masinde, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA afariki Dunia

TANZIA Silvester Masinde, Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA afariki Dunia

FraZDl0X0AACeuo
 
Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho imeeleza kwamba Mzee Masinde ambaye pia alikuwa miongoni mwa Waasisi wa Chama hicho amefariki Dunia.

Haikutajwa sababu ya kifo chake wala mahali alipofia.

Silvester Masinde alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Chadema.

View attachment 2552211
View attachment 2552233

Apumzike kwa Amani .
CHADEMA hawawezi kutaja sababu ya kifo chake kwa sababu walimtelekeza mzee wa watu
 
1678869517398-png.2552233

Kifo cha JPM kwa mbwebwe zote mlituambia sababu za kifo- hiki mmekaa kimya. Hii inathibitisha kuwa hamkuwa mnajua hata mzee huyu alikuwa Amelazwa na kwa maradhi gani- WANAFIKI WAKUBWA
 
Back
Top Bottom